Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

Ila kuna mambo magumu sana nikitamani tu tayari nimezini nakuwa kundi moja na shetani muovu wa maovu yote duniani mmmmmmmh
 
Nilitaka habari za huyo Mungu ziwe na logical consistency.

Unajua logical consistency ni nini?
Mbona unajipinga mwenyewe.haueleweki unataka nini.wewe unaona mungu kajipendelea kuwa na uwezo mkubwa na nguvu.nimekuuliza unataka mungu akupe uwezo gani alionao ili uamini kwamba yupo?
 
Okoyoko ! Pole sana. Unakubali Mungu yuko na shetani yuko. Halafu unasema unamchukia Mungu. Kwa maana hiyo unampenda shetani? Unachukia kwa nini alikuumba? Hujipendi? Au unataka kujiua? Jiue basi kama hujipendi. Mungu alikuumba ili uchague katika kila jambo utakalofanya. Unaweza kuamua kufanya jema au baya. Na kumbuka hakuna kitu chochote kizuri ambacho hakina challenge. Chakula kitamu lazima ukihangaikie. Sasa ukisema kwa nini aliweka shetani hapa duniani huoni hata hujui ni kwa nini unaishi? Unaishi ili ushinde. The greater the challenge the sweeter the victory. Unatakiwa umshinde shetani sio ulalamike kwa nini Mungu amemleta. You must sweat if you want sweet
 
Post hii haijajibu swali hili.

Kama Mungu yupo, ni mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote, na upendo wote, alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu vyovyote alivyotaka.

Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote,ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kutokea, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?

Swali hili halijajibiwa.
We huoni huwo kuwa ni uwezo? Km kaweza kuumba mabaya na mazuri yote yakawezekana bado hujaona kuwa huwo ni uwezo tosha? Okay kwa kili zako fupi km mkia wa nguruwe usiyeweza hata kufikiria hv hujiulizi kwann mzungu ameweza kutengeneza chombo cha usafiri kurahisisha usafiri lkn amashindawa kuzuia ajali yaani kwa akili zako fupi hapo utakuwa hujaelewa bado tu ni hv ameweza kutengeneza jambo zuri lkn ameshindwa kuzuia jambo baya lisitokee! Amini amini nakwambia ukiwa na akili fupi km mkia wa sungura huwezi kutembea kwa madaido huku ukitingisha mkia utaishia kurukaruka km umekanya kaa la moto
 
Mbona unajipinga mwenyewe.haueleweki unataka nini.wewe unaona mungu kajipendelea kuwa na uwezo mkubwa na nguvu.nimekuuliza unataka mungu akupe uwezo gani alionao ili uamini kwamba yupo?
Mungu mwenye upendo wote, ujuzi wote na uwezo wote asingeweza kuumba kiumbe chochote ambacho kina uwezo mdogo kuliko yeye.

Kufanya hivyo kungekuwa ni kujipendelea yeye huyo Mungu na kumnyima uwezo wote huyo kiumbe.

Mungu mwenye upendo wote hana choyo, kuumba kiumbe chenye ukomo wa uwezo wakati Mungu hakushindwa kuumba kila kiumbe kiwe kama yeye Mungu ni uchoyo.

Kwa hiyo,ukweli kwamba hatuna uwezo wa kimungu, tunalazimika kula,kunya,kufanya kazi, kufa etc unadhihirisha kwamba huyo Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayupo.

Ni hadithi tu.

Habari za kuwepo kwa Mungu wenu hazina logical consistency.
 
We huoni huwo kuwa ni uwezo? Km kaweza kuumba mabaya na mazuri yote yakawezekana bado hujaona kuwa huwo ni uwezo tosha? Okay kwa kili zako fupi km mkia wa nguruwe usiyeweza hata kufikiria hv hujiulizi kwann mzungu ameweza kutengeneza chombo cha usafiri kurahisisha usafiri lkn amashindawa kuzuia ajali yaani kwa akili zako fupi hapo utakuwa hujaelewa bado tu ni hv ameweza kutengeneza jambo zuri lkn ameshindwa kuzuia jambo baya lisitokee! Amini amini nakwambia ukiwa na akili fupi km mkia wa sungura huwezi kutembea kwa madaido huku ukitingisha mkia utaishia kurukaruka km umekanya kaa la moto
Unafahamukwamba swali nililokuuliza hujalijibu? Nina shaka kamahata kulielewa umelielewa.
 
