Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,641
- 47,664
Jamaa yuko stressed indeed.Inaonekana uko stressed muda huu (point yako ya sita) as if kuna jambo baya umefanya,linakuumiza,unalijutia
Kama iko hivyo kweli ni heri ukatubu kwa imani yako na kuamini sisi binadamu hakuna mkamilifu,wote tunamkosea Mungu
Kwa imani yangu nafahamu Mungu ni pendo na huwa hakusudii baya lolote litutokee
Sasa kama humpendi yeye manake hata ndani yako hakuna upendo
USHAURI
Usipende kumuongelea Mungu kiboya boya kama unawongelea wachumba zako huko
Hayo maswali # 1,2&3 nimeshindwa kuyajibu kwasababu sipo into dini kabisa