Sasa kwa nini wanayafanya mafichoni?
Mhe.Chenge amedai kwamba Spika amemchafulia jina Nationally and Internationally.
He says he is going to push for a Parliamentary Disciplinary Committee to oversee this issue.
His Lawyers are going to act promptly.
Kivumbi hichooo!
CHENGE AKIAPA, MKONO WA KULIA AMESHIKA BIBLIA TAKATIFU.
Chenge bado hawajamfukuza bungeni kwa tuhuma za pollonium 210?
kwanza huyui Chenge alikuwa akitafuta kiti safu ya nyuma ilikuwaje akaenda hadi kiti cha Spika?... sasa kama wewe sii mchawi (mkemia mkuu) sijui atajieleza vipi ama kuna kiti kimoja karibu ubavuni mwa Spika nacho kilikuwa wazi!
Speculations, Mkuu! Kama Mkuu mmoja alivyohoji, kwa nini asiende kwenye kiti cha Spika? Je kama alikuwa anataka kuona ni viti gani Spika anaviona kwa urahisi? Aliongozana na afisa wa bunge ili amwelekeze wapi anapostahili na wapi panamfaa! Je akisema kuwa afisa alimwambia waende akamwonyesha physically wapi anastahili kukaa?
Yote haya ni plausible. Kwa nini tumeshikilia ulozi?
Wacheni kuupaka mafuta ni ulozi period! msomi mzima unaleta usangoma?? what a shame! halafu tuwalaumu wanao ua vibibi kule shy?
Wacheni kuupaka mafuta ni ulozi period! msomi mzima unaleta usangoma?? what a shame! halafu tuwalaumu wanao ua vibibi kule shy?
Nadhani hao lawyers wa Chenge wangemshauri jinsi nzuri ya kusafisha jina lake kuwa siyo kuwatishia 'nyau' wanaosema ukweli bali ni kuachia ubunge na kukaa kimya usubiri uchunguzi.
Tatizo hao ma-lawyer wake wanajua mzee ana 'vijisenti' kila kona hivyo kumshauri akae kimya ni kukosa mradi wao wa kila siku.S i mmesikia siku hizi watoto wa shule wakiulizwa unataka kuwa nani ukikua hawasemi tena mwanasheria wa mwalimu, wanataka kuwa MAFISADI!.Ufisadi siyo kuchota vya umma tu hata kujina uko sawa wakati unanuka nao ni ufisadi wa aina yake.
Tumwache apambane na mzee wa spidi na standadi kama anao ubavu.Haachi kutapatapa!