Kuna maswali mengi kuhusu Mungu huwa najiuliza, mpaka SAA nyingine huwa namkasirikia Mungu (maybe nakufuru lakini acha iwe hivyo).Bcoz kwa ninavomuwazia Mungu ingekuwa ni heri nisingezaliwa.

1) Kama kweli Mungu ni upendo, kwanini aumbe Jehanamu ya kutuchoma milele sisi tulio waovu (lyk for billions and trillions of years). Si heri angetumaliza tu kuliko kututesa milele? Kwenye shuhuda nyingine wakristo huenda motoni kwa dhambi moja tu ambayo hawakutubu. (I know hell was originally intended for the devil and his demons & not 4 humans)

2) Kwanini alimruhusu shetani kumjaribu Adam ikiwa alijua kuwa wanadamu wengi tutateseka duniani, tutaanguka maovuni, na atatutupa Jehanamu?

3) Kama Mungu anatuambia tukitenda dhambi na tusipomtii tutachomwa motoni, Je wakristo na waislamu (baadhi yetu) tutakuwa tunamtumikia Mungu kwasababu tunampenda na tunataka kumjua zaidi? Au tutakuwa tunamtumikia kwasababu tunaogopa kwenda Jehanamu?

4) Mungu husema mawazo yake si kama ya kwetu, na njia zake zipo juu zaidi, nakubaliana na hilo. Maybe kutuchoma motoni it's in his nature, that's the way he is and we have to live with it.

5)All in all Mungu ana hekima kuliko mimi, coz ni muumba wa kila kitu. Maybe katika hekima yake yote, hii ndo decision bora aliokuja nayo. Labda ana reason nzuri behind all this ambayo mm siijui. Maybe Mungu mwenyewe akinijibu face 2 face, nitabadili mtazamo wangu kuhusu yeye.

6) Kingine kinachonikasirisha pia ni yeye kuruhusu mimi kuja hapa duniani, naona ni heri nguvu aliotumia kuniumba mimi angetumia kufanya kitu kingine, nachukia + najuta kuwa hapa duniani to see all this, dunia imejaa waovu (mimi nikiwa mmoja wapo) pamoja na mateso ya kila namna.

Haya ndo mawazo yangu nimeamua ku-share nanyi, najua hata povu linitoke vipi it won't change the facts. Samahani kwa nitakaekuwa nimewakwaza humu jukwaani, naamini Mungu alishayajua mawazo yangu kuhusu yeye toka kitambo.

So im just keeping it real.
Bado humjui Mungu ndugu, huzijui kweli nyingi zimuhusuzo, na maarifa juu yake pia bado. Hayo yote yalikuwa ni mashitaka, kipindi cha kale hata chq mitume na manabii unaowaheshimu sana, hawakuwa wanazijua kweli nyingi za kimbingu na maarifa yao juu ya hizo kweli yalikuwa yako chini sana.

Kwasasa nyingi ziko open, zitafute uzione. Mungu hawezi kuwa mbaya kihvyo, hata mwenyewe ningemchukia pamoja na huo uiitao moto au jehanamu kuwepo, KWELI HAZIKO HIVYO, Nampenda Mungu.
 
Bado humjui Mungu ndugu, huzijui kweli nyingi zimuhusuzo, na maarifa juu yake pia bado. Hayo yote yalikuwa ni mashitaka, kipindi cha kale hata chq mitume na manabii unaowaheshimu sana, hawakuwa wanazijua kweli nyingi za kimbingu na maarifa yao juu ya hizo kweli yalikuwa yako chini sana.

Kwasasa nyingi ziko open, zitafute uzione. Mungu hawezi kuwa mbaya kihvyo, hata mwenyewe ningemchukia pamoja na huo uiitao moto au jehanamu kuwepo, KWELI HAZIKO HIVYO, Nampenda Mungu.

