Safari yangu Jijini Arusha na niliyoyakuta

Kwetu arusha lakn kila nikienda nashindwa kukaa kabisa , pombe watu wanakunywa mpk huruma, lugha ya kule imenishinda kabisa, yan mtu anaweza kukusemesha hasa hawa vijana ukashindwa kumuelewa.
Nchi ndani ya nchi
"asee chalii yake si ni nimembutua deree, kila nikimmanya anaongea nfa nfa nfa, nikaona huyu ni nte"

Huyu mjinga alikuwa ananiambia hizi stori mtaani kwao hapo Esso, hata sikuelewa yaan
 
Kwetu arusha lakn kila nikienda nashindwa kukaa kabisa , pombe watu wanakunywa mpk huruma, lugha ya kule imenishinda kabisa, yan mtu anaweza kukusemesha hasa hawa vijana ukashindwa kumuelewa.
Nchi ndani ya nchi
😹😹😹
 
Nawasalimu kwa jina la JMT. Kazi iendelee.

Ilikuwa ni furaha kutoka nyanda za juu kusini na kuja ukanda huu wa kaskazini mwa Tanzania.

Jiji maarufu kabisa kwa harakati za utalii.

Yafuatayo ndiyo niliyoyaona na mengine yamenishangaza.

1. Covid 19 imeutesa sana huu mji. Mishe zilizotegemea utalii zilikumbwa na pigo kama lile la afande moroto. Ingawa hali kama inarejea.

2. Ulaji nyama na unywaji wa pombe hufanyika kwa kiasi kikubwa mnoo. Si dhani kama kuna mkoa unawazidi hawa jamaa.

3. Utii wa sheria kwa watumiaji wa vyombo vya moto ni kama haiwahusu. Madereva wapo rafu mnoo. Watu pekee wanaojitahidi ni toyo/boda ingawa ni wapo wahuni wachache.

Uendeshaji magari ni tatizo katika hili jiji. Trafiki inabidi wafanye kazi ikiwa ni pamoja na kuchora upya namna ya matumizi ya barabara.

4. Watembea kwa miguu hawa ndiyo viburi waliopitiliza. Wanajiona nao ni kama magari/pikipiki.

5. Tabia za kibepari ni nyingi mno kuliko ujamaa. Wepesi pia kupeana michongo, wanaamini nao wanaweza tokea humo.

6. Bei za milupo nadhani bado bei elekezi inafanya kazi. Ila ukiwa mgeni unaweza pewa bill kubwa. Kuwa makini, wengine bado ni wezi hawaheshimu kazi zao.

7. Changamoto katika meno ya hawa watu ni shida. Demu mkali unakuta meno yameharibika, rangi zilizopitiliza. Sijajua chanzo hasa ni nini, je ni maji wanayotumia ama ulaji nyama uliopitiliza?

Iweje mamlaka ya maji safi wanashindwa kulitatua hili,wala madaktari wetu pia wameshindwa.
Hata kama linawapa identity bado ni mbaya pale inapodhidi,ingawa inaleta urembo kwa wengine.

8. Jamaa ni waoga sana wa baridi.

Asanteni Ara Chuga, masela wa Njiro, Moshono, Chekeleni, Ngaramtoni, Unga Limited, Sakina, Morombo, Ngarenaro, Makao Mapya hata wale nilio wasahau.

Vijiwe vyenu nilivyopita ni The Don, Mopao, Kokoriko, Uzunguni, Bills River, Picnic, Empire, Annex, Redwood.

Hakika zimekuwa siku 8 za purukushani nyingi na muda mchache wa kulala.

Fantastic stay in your city.

Karibuni pia kwa wanalizombe.
Mkuu ungepita na The Hub sehemu ya kistaarabu yenye vibe Kama lote kwa sasa Arusha, ni sehemu ya watu na pesa zao sema sungusungu (wanawake wa escorts) wapo ila lazima uwe mwenyeji na cha msingi ni vizuri ukienda nenda na mkeo Kama tunavyofanya sisi.Arusha is my city
 
Sure thing nilivyokuwa dar ukivuta bangi public kinakula kwako mda si mrefu watu watakuchoma tu ila chuga kwanzia nimekuja pita maclub au sehem nyingi za starehe watu wanajitenga pembeni wanapiga kama kawaida hasa usiku unakuta watu wameweka kwenye hukar wanafumua tu
Kwa hapa Arusha bangi wanachoma kama sigara tu. Wenyewe wanasema ukiona umechomeshwa ujue una tabia za aidha wizi, ubabe usio na maana na kadhalika. Kuna mama mmoja ni mtu mzima sana anachoma bangi yeye na mabinti zake nje tu ya duka lao bila hata wasiwasi
 
Nawasalimu kwa jina la JMT. Kazi iendelee.

Ilikuwa ni furaha kutoka nyanda za juu kusini na kuja ukanda huu wa kaskazini mwa Tanzania.

Jiji maarufu kabisa kwa harakati za utalii.

Yafuatayo ndiyo niliyoyaona na mengine yamenishangaza.

1. Covid 19 imeutesa sana huu mji. Mishe zilizotegemea utalii zilikumbwa na pigo kama lile la afande moroto. Ingawa hali kama inarejea.

