Sababu zangu za kuoa single mother

Sababu zangu za kuoa single mother

Utakuja upige simu utaambiwa baby sory nimetoka nipo Mkoa fulani huyu mtoto amekuwa akinisumbua sana anasema anataka kumuona baba yake, anasema anaumia shuleni akiona wenzake wanatembelewa na baba zao wazazi, anasema kama simuoneshi atajidhulu kwa maana hiyo nimemleta kwa baba yake Mara moja hapa Mkoani Mwanza baby, usiwe na wasi wasi baby niko care sana, najali mahusiano yetu na afya yangu...

[emoji3][emoji3] inapofika saa mbili kamili usik simu imezimwa had kesho saa tatu asubuhi, ndio utajua maana ya wahenga wa humu wanachokushauri na ww kukaza shingo.

Akitoka huko anaanza mabadiliko kidogo kidogo, simu busy, hatak uishike ukiishika mnagombana kwamba humuamin, kidogo kidogo utasikia ww nimekuvumilia sana ila inaonekana uko tofauti na Baba Junior baba wa mwanangu yeye hafatiliag simu zangu, tunaaminiana sana na alinipenda kwa dhati ni basi shetani aliingilia penzi letu tukaachana.


Kwa sasa naona kama ameanza kujirudi mme wangu na baba wa mtoto/watoto wangu sitaki kumkwaza tena, sory kama huwez ishi nami na ukaniacha nikawasiliana na baba wa mwanangu for the sake ya furaha ya mwanangu pekee bora uniache tu.


Siwez kosesha mwanangu furaha sababu ya wivu wako, siwez muacha baba wa mtoto wangu kama kaamua kubadilika haijalishi hata kama ameoa najua ni shetani alimpitia kama anavyopitia watu wengi ila bado ananipenda sana.

Na toka mwanangu amemuona baba yake anafuraha sana sana hata mm mwenyewe nafurahia anavyoishi kwa sasa.


Mkuu pamoja ni kuandika yote hayo njoo uendelee kushupaza shingo halafu tuache siku zitaamua zenyewe huko mbeleni.
Mkuu una experience ya kutosha..yaan umepita mle mle.
 
Utakuja upige simu utaambiwa baby sory nimetoka nipo Mkoa fulani huyu mtoto amekuwa akinisumbua sana anasema anataka kumuona baba yake, anasema anaumia shuleni akiona wenzake wanatembelewa na baba zao wazazi, anasema kama simuoneshi atajidhulu kwa maana hiyo nimemleta kwa baba yake Mara moja hapa Mkoani Mwanza baby, usiwe na wasi wasi baby niko care sana, najali mahusiano yetu na afya yangu...

[emoji3][emoji3] inapofika saa mbili kamili usik simu imezimwa had kesho saa tatu asubuhi, ndio utajua maana ya wahenga wa humu wanachokushauri na ww kukaza shingo.

Akitoka huko anaanza mabadiliko kidogo kidogo, simu busy, hatak uishike ukiishika mnagombana kwamba humuamin, kidogo kidogo utasikia ww nimekuvumilia sana ila inaonekana uko tofauti na Baba Junior baba wa mwanangu yeye hafatiliag simu zangu, tunaaminiana sana na alinipenda kwa dhati ni basi shetani aliingilia penzi letu tukaachana.


Kwa sasa naona kama ameanza kujirudi mme wangu na baba wa mtoto/watoto wangu sitaki kumkwaza tena, sory kama huwez ishi nami na ukaniacha nikawasiliana na baba wa mwanangu for the sake ya furaha ya mwanangu pekee bora uniache tu.


Siwez kosesha mwanangu furaha sababu ya wivu wako, siwez muacha baba wa mtoto wangu kama kaamua kubadilika haijalishi hata kama ameoa najua ni shetani alimpitia kama anavyopitia watu wengi ila bado ananipenda sana.

Na toka mwanangu amemuona baba yake anafuraha sana sana hata mm mwenyewe nafurahia anavyoishi kwa sasa.


Mkuu pamoja ni kuandika yote hayo njoo uendelee kushupaza shingo halafu tuache siku zitaamua zenyewe huko mbeleni.
Umemaliza mkuu mwenye kusikia na asikie
 
Hawa wanaoitwa ma singo maza tuishie kuwala ila kujiweka kwa mahusiano ya mpka ndoa mtakuja kuumia vibaya bila sababu wazee wetu sio wajinga kusema mtalaka hatongonzi ni kwamba ukishapita kwa mwanamke ni ngumu sana kukunyima mbususu hivyo alieko nae kwa wakat huo lazima aumie
 
Utakuja upige simu utaambiwa baby sory nimetoka nipo Mkoa fulani huyu mtoto amekuwa akinisumbua sana anasema anataka kumuona baba yake, anasema anaumia shuleni akiona wenzake wanatembelewa na baba zao wazazi, anasema kama simuoneshi atajidhulu kwa maana hiyo nimemleta kwa baba yake Mara moja hapa Mkoani Mwanza baby, usiwe na wasi wasi baby niko care sana, najali mahusiano yetu na afya yangu...

