Ni ngumu kupata mwanamke ambaye hajatumika ukimpata basi wewe utakuwa the luckiest man in the world.
Nashangaa sana mtu anayechukulia kuoa kama kitu kidogo as unanunua TV na kuweka ndani, kuoa ni kitu kizito kinachohitaji akili, kufikiri, utafiti, utayari na maamuzi magumu na sahihi bila kukosea sababu unayemuoa ndio mtu unayeenda kuishi naye almost maisha yako yote na ndio mtu utakayejenga naye familia.
Now, hicho sio kitu kidogo hata kidogo. Sasa siwezi imagine mimi nitoke hapa niende kuishi na mtu aliyeharibu huko nyuma aje kuniharibia na mimi. Pia katika kitu ambacho sitokuja kukifanya ni kulea mtoto wa mwanaume mwenzangu, hiyo ni dharau kwangu na kwa familia yangu. So that's a big of a Hell No.
Kwenye kuoa cha muhimu sio kupata mwanamke bikra bali ni kupata mwanamke anayejitambua, kujiheshumu na anayejali utu wake ili kupata familia bora and that's enough, aliyezalishwa mostly ni kinyume chake.
Cha muhimu ni Familia bora na hilo ndio dhumuni kuu la ndoa, sio ngono. Kama unaoa kwa misukumo ya ngono na visababu vingine visivyo na msingi basi RIP in advance brother.
Siwalaumu singe mothers ila huo ndio ukweli mchungu. Reality Check.
Ni vizuri waoane single parents wenyewe kwa wenyewe na wale wapya kwenye ndoa waoane wao kwa wao.
Au utakuja kujuta hasa baada ya kupata familia alafu watoto na wazazi kuanza migogoro.