Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,653
Ndyo maana siku hizi nikihitaji kitu nanunua kwa machinga maana bei ni chini na ya dukani
Watanzania lakini utanzania wao siyo kibali cha kuvuruga taratibu nzuri za mipango miji, biashara na usalama wa watumiaji wengine wa barabara.Jibu swali wamachinga sio watanzania?
Nataka uvue suruali then uiname ,kuna kitu nataka kukusuprise
Huyohuyo JK pia kipindi chake wakati hao machinga wanakula virungu vya mgambo mlikuwa mnasema hamna rais.Hakuna Rais hapa, 2015 tulipigwa. Shame on you JK
Ndio namna ya kuishi nao tu ili siku wakikuta maduka yote yamefungwa bidhaa zipo nje watakuwa na la kujifunzaYeeees, ngoja tuwashauri wafanya biashara wenzetu,
Are you stupid or what.....Fungeni fremu muanze umachinga
mkuu nilitaka niseme hivyo hivyo.Wakifukuzwa, zitapanda nyuzi hapa kama mvua.." Machinga wanyanyaswa kama mbwa kariakoo"
Yani hamueleweki nini shida yenu.
Any way
kama upi? usiishie kusema hivyo tu. wewe unaweza ukabuni utaratibu ukaona ni mzuri lakini wamachinga na wengine