PSEUDOPODIA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 376
- 735
Tunaomba mkome, mkome tena mkomae! Hatutaki kusikia Simba inatumika kutangaza utalii!
Kama ni sababu ya kupeleka jezi mlima Kilimanjaro basi iwe ni ili Africa nzima waione, sababu mlima Kilimanjaro upo juu zaidi Africa nzima!
Pia tunaomba, tukishiriki mashindano ya CAF lile neno Visit Tanzania life! Ni bora pabaki plain kama hatuna cha kuweka!
Kama wanataka waingie mkataba tuwatangazie utalii wao!
Acheni kujipendekeza, mnaojipendekeza kwao wala hawawaoni!
Kama ni sababu ya kupeleka jezi mlima Kilimanjaro basi iwe ni ili Africa nzima waione, sababu mlima Kilimanjaro upo juu zaidi Africa nzima!
Pia tunaomba, tukishiriki mashindano ya CAF lile neno Visit Tanzania life! Ni bora pabaki plain kama hatuna cha kuweka!
Kama wanataka waingie mkataba tuwatangazie utalii wao!
Acheni kujipendekeza, mnaojipendekeza kwao wala hawawaoni!