na Tai Chi Pia, Kung Fu kama Tai Chi ni michezo inayohitaji vital energy na concentration ya hali ya juu, ni sehemu ya meditation pia kama nyongeza kwa wale wanaopenda
Meditation ni dini niliwahi jiunga na watu wa lifewave society au the path tulikuwa tukikatazwa kwenda kanisani au msikitini
na Tai Chi Pia, Kung Fu kama Tai Chi ni michezo inayohitaji vital energy na concentration ya hali ya juu, ni sehemu ya meditation pia kama nyongeza kwa wale wanaopenda
Ukiangalia hizo style za kupigana zinafundisha self control. Meditation inawasaidia kujicontrol hasa kuondoa hasira na kupanick.
Mimi pia ni mmoja katika ya watu ambao hawali nyama. Mwanzoni nilifanya kutokana na Imani Yangu, lakini kwa sasa naona umuhimu na faida yake hata kwa nje ya Imani.
Sio tu Buddhism, Hinduism, Rastafaris, Ethiopian Monks, Nazarenes(Jews), na ancient Egyptians hata ukristu kuna makundi yasiyokula nyama hasa ukristu wa kale ulielewa umuhimu wa vegetarianism.
Kihistoria, imani za kale zilianza kuuliza kwanini sisi wanadamu tupo hapa duniani? Nini kinachotutofautisha na wanyama na mimea? Hivyo watu waliokuwa ENLIGHTENED kama Krishna, Buddha, Waisraeli wa kale, waliona umuhimu wa kuishi kwa Amani. Sio kuishi tu kwa amani na mwanadamu mwenzako bali kwa viumbe vyote. Haina haja ya kumpiga mnyama bila sababu na baadaye wakaona hata kumpiga mnyama haitoshi, ili kuwa na amani na kuweza kuboost Third Eye, Karma, na kubalance Chakras zako, Ishi kwa kutoua mnyama kabisa. Kila kiumbe kina haki ya kuishi. Mimea ndio source ya kwanza ya chakula then Nyama ni Secondary source. Haina haja ya kumchinja mnyama na kumla wakati kuna vyakula vingi haviitaji kuua kiumbe. Tunapaswa kuishi kwa kuheshimu all aspects of life duniani. Kuna sababu nao wakaishi hivyo yanini niwaue, nao husikia maumivu, wanyama wanahisia ambazo hata sisi tunazo mfano upendo, huhisi maumivu, n.k lakini pia nao wanahaki kuhishi. Sisi wanadamu tuna akili ya kuwatunza na kuwajali kwani wote tumeumbwa pamoja.
Tatizo ni ego ya mwanadamu kuwa sisi ndio kila kitu na kila uhai wa kiumbe tunaweza kuutoa. Kuwa vegetarian kunakupa sio tu afya ya mwili hasa katika miaka ya vyakula vya madawa bali hata inatupa afya kiroho na kiakili. Ni vigumu kumuelezea mtu. Lakini ni kitu ambacho hakiitaji Kiongozi wa dini, wala kitabu cha dini, ni kitu kitokacho kwa hisia, hisia ya upendo tuliyozaliwa nayo sisi wanadamu kutoka aliyetuumba.
mkuu umeongea vizuri sana swali linakuja samaki je? manake hata yy ana uhai na ni kiumbe cha mungu.
mkuu umeongea vizuri sana swali linakuja samaki je? manake hata yy ana uhai na ni kiumbe cha mungu.
Nin tofauti kati ya vegetarian na vegan
imani za kutungwa na binadamu lazima zikwame mahali fulani,bila wao wenyewe kujuwa,au walijuwa baadaye lakini ikawa bado wanaendelea na imani hiyo,baada ya kuona walifanya sivyo.Lazima ufahamu hata mimea,miti,majani vyote ni vitu vyenye uhai,kama wanyama walivyo na uhai,kwa hiyo hata ukiwa unakula mboga,ujuwe unakula kitu ambacho kilikuwa na uhai,wewe ndio umekikatisha maisha yake,kisayansi na kinadharia mimea,miti ,majani ni living things,ni vitu vyenye uhai.Mimi pia ni mmoja katika ya watu ambao hawali nyama. Mwanzoni nilifanya kutokana na Imani Yangu, lakini kwa sasa naona umuhimu na faida yake hata kwa nje ya Imani.
Sio tu Buddhism, Hinduism, Rastafaris, Ethiopian Monks, Nazarenes(Jews), na ancient Egyptians hata ukristu kuna makundi yasiyokula nyama hasa ukristu wa kale ulielewa umuhimu wa vegetarianism.
