mwana wa mtu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 220
- 53
Itakuitaji muda mrefu kufikiria na kuconnect dots membe na sofia wanachosema kina ukweli ndani yake. inawezekana wahisani wa nje wanapitia migongo ya wengine kusponsar vyama, na inawezekani hii imeanza muda mrefu.
Mzee Sabodo amekuwa akimwaga hela kwa CDM kwa muda mrefu na mara nyingi. Je wahisani wamepitia kwa sabodo kuipa nguvu cdm?
Naweza kusema hii ni moja wapo ya ushahidi wa cdm kupokea mkwanja toka nje
:msela::msela:
Pole sana..nafatilia thread zako..unatia mashaka sana kwa kila unachochangia..kwa ushauri wa bure tu..fatilia kwanza Sabodo ni nani nchi hii na biashara zake alianza wapi..waulize pia wakubwa wako miaka ya hivi karibuni tu, sio zamani sana (maana tukikurejesha zamani sana wakati Sabodo akiwa best wa mwalimu Nyerere ulikuwa hata hujafikiriwa)..ni hivi majuzi tu wakati ukiwa sjui darasa la ngapi, sjui chekechea, kulikuwa na kitu kinaitwa Bahati Nasibu ya Mwalimu Nyerere, ulizia fedha za hiyo zilitoka wapi...lakini vile vile ni bora uje kwa speed ya kati kidogo..naona waliokutuma mpaka pia wanashangaa unavyoitekeleza kazi waliyokupa kwa pupa hivyo..njoo taratibu