2. Ulaji nyama na unywaji wa pombe hufanyika kwa kiasi kikubwa mnoo. Si dhani kama kuna mkoa unawazidi hawa jamaa.

3. Utii wa sheria kwa watumiaji wa vyombo vya moto ni kama haiwahusu. Madereva wapo rafu mnoo. Watu pekee wanaojitahidi ni toyo/boda ingawa ni wapo wahuni wachache.

Uendeshaji magari ni tatizo katika hili jiji. Trafiki inabidi wafanye kazi ikiwa ni pamoja na kuchora upya namna ya matumizi ya barabara.

4. Watembea kwa miguu hawa ndiyo viburi waliopitiliza. Wanajiona nao ni kama magari/pikipiki.

5. Tabia za kibepari ni nyingi mno kuliko ujamaa. Wepesi pia kupeana michongo, wanaamini nao wanaweza tokea humo.

6. Bei za milupo nadhani bado bei elekezi inafanya kazi. Ila ukiwa mgeni unaweza pewa bill kubwa. Kuwa makini, wengine bado ni wezi hawaheshimu kazi zao.

7. Changamoto katika meno ya hawa watu ni shida. Demu mkali unakuta meno yameharibika, rangi zilizopitiliza. Sijajua chanzo hasa ni nini, je ni maji wanayotumia ama ulaji nyama uliopitiliza?

Iweje mamlaka ya maji safi wanashindwa kulitatua hili,wala madaktari wetu pia wameshindwa.
Hata kama linawapa identity bado ni mbaya pale inapodhidi,ingawa inaleta urembo kwa wengine.

8. Jamaa ni waoga sana wa baridi.

Asanteni Ara Chuga, masela wa Njiro, Moshono, Chekeleni, Ngaramtoni, Unga Limited, Sakina, Morombo, Ngarenaro, Makao Mapya hata wale nilio wasahau.

Vijiwe vyenu nilivyopita ni The Don, Mopao, Kokoriko, Uzunguni, Bills River, Picnic, Empire, Annex, Redwood.

Hakika zimekuwa siku 8 za purukushani nyingi na muda mchache wa kulala.

Fantastic stay in your city.

Karibuni pia kwa wanalizombe.
Naongeza namba 9 kwani nipo Arusha mwaka wa nne Sasa.
9. Kipindi cha baridi ratiba za kuoga watu wengi Arusha inapungua na kupelekea wengine kutokuoga kabisa kwa hata zaidi ya siku mbili na ukitaka kuhakiki panda hiace halafu madirisha yawe 🔒
 
Nawasalimu kwa jina la JMT. Kazi iendelee.

Ilikuwa ni furaha kutoka nyanda za juu kusini na kuja ukanda huu wa kaskazini mwa Tanzania.

Jiji maarufu kabisa kwa harakati za utalii.

Yafuatayo ndiyo niliyoyaona na mengine yamenishangaza.

1. Covid 19 imeutesa sana huu mji. Mishe zilizotegemea utalii zilikumbwa na pigo kama lile la afande moroto. Ingawa hali kama inarejea.

2. Ulaji nyama na unywaji wa pombe hufanyika kwa kiasi kikubwa mnoo. Si dhani kama kuna mkoa unawazidi hawa jamaa.

3. Utii wa sheria kwa watumiaji wa vyombo vya moto ni kama haiwahusu. Madereva wapo rafu mnoo. Watu pekee wanaojitahidi ni toyo/boda ingawa ni wapo wahuni wachache.

Uendeshaji magari ni tatizo katika hili jiji. Trafiki inabidi wafanye kazi ikiwa ni pamoja na kuchora upya namna ya matumizi ya barabara.

4. Watembea kwa miguu hawa ndiyo viburi waliopitiliza. Wanajiona nao ni kama magari/pikipiki.

5. Tabia za kibepari ni nyingi mno kuliko ujamaa. Wepesi pia kupeana michongo, wanaamini nao wanaweza tokea humo.

6. Bei za milupo nadhani bado bei elekezi inafanya kazi. Ila ukiwa mgeni unaweza pewa bill kubwa. Kuwa makini, wengine bado ni wezi hawaheshimu kazi zao.

7. Changamoto katika meno ya hawa watu ni shida. Demu mkali unakuta meno yameharibika, rangi zilizopitiliza. Sijajua chanzo hasa ni nini, je ni maji wanayotumia ama ulaji nyama uliopitiliza?

Iweje mamlaka ya maji safi wanashindwa kulitatua hili,wala madaktari wetu pia wameshindwa.
Hata kama linawapa identity bado ni mbaya pale inapodhidi,ingawa inaleta urembo kwa wengine.

8. Jamaa ni waoga sana wa baridi.

Asanteni Ara Chuga, masela wa Njiro, Moshono, Chekeleni, Ngaramtoni, Unga Limited, Sakina, Morombo, Ngarenaro, Makao Mapya hata wale nilio wasahau.

Vijiwe vyenu nilivyopita ni The Don, Mopao, Kokoriko, Uzunguni, Bills River, Picnic, Empire, Annex, Redwood.

Hakika zimekuwa siku 8 za purukushani nyingi na muda mchache wa kulala.

Fantastic stay in your city.

Karibuni pia kwa wanalizombe.
10. Sio kila mwanamke Arusha ambaye ni mweupe ni mweupe kiasili, wengi wao pia wameenda Congo ( kujichubua)
 
Back
Top Bottom