Sababu za vegetarians kutokula nyama

Sababu za vegetarians kutokula nyama

Naona cha arusha,malawi kinavyowaongoza kuchangia hapa,we mtu uone dhambi kuchuma majan ya maboga kisa yamechanua.Madokta wa magonjwa ya afya ya akili piteni hapa mchukue watu wenu muondoke nao
 
kuna faida nyingi sana za kuwa vegan...kwa hapa dsm ni rahisi coz mbogamboga na matunda ni bei rahisi..tofaut na wenzetu....nakuhakikishia utaishi miaka mingi na mwili wako utaimarika..mi nmesoma testimonies za many vegan..MTU Ana miaka 70 utasema ana 30 ....
 
kiukweli napenda kubadili maisha yangu kwenye mcingi huu..

ctaki kula nyama, kunywa pombe, kuendekeza anasa tena....

napenda kufanya meditation ingawa inanipa wakati mgumu kiukweli nahitaji mwalimu anielekeze

katika hili...

note: mi naishi Lushoto-Tanga hivyo kuhudhuria temple huko Dar ni ngumu xo I need altenative...

nyama choma, michemsho, roast, pombe na milupo vinazeesha mno. kama uko nenda View point Irente au Lushoto Excutive Inn au Ubiri pale kwa masista kuna sehemu zimetulia mno na zinafaa sana kwa meditation anza kwa wiki maramoja, tuwasiliane kwa miongozo. usifanyie nyumbani utaonekana mwehu, chizi au mwanga
 
Vipi kama unataka kuwa heavy weight boxer au michezo mingine inayohitaji ulaji wa nyama? Au kuna mamboga mboga ya kuwa mbadala ili kuwasaidia watu wa namna hiyo?
 
Kwenye somo la biology tumefundishwa kwamba mimea nayo ni viumbe hai,isipokuwa mawe sio hai,labda sasa tugeukie kula udongo na mawe,ili tusije tukaviua viumbe vyenzetu

Biology inazungumzia body (physical structure) as Physical Anthropology. Lakini haizungumzii intangible parts kama Souls, Spirit ambavyo ndivyo vitofautishavyo mmea na mwanadamu. Hivyo wote ni viumbe na vinatofautiana. Mfano mmea hauna soul, Biology haiwezi kuzungumzia hizo tofauti za intangible na ndio maana ikaitwa inabase na Physical Anthropology.
 
Hata mimea Ina haki ya kuishi kwani ndio inayotupatia hewa ya oxygen, wasile kitu chochote wanywe maji tu.

Na mchango wake tunauheshimu ndio maana vegetarians ni wapenzi wa kutunza mazingira.

Ndio maana nikasema...source of food zipo aina mbili tu. Primary source of food kama mimea na secondary source of food kama nyama (source of food nayotegemea primary source of food). Kama ya primary inaweza kukupa chakula basi ya nini kuua source ya pili ambayo nayo inategemea source ya kwanza ambayo nawe waweza kuitumia? That concept sijajua kama utaielewa vyema. But I hope nimejaribu kuelezea.
 
I can get a piece of mind. Okay let me finish my last stock and I can think about it.
 
Biology inazungumzia body (physical structure) as Physical Anthropology. Lakini haizungumzii intangible parts kama Souls, Spirit ambavyo ndivyo vitofautishavyo mmea na mwanadamu. Hivyo wote ni viumbe na vinatofautiana. Mfano mmea hauna soul, Biology haiwezi kuzungumzia hizo tofauti za intangible na ndio maana ikaitwa inabase na Physical Anthropology.

imekaa vizuri napata shida kuelewa inakuwaje mtu afananishe kiumbe na mmea? nabaki na taharuki
 
Kweli Ila nimepata kujifunza kitu hapa lakini suala la wanyama kulana hakuna shida kwa kuwa hawana utashi si ndio? Na kuna baadhi ya wanyama sijui wana survive for fitest kama mamba unajua hata wewe binadamu akikufumania anafanya kweli angalau na Simba ni mwoga kwa binadamu kidogo. Sasa hawa ndo wananifanya niwe na kisasi juu yao hata samaki wanakula sana watu wakikubahatisha. Ila vipi kuhusu Makuku ya kisasa nayo walaji wasiyale kweli utakuwa uonevu huo sasa.
 
imekaa vizuri napata shida kuelewa inakuwaje mtu afananishe kiumbe na mmea? nabaki na taharuki

jamaa yangu mmea sio kiumbe!? hahaha umesahau characteristics of livingthings? tena uka-classify ma-group moja wapo PLANTAE! leo unataka kusema sio kiumbe? kuhusu IQ yangu usiwe na wasi ndugu. mshana jr
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom