marisi schwein
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 1,014
- 3,029
Sasa mbona hamtaki wasaidiwe na Marekani ilhali hamwezi kuwasaidia? Ubinafsi wenu na roho mbaya zenu zinatishaTunawasaidia ili iweje? Kwani hawajitoshelezi? Serikali imeshashindwa kuwalisha?