Tatizo tunafanya political discourse iangukie kwenye partisan lines. With sentimentalism kama vile tunaongelea unazi wa mpira. Wakipewa CCM milioni mia moja na wahindi, ufisadi.
Wakipewa CHADEMA, kukua kwa demokrasia. Si sawa hivyo.
Ukweli lazima usemwe, harufu ya ufisadi ni ile ile, iwe CHADEMA au CCM. Kikwete au Mbowe, Makamba au Slaa.
Can you imagine Kikwete na Makamba wangekuwa wanapokea milioni mia moja kutoka kwa muhindi kelele za ufisadi ambazo zingeporomoshwa hapa? Sasa mbona tuna standards tofauti kwa CHADEMA?
Double standards hizi mbaya.
Lakin kiranga huyu Sabodo kidogo yuko tofati na wahindi wengine. Ebu fatilia matangazo yake magazetin harafu uniambie kama huyu bwana ni sawa na sir CHANDE au PATEL na ROSTAM wake. Huyu yuko tofauti na utofauti wake haujaanza jana wala leo. Amekuwaanatoa matangazo kira mara magazetin kukemea ufisadi, na kwa kias flan anachungu. Kama na yeye ana harufu ya UFISAD sijui kwa kweli