Zacht
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 1,009
- 2,197
Aisee hapo kwenye boda boda umenikumbusha kitu ,madereva wa huku wanafujo sana toyo zao kwanza wametoa taa zake then wanaweka vile vitaa vidogo lkn mwanga wake mkali zinaumiza macho.. Utii wa sheria kwa watumiaji wa vyombo vya moto ni kama haiwahusu. Madereva wapo rafu mnoo. Watu pekee wanaojitahidi ni toyo/boda ingawa ni wapo wahuni wachache.
pili Toyo zao wanazifanyaje sijui zinatoa milio kama wa risasi mkali sana kama unamatatizo ya moyo ni hatari kwako ,na hio tabia karibu toyo zote nilizo kutana nazo
Nipo kijenge ,mwanama