- Thread starter
- #61
Sio watu wote wana ajira kama wewe hapa Tz.. wengine bila ya kusafiri hawana kipato chochote kaka.. wengine ni wagonjwa wanakwenda kutibiwa.. wengine ni wafunzi wanarudi vyuoni etc. Wengine wana biashara zao nje ya nchiNa corona yote hii mnasafiri-safiri nje ya nchi ili iweje, si mkae kijijini mlime tuuze mazao , kuna njaa tuliambiwa inakujaš¤£šš¤ø