nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
chenge au lowassa au rostam au ridhiwani moja wao akichaguliwa kuwa spika ndiyo biashara itakuwa imekwisha, maana hautasikia hoja za wapinzani zikijadiliwa. Hii itakuwa kama enzi ya uspika wa pius msekwa, alikuwa anapinga hoja za wapinzani live pamoja na kujua zilikuwa zinaukweli.
sitta ni mbaya kuliko chenge,sababu wote tunajua chenge na lowassa ni mafisadi lakini sitta ni fisadi anayejifanya anapambana na ufisadi..si unakumbuka issue ya richmond alivyoiua kibabe kuwatetea mafisadi wenzake...