Sababu za vegetarians kutokula nyama

Sababu za vegetarians kutokula nyama

Kuna hii habari hapa si vibaya kuipitia pia thezensite: Was Jesus a Buddhist?

Yesu alikuwa enlightened. Hata Buddhist hueshimu mchango wake. Wapo wanaosema yesu aliwahi kuishi kashmiri alipokuwa kijana kati ya miaka 20 mpaka 30. Kumbuka sio maisha yote ya Yesu yaliandikwa kwenye biblia.

Ila suala la Yesu kuwa enlightened its true. Kuhusu udini n.k kwa kweli I don't know.

Pia Buddhist haisemi kama kuna Mungu au la, hilo ni individual choice. Buddha hakupenda kufundisha hilo, alisihi sana watu wajifunze kuishi kwa amani na upendo kwanza. The future will settle.
 
Nadhani chanzo chako kitakuwa kimekosea. Mwaka sahihi ni 543 BC na siyo 563 BC. Fuatilia zaidi.

Chanzo hakukuwa specific sana na mwaka wake kwani kuna contradiction. But its around that miaka ya 560's na 540's.
 
Yesu alikuwa enlightened. Hata Buddhist hueshimu mchango wake. Wapo wanaosema yesu aliwahi kuishi kashmiri alipokuwa kijana kati ya miaka 20 mpaka 30. Kumbuka sio maisha yote ya Yesu yaliandikwa kwenye biblia.

Ila suala la Yesu kuwa enlightened its true. Kuhusu udini n.k kwa kweli I don't know.

Pia Buddhist haisemi kama kuna Mungu au la, hilo ni individual choice. Buddha hakupenda kufundisha hilo, alisihi sana watu wajifunze kuishi kwa amani na upendo kwanza. The future will settle.

Mafundisho mengi ya Buddha Yana quotes nyingi za Bible na wanamtaja Yesu kristo kama enlighten being
 
Thanks mkuu. Nafurahi kuona hayo masomo unayafahamu. Ni masomo ambayo yanaridhisha kimaelezo hasa ukiyaexperience zaidi ya kuyasoma na kuyasikia ndio maana wengi hawajui.
Apollo nimeitafuta sana hii post, kuna mengi Nimejifunza toka kwako
 
Last edited by a moderator:
Kwenye somo la biology tumefundishwa kwamba mimea nayo ni viumbe hai,isipokuwa mawe sio hai,labda sasa tugeukie kula udongo na mawe,ili tusije tukaviua viumbe vyenzetu

Omba ufafanuzi kwa sababu haya mambo ni ya SIXTH SENSE.
 
hii imani inaenda mbali zaidi kwakuwa hata dawa za kuulia wadudu wao hawatumii kabisa, na kama wakiitumi wanatumia ile tu ya kulewesha na si kuondoa uhai, kwa vegetarians kuuwa kiumbe ni dhambi kubwa kuliko zote na karma yake ni mbaya sana

Na hao wadudu ndio hatari kwa mimea,sasa sijui itakuwaje?
 
I serve the God of Israel ambaye ndiye aliyewaumba hao wanyama ili wawe chakula chetu
 
Ooh Lord, help me not to know TOO much of anything!
Life is temporary!
 
Mimi pia ni mmoja katika ya watu ambao hawali nyama. Mwanzoni nilifanya kutokana na Imani Yangu, lakini kwa sasa naona umuhimu na faida yake hata kwa nje ya Imani.

Sio tu Buddhism, Hinduism, Rastafaris, Ethiopian Monks, Nazarenes(Jews), na ancient Egyptians hata ukristu kuna makundi yasiyokula nyama hasa ukristu wa kale ulielewa umuhimu wa vegetarianism.


Kihistoria, imani za kale zilianza kuuliza kwanini sisi wanadamu tupo hapa duniani? Nini kinachotutofautisha na wanyama na mimea? Hivyo watu waliokuwa ENLIGHTENED kama Krishna, Buddha, Waisraeli wa kale, waliona umuhimu wa kuishi kwa Amani. Sio kuishi tu kwa amani na mwanadamu mwenzako bali kwa viumbe vyote. Haina haja ya kumpiga mnyama bila sababu na baadaye wakaona hata kumpiga mnyama haitoshi, ili kuwa na amani na kuweza kuboost Third Eye, Karma, na kubalance Chakras zako, Ishi kwa kutoua mnyama kabisa. Kila kiumbe kina haki ya kuishi. Mimea ndio source ya kwanza ya chakula then Nyama ni Secondary source. Haina haja ya kumchinja mnyama na kumla wakati kuna vyakula vingi haviitaji kuua kiumbe. Tunapaswa kuishi kwa kuheshimu all aspects of life duniani. Kuna sababu nao wakaishi hivyo yanini niwaue, nao husikia maumivu, wanyama wanahisia ambazo hata sisi tunazo mfano upendo, huhisi maumivu, n.k lakini pia nao wanahaki kuhishi. Sisi wanadamu tuna akili ya kuwatunza na kuwajali kwani wote tumeumbwa pamoja.


Tatizo ni ego ya mwanadamu kuwa sisi ndio kila kitu na kila uhai wa kiumbe tunaweza kuutoa. Kuwa vegetarian kunakupa sio tu afya ya mwili hasa katika miaka ya vyakula vya madawa bali hata inatupa afya kiroho na kiakili. Ni vigumu kumuelezea mtu. Lakini ni kitu ambacho hakiitaji Kiongozi wa dini, wala kitabu cha dini, ni kitu kitokacho kwa hisia, hisia ya upendo tuliyozaliwa nayo sisi wanadamu kutoka aliyetuumba.

Kweli kabisa! Niliwahi ku jaribu kuwa vegetarian nikiwa shule kwa vile nilikuwa nafanya yoga asana nilivyorudi nyumbani nikazidiwa nguvu na wazazi nikaanza kula nyama!. Uzoefu ulinionesha kuwa kutokula nyama kuna faida kiafya lakini kama mtu haupati mbadala wa protein ni muhimu kula nyama nyeupe mfano samaki na kuku.
 
Back
Top Bottom