Kihistoria, imani za kale zilianza kuuliza kwanini sisi wanadamu tupo hapa duniani? Nini kinachotutofautisha na wanyama na mimea? Hivyo watu waliokuwa ENLIGHTENED kama Krishna, Buddha, Waisraeli wa kale, waliona umuhimu wa kuishi kwa Amani. Sio kuishi tu kwa amani na mwanadamu mwenzako bali kwa viumbe vyote. Haina haja ya kumpiga mnyama bila sababu na baadaye wakaona hata kumpiga mnyama haitoshi, ili kuwa na amani na kuweza kuboost Third Eye, Karma, na kubalance Chakras zako, Ishi kwa kutoua mnyama kabisa. Kila kiumbe kina haki ya kuishi. Mimea ndio source ya kwanza ya chakula then Nyama ni Secondary source. Haina haja ya kumchinja mnyama na kumla wakati kuna vyakula vingi haviitaji kuua kiumbe. Tunapaswa kuishi kwa kuheshimu all aspects of life duniani. Kuna sababu nao wakaishi hivyo yanini niwaue, nao husikia maumivu, wanyama wanahisia ambazo hata sisi tunazo mfano upendo, huhisi maumivu, n.k lakini pia nao wanahaki kuhishi. Sisi wanadamu tuna akili ya kuwatunza na kuwajali kwani wote tumeumbwa pamoja.
Tatizo ni ego ya mwanadamu kuwa sisi ndio kila kitu na kila uhai wa kiumbe tunaweza kuutoa. Kuwa vegetarian kunakupa sio tu afya ya mwili hasa katika miaka ya vyakula vya madawa bali hata inatupa afya kiroho na kiakili. Ni vigumu kumuelezea mtu. Lakini ni kitu ambacho hakiitaji Kiongozi wa dini, wala kitabu cha dini, ni kitu kitokacho kwa hisia, hisia ya upendo tuliyozaliwa nayo sisi wanadamu kutoka aliyetuumba.
miti na mimea yote ina uhai,ni living things,labda wangekula mawe,chupa,makaratasi,vyuma,vitambaa,mchanga,hapo ingekuwa sawa.Lakini mimea ni living things,kitu chenye uhai.mi nimesoma kidogo imani za kibuda na hata zile five prisets(sheria)/misingi yao,nilichokiamini na kikuibwa mno ni kwamba mtu asiekula kitu chenye roho mara nyingi huwa na huruma sana, na hata hawa jamaa wana msingi mzuri sana ktk dini yao, huu uislam na ukristu mbwembwe nyingi mno
maji pia wasinywe,maana maji imegundulikana pia ndani yake kuna viumbe hai,vidudu vya aina kadhaa vya maradhi,na vina uhai,Hata mimea Ina haki ya kuishi kwani ndio inayotupatia hewa ya oxygen, wasile kitu chochote wanywe maji tu.
imani za kutungwa na binadamu lazima zikwame mahali fulani,bila wao wenyewe kujuwa,au walijuwa baadaye lakini ikawa bado wanaendelea na imani hiyo,baada ya kuona walifanya sivyo.Lazima ufahamu hata mimea,miti,majani vyote ni vitu vyenye uhai,kama wanyama walivyo na uhai,kwa hiyo hata ukiwa unakula mboga,ujuwe unakula kitu ambacho kilikuwa na uhai,wewe ndio umekikatisha maisha yake,kisayansi na kinadharia mimea,miti ,majani ni living things,ni vitu vyenye uhai.
msichanganye hili na wachina
Buddhists hawali nyama.
usichanganye buddhism na wachina
muongo
maji pia wasinywe,maana maji imegundulikana pia ndani yake kuna viumbe hai,vidudu vya aina kadhaa vya maradhi,na vina uhai,
Napenda kukufahamisha ya kwamba "Buddhists" wanakula nyama, tena sana! Rejea vizuri kwenye vyanzo vyako vya taarifa au hata pitia wikipedia Buddhist vegetarianism - Wikipedia, the free encyclopedia
Wasiyokula nyama ya ng'ombe ni "Hindus" kwani wao wanamchukulia mnyama huyo kuwa ni muhimu sana kwakuwa anawapatia maziwa!!!! Yaani ng'ombe kwao ni sawa na mama!
Ila wahindu wanakula vizuri tu nyama ya kuku (wengi sana), na baadhi yao hula "buffalo" shombe (siyo mwitu).
Napenda kukufahamisha ya kwamba "Buddhists" wanakula nyama, tena sana! Rejea vizuri kwenye vyanzo vyako vya taarifa au hata pitia wikipedia Buddhist vegetarianism - Wikipedia, the free encyclopedia
Wasiyokula nyama ya ng'ombe ni "Hindus" kwani wao wanamchukulia mnyama huyo kuwa ni muhimu sana kwakuwa anawapatia maziwa!!!! Yaani ng'ombe kwao ni sawa na mama!
Ila wahindu wanakula vizuri tu nyama ya kuku (wengi sana), na baadhi yao hula "buffalo" shombe (siyo mwitu).