Majala Kimolo
JF-Expert Member
- Aug 3, 2007
- 342
- 39
Amesema pia kuwa yeye ni mwanasisiem. hapo hamna shida. Sasa alizopeleka kwa chadema ni hizo, kwa nini sio kafu? Za jembe na nyundo ni trilion na hapa ndipo panategemewa zaidi.
Samahani kwa kurudia swali lilikwishajibiwa (sikuelewa jibu) Nini maana ya FISADI? na ina uhusano na ngazi/ madaraka/ kiwango cha pesa alichonacho mtu? Sie hatujawahi kuwa mafisadi au wahujumu uchumi na maendeleo ya nji yetu?
Samahani kwa kurudia swali lilikwishajibiwa (sikuelewa jibu) Nini maana ya FISADI? na ina uhusano na ngazi/ madaraka/ kiwango cha pesa alichonacho mtu? Sie hatujawahi kuwa mafisadi au wahujumu uchumi na maendeleo ya nji yetu?