Majala Kimolo
JF-Expert Member
- Aug 3, 2007
- 342
- 39
SABODO AICHANGIA CHADEMA MILIONI MIA MOJA
Juu mfanyabiashara maarufu na muumini wa maendeleo ya kijamii nchini, BW. Mustapha Jaffar Sabodo akimkabidhi hundi ya shilingi milioni 100 Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA Mh.Freeman Mbowe aliyeambatana na Katibu Mkuu wake Dr Wilibrod Slaa leo jijini Dar. Chini Bw. Sabodo akiongea na Mh. Mbowe na Dk. Slaa
CHANZO: Michuzi Blog
CHADEMA wapokea mshiko?
Kiwango cha juu kinachoweza kulipwa kwa hundi ni TShs 10 million, sasa kama hundi ni 100 million hiyo benki haipiti. Let us hope he meant to contribute otherwise it may be just a media show
SABODO AICHANGIA CHADEMA MILIONI MIA MOJA
Juu mfanyabiashara maarufu na muumini wa maendeleo ya kijamii nchini, BW. Mustapha Jaffar Sabodo akimkabidhi hundi ya shilingi milioni 100 Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA Mh.Freeman Mbowe aliyeambatana na Katibu Mkuu wake Dr Wilibrod Slaa leo jijini Dar. Chini Bw. Sabodo akiongea na Mh. Mbowe na Dk. Slaa
CHANZO: Michuzi Blog
CHADEMA wapokea mshiko?
Nna swali kwa wanaforum ni fisadi gani tena wa kidosi amewahi kununua ukurasa mzima wa magazeti Guardian, Daily news, Nipashe, Mwananchi na si mara moja kuikandia serikali pia CCM na sera zake??????????
Kiranga,
Unachosema ni kweli kabisa. Na kwa hili tupo ukurasa mmoja. At least CHADEMA wamekuwa wawazi kuhusu wachangiaji wao tangu uchaguzi wa 2005. CCM hawajataja hata siku moj fedha zao zinatoka wapi. Kwa hili tuwapongeze. Sasa kwa next step ni kuchukua hatua kama walivyofanya hapa Marekani, kuweka limit ya michango ya matajiri, au ya kampuni, na michango hii ijulikane wazi, si kwa upinzani tu bali hata kwa chama tawala ambacho mpaka sasa kimekataa kutaja wachangiaji wake na kiasi kilichotolewa.
Mzee wa watu atapona na biashara zake?SABODO AICHANGIA CHADEMA MILIONI MIA MOJA
Juu mfanyabiashara maarufu na muumini wa maendeleo ya kijamii nchini, BW. Mustapha Jaffar Sabodo akimkabidhi hundi ya shilingi milioni 100 Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA Mh.Freeman Mbowe aliyeambatana na Katibu Mkuu wake Dr Wilibrod Slaa leo jijini Dar. Chini Bw. Sabodo akiongea na Mh. Mbowe na Dk. Slaa
CHANZO: Michuzi Blog
CHADEMA wapokea mshiko?
Yaani CHADEMA wameingia kwenye nyavu za CCM hivihivi. Hivi kuna muhindi gani mwenye jeuri ya kuchangia upinzani na kujitangaza hadharani?. Huyu jamaa katumwa afanye hivi makusudi, na lengo kuu ni kuiondoa hoja ya ufisadi katika uchaguzi huu. Yaani kwa kukubali hili chadema wamejitia kitanzi, upinzani kwisha kazi. Sasa chadema watapigia wapi kelele zao kuwa CCM inafadhiliwa na mafisadi wafanya biashara na wengi wao wenye asili ya asia?.
Haya shuguli imeisha sasa kwa mwenye akili timamu ni kwamba vita ya ufisadi leo ndiyo mwisho na kwa hili ninawaambieni hawawezi tena kuwashinda CCM kwa hoja hii. Shs Mil 100 ni hela ndogo sana kwa mafisadi na CCM kwa ujumla ila kwa wananchi wa kawaida hiyo ni big deal, na vyombo vya habari vimesetiwa kuionesha hii kwa walalahoi ili kuonesha kuwa anayechukua hela za wahindi ni CHADEMA si CCM. Underground CCM wamezikusanya zisizo na hesabu kama hivi ila kuwatega CHADEMA wawe publicized ni bao la kisigino kwa CCM.
Kiwango cha juu kinachoweza kulipwa kwa hundi ni TShs 10 million, sasa kama hundi ni 100 million hiyo benki haipiti. Let us hope he meant to contribute otherwise it may be just a media show
...Eh? Please, elaborate!
nime kusoma hapa mkuu.
.......................Kwani Malaria sugu ameanza kupona mpaka akuelewe Viviana??Napenda kukufahamisha kuwa kuna mwanachama wa CCM Kaichangia chadema 100m
kwa taarifa zaidi bofya hapo chini
MWANACHAMA WA CCM AICHANGIA CHADEMA SHS MIL 100! - Global Publishers
Kiwango cha juu kinachoweza kulipwa kwa hundi ni TShs 10 million, sasa kama hundi ni 100 million hiyo benki haipiti. Let us hope he meant to contribute otherwise it may be just a media show