Meditation ni dini? Are you serious mkuu au umependa tu kuchangia? Meditation is human nature, ukilala ni meditation, ukiota ndoto that's meditation, yoga ni part ya meditation. Meditation technique ya kukaa na kufocus on your breath and not to think about Anything ipo map aka mahospitalini, ipo kwenye ukristu, Judaism, Islam all religions zamani zilifahamu umuhimu wa meditation kuleta amani, labda waliokuelekeza walikuwa na udini.
Ila naamini wapo viongozi wa dini wanakataza waumini wasimeditate, sio kwamba ina udini, meditation ni practice ya zamani sana tangu mababu na mababu, tatizo ukimeditate sana waweza kuwa enlighted na kuwa na hekima na ufahamu mkubwa zaidi hata ya viongozi wako wa dini. Some priests na religious people wanaogopa kuwa enlighted na kupotosha kwa kuwaambia wengine kuwa meditation is pagan. Meditation is human nature.
Sijawahi sikia kuwa meditation ni udini. Ni sawa na kusema kufanya mazoezi ni ubaunsa tu. Meditation ni sawa na kurefresh akili, kuondoa negative thoughts, connect your soul, know your self, open your energies, focus on your heart, be one with your mind n.k
Hata mahospitali na watu wa afya wanashauri. Unless ulipata mwalimu mdini na asiyejitambua.