[emoji3][emoji3] inapofika saa mbili kamili usik simu imezimwa had kesho saa tatu asubuhi, ndio utajua maana ya wahenga wa humu wanachokushauri na ww kukaza shingo.

Akitoka huko anaanza mabadiliko kidogo kidogo, simu busy, hatak uishike ukiishika mnagombana kwamba humuamin, kidogo kidogo utasikia ww nimekuvumilia sana ila inaonekana uko tofauti na Baba Junior baba wa mwanangu yeye hafatiliag simu zangu, tunaaminiana sana na alinipenda kwa dhati ni basi shetani aliingilia penzi letu tukaachana.


Kwa sasa naona kama ameanza kujirudi mme wangu na baba wa mtoto/watoto wangu sitaki kumkwaza tena, sory kama huwez ishi nami na ukaniacha nikawasiliana na baba wa mwanangu for the sake ya furaha ya mwanangu pekee bora uniache tu.


Siwez kosesha mwanangu furaha sababu ya wivu wako, siwez muacha baba wa mtoto wangu kama kaamua kubadilika haijalishi hata kama ameoa najua ni shetani alimpitia kama anavyopitia watu wengi ila bado ananipenda sana.

Na toka mwanangu amemuona baba yake anafuraha sana sana hata mm mwenyewe nafurahia anavyoishi kwa sasa.


Mkuu pamoja ni kuandika yote hayo njoo uendelee kushupaza shingo halafu tuache siku zitaamua zenyewe huko mbeleni.
Kikao cha mwisho makubaliano yalikuwa vipi
 
Habari za wakati huu

Kusema tu ukweli mimi nitaoa single mother, mwanamke mwenye mtoto nikikosa bikira. Kwa sababu;

~ Mtamu sana.

~ Anajua kupenda.

~ Amekomaa kiakili.

~ Wapo makini sana kwenye maisha kwa maana hakuna kigeni kwake kwenye mapenzi.

~ 80% wengi huwa wanakuwa wasafi ndani mpaka nje.

~ Hakunaga kigeni kwao.

~ Wajuzi hawa watu, wana utu na utulivu.

~ Wanahuruma sana.

Mje mniue
Umezingua sana umekubali vipi kuanza mechi Moja bila
 
Hivi inakuaje mpaka mtu unafikia hatua ya kuoa mwanamke mtumba wanawake wengi Hawana shukrani tambua hilo hata ukimstiri bado atakuona we ni mshamba na mdhaifu umeacha pisi kali umedondokea
Kwake
Hata wazazi wanakuona wa ajabu unaacha kigori unakimbilia aliyezaa yaani ni kama umejishusha hadhi mara nyingi madomo zege wanaoa single mother

Na hata hao single mother baadhi hawataki watoto wao waoe single mother
 
Kuna mmoja nikakuta kazalishwa ila mtoto wake yuko kwa bibi yake ambaye ni mama wa ex wake.

Nikasema hapa sawa nitaishi na huyu kwa vile haishi na mtoto maana kuitwa baba nikavimba ilihal sio damu yangu nisimgeweza kabisa, au sijui school fees 1.5m ya medium school naambiwa baby mlipie mwanetu, ilihal ndugu zangu kijijin wanatembea naashati yamechanika mgongoni nisingeweza kabisa.

Basi ikafika siku ikapigwa simu na yule mama wa x wake anaeishi na mtoto kafura kweli kweli, eti mmenikabidhi mtoto hapa na kila mmoja wenu anakula bata mm nahangaika na mwanenu, augue nimtibu, nimfulie, nihakikishe kala na kalala, nyie mpo mpo tu hata nikiwaambia kuna uhitaji wa swala fulani jibu lenu nisubiri hamna fedha sasa kwa nini mlizaa?

Jumamosi hii ufike Mkoani nilipo tujue mwafaka wa malezi ya huyu mtoto. Mdada akaniaga bwana nimeitwa kwa mwanangu ngoja niende chapu na kurudi, nikaona swala la mtoto ni sensitive na hata nikimkataza tutaishia lumbana kwamba sijali mwanae.


Huyoo akaenda zake, kumbe yule ex wake kaambiwa afike same day wapate mwafaka, [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] jioni kuna chumba pale analala mdada wa yule maza, akaambiwa fulani utoe vutu vyako hicho chumba cha nje uwaachie hawa nafasi ya kulala.

Piga simu usiku haipatikan, mpaka saa tatu asubuhi mtu katafuta upenyo sijui kajifanya anaenda dukan nunua sukari ndo kunipigia, naambiwa sorry sana mme wangu ni story ndefu kukuelezea kuwa mvumilivu nikija nitakuambia nini kilijiri hapa, ila kuaa na amani.


Alivyokuja nilivyombana kwa sura ya ukali zaidi ndo kunambia hilo jibu kwamba aliaambiwa fulani wapishe fulani na fulani chumba che nje walale je ungekuwa wewe mme wangu ungekataa wakat wenyeji ndo wanapanga namna ya kulala pale kwao.

Ila tulilala tu hatukufanya lolote maana siwez fanya na mtu sijamuona muda mrefu sijui afya yake.

