Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

Kama Mungu yupo, ni mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote, na upendo wote, alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu vyovyote alivyotaka.

Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kutokea, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?

Swali hili halijajibiwa.
Sijawahi kuona mtu mbishi kama ww
 
Umeshasema anaumba atakavyo sasa kwanini umpangie...?
Kwani wewe ndo umemwambia akuumbe uwe binadamu?si ulikuwa shahawa tu.
Ukibishana nae huyo hutomaliza anaonekana hakubali kushindwa
 
Mungu angekuwepo asingeumbakiumbe mwenye akili fupi.

UkisemaMungu yupo na mimi ni kiumbe wake halafu nina akili fupi,una ji contradict mwenyewe.
Mm nnawaswas na izo akili zako kama si fupi basi ndunyu
 
1....jehanamu iliumbwa kwa ajili ya ibilisi na malaika wake, ila wewe binadamu unapofanya matendo ya ibilisi yaani kuungana na ibilisi nawe unakuwa sehemu yake ibilisi....kumbuka hao malaika hata huyo ibilisi mwenyewe walikuwa malaika wa Mungu

WEWE DINI GANI???????
 
Mm pia mara nyingi nimekuwa nikiamini kuwa ukifa unazaliwa tena kwa mtu mwingne japo utakuwa hujitambui kuwa uliwahi ishi duniani,, ila hayo ni mawazo yangu naamini kuwa MUNGU anajua nisiyojua maana yeye ndo muumba wa mbingu na nchi na vyote vilivyomo
Memory zinaweza kuwepo sometimez. Maana mimi kuna mtu niliwahi kutana nae wote wawili tuna memory ya kuwa tulishawahi kutana somewhere na ni.mara kwa mara na ndio maana tukawa tunashangaana but tulikaa chini kujaribu kukumbuka niwapi tulikutana huwezi amini hatukuwahi kupata. But moyoni kila.mtu anaamini kuwa tulifahamiana sehemu but hatukuwahi kupata jibu kabisa mpaka kesho sehemu alizoishi na kukulia ni tofauti kabisa na mimi yaani ni vigumu kumeet....basi ikaishia hivyo.....
So naamini roho zetu.may be zilishwahi.kumeet up back then in the past somewhere.
 
Kijana pole sana, ila bado hujachelewa.. unaweza kubadili mtazamo na kumrudua muumba wako kwa toba. Wewe kuendelea kuwa hai licha ya maovu yako yote huwez juwa Mungu ana kusudi gani na wewe. It's never too late
 
Back
Top Bottom