Kama Mungu yupo, ni mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote, na upendo wote, alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu vyovyote alivyotaka.

Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote,ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kutokea, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?

Swali hili halijajibiwa.

Kuna wengi hata kulielewa hawajalielewa.
 
Hujajibu swali.

Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote,ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kutokea, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?
Ameweza kuumba yote hayo kwasababu anao uwezo wa kuyazuia huwez kuumba then usiweze kuzuia. Kaumba mabaya cz anao uwezo wa kuyazuia na kaumba mazur cz anao uwezo wa kuwazui pia. Tengeneza ww baiskeli yako then uizuie usipate ajali km ukiweza mm ntakuwa mfuasi wako kwny hyo dini yako mpya
 
Mungu mwenye upendo wote, ujuzi wote na uwezo wote asingeweza kuumba kiumbe chochote ambacho kina uwezo mdogo kuliko yeye.

Kufanya hivyo kungekuwa ni kujipendelea yeye huyo Mungu na kumnyima uwezo wote huyo kiumbe.

Mungu mwenye upendo wote hana choyo, kuumba kiumbe chenye ukomo wa uwezo wakati Mungu hakushindwa kuumba kila kiumbe kiwe kama yeye Mungu ni uchoyo.

Kwa hiyo,ukweli kwamba hatuna uwezo wa kimungu, tunalazimika kula,kunya,kufanya kazi, kufa etc unadhihirisha kwamba huyo Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayupo.

Ni hadithi tu.

Habari za kuwepo kwa Mungu wenu hazina logical consistency.
Hivi.wewe umeumbwa na nani...?
 
Ameweza kuumba yote hayo kwasababu anao uwezo wa kuyazuia huwez kuumba then usiweze kuzuia. Kaumba mabaya cz anao uwezo wa kuyazuia na kaumba mazur cz anao uwezo wa kuwazui pia. Tengeneza ww baiskeli yako then uizuie usipate ajali km ukiweza mm ntakuwa mfuasi wako kwny hyo dini yako mpya
Hujaelewa swali.

Sijauliza kama kaweza au hakuweza.

Nimeuliza kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezowa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

KamaMungu anawapenda viumbe wake, ana uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kabisa na ujuzi wa kfanya hivyo.

Aumbe ulimwengu ambaomabaya yanawezekana kwa sababu gani?
 
Hivi.wewe umeumbwa na nani...?
Kwa nini swali liwe "nani" ?

Ukishaweka "nani" tayari ushanipangia jibu, kuna jibu lako unalotaka.

Kwanini swali liwe "nani" ?

Mbona unajifunga wigo?
 
Hujaelewa swali.

Sijauliza kama kaweza au hakuweza.

Nimeuliza kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezowa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

KamaMungu anawapenda viumbe wake, ana uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kabisa na ujuzi wa kfanya hivyo.

Aumbe ulimwengu ambaomabaya yanawezekana kwa sababu gani?
Ila umekubari kuwa ameweza ee asante kwa kukubari hilo nadhani sasa hv unaadha kuutafuta mkia wa swala
 
Ndo maana nikasema una akili fupi km za nguruwe
Kamanina akili fupi kama za nguruwe, hiyo ni ishara kwamba Mungu wako mjuzi wa yote, mwenye upendo wote na uwezo wote hayupo.

Kwa sababu angekuwepo,kwa ujuzi wake mwingi,upendowake mwingi na uwezowake mwingi, asingeumba kiumbe mwenye akili fupi.

Viumbe wenye akili fupi ni uthibitisho kwamba Mungu huyo hayupo.
 
Kwa nini swali liwe "nani" ?

Ukishaweka "nani" tayari ushanipangia jibu, kuna jibu lako unalotaka.

Kwanini swali liwe "nani" ?

Mbona unajifunga wigo?
Sawa,niambie umetoka wapi mwenzetu
 
Sawa,niambie umetoka wapi mwenzetu
Hata nikikwambia sijui, hilo halimanishi kwamba Mungu yupo.

Mtu kutokujua square root ya mbili haimaanishi jibu lake ni kumi.

Mungu wenu hana logical consistency.

Kwa sababu ni wa uongo.
 
Back
Top Bottom