Alivyobanwa vizuri akasema tulifanya kamoja tu kwa kunilazimisha [emoji3][emoji3][emoji2]


Nikaamin single Mother sio wako na huna Mamlaka nae.
Kwa hiyo sasa na wewe ulikula mbususu au ukasusa kabisa🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hata wazazi wanakuona wa ajabu unaacha kigori unakimbilia aliyezaa yaani ni kama umejishusha hadhi mara nyingi madomo zege wanaoa single mother

Na hata hao single mother baadhi hawataki watoto wao waoe single mother
Wee tena wakali hao kwa wanao kuleta single maza nyumbani kumtambulisha. Utasikia kama wee ulikaa tumboni miezi tisa muoe huyo mwanamke nikumwagie laana
 
Wewe siku ingia kwenye mahusiano na single maza ndo utajua hujui.

Mfano katoto ndo kanaumwa hapo ghafla utamwambia mwenza wako aanze kuwapigia baba zake
Yan nitamwambia maana ni damu yao ni ukoo wa mtoto, Mimi siwezi kuhudumia toto la mtu waakati baba yake yupo haiwezekani.
 
Hongera sana Kwa kuchagua njia yako, wewe msifie huyo singo Maz wako lakini mambo ya kusema asilimia 80 wanajua kupenda wasingekuwa singo mazas
 
Wewe siku ingia kwenye mahusiano na single maza ndo utajua hujui.

Mfano katoto ndo kanaumwa hapo ghafla utamwambia mwenza wako aanze kuwapigia baba zake
Mimi nilikuwanae nilishangaa kuniambia mahitaji ya mtoto wake wakati baba mtoto yupo tena huyo Baba mtoto ni kiongozi mkubwa wa chama cha ccm na alishawahi kuwa Mbunge, Kuchunguza zaidi kumbe alizaa na Mtu mzima umri sawa na wazazi wangu hapo mwanzo alinificha akaniambia Baba mtoto tuna lingana umri, Kumbe kuchunguza zaidi mtoto ana baba wawili huyo mzee na kijana kama mimi, sasa kumbe kijana kama mimi kaingia mitini alijui mtoto siyo wake mwanamke alipewa mimba na mzee akataka kumbambika kijana kama mimi kwaiyo kijana alishtuka, Hayo yote niliyajua kupitia dada yake baada kuniambia mdogo wake ambaye ni single mother kafiwa na baba mtoto wake" dada yake akanionyesha picha tofauti na niliyoonyeshwa na Single mother. Kwaiyo single mother %99 ni waongo sana ndiyo chanzo cha kutelekezwa mtoto utakuta wanapewa mimba na waume za watu na kutaka kuwabambikia vijana na vijana tupo makini, wao hawataki kutaja baba wa mtoto, wengi wao wanakuwa wamezaa na watu wazima sana.
 
Utakuja upige simu utaambiwa baby sory nimetoka nipo Mkoa fulani huyu mtoto amekuwa akinisumbua sana anasema anataka kumuona baba yake, anasema anaumia shuleni akiona wenzake wanatembelewa na baba zao wazazi, anasema kama simuoneshi atajidhulu kwa maana hiyo nimemleta kwa baba yake Mara moja hapa Mkoani Mwanza baby, usiwe na wasi wasi baby niko care sana, najali mahusiano yetu na afya yangu...

[emoji3][emoji3] inapofika saa mbili kamili usik simu imezimwa had kesho saa tatu asubuhi, ndio utajua maana ya wahenga wa humu wanachokushauri na ww kukaza shingo.

Akitoka huko anaanza mabadiliko kidogo kidogo, simu busy, hatak uishike ukiishika mnagombana kwamba humuamin, kidogo kidogo utasikia ww nimekuvumilia sana ila inaonekana uko tofauti na Baba Junior baba wa mwanangu yeye hafatiliag simu zangu, tunaaminiana sana na alinipenda kwa dhati ni basi shetani aliingilia penzi letu tukaachana.

Kwa sasa naona kama ameanza kujirudi mme wangu na baba wa mtoto/watoto wangu sitaki kumkwaza tena, sory kama huwez ishi nami na ukaniacha nikawasiliana na baba wa mwanangu for the sake ya furaha ya mwanangu pekee bora uniache tu.

Siwez kosesha mwanangu furaha sababu ya wivu wako, siwez muacha baba wa mtoto wangu kama kaamua kubadilika haijalishi hata kama ameoa najua ni shetani alimpitia kama anavyopitia watu wengi ila bado ananipenda sana.

Na toka mwanangu amemuona baba yake anafuraha sana sana hata mm mwenyewe nafurahia anavyoishi kwa sasa.

Mkuu pamoja ni kuandika yote hayo njoo uendelee kushupaza shingo halafu tuache siku zitaamua zenyewe huko mbeleni.
Mkuu umegusa penyewe nilishtuka hizi mbanga japo kumsahau yule single maza ni ngumu ila haya uloondika nilianza kuyaona nikashtuka kabla hajawa wazi. Ila watamu sana hawa viumbe wa kuitwa single mother.
 
Back
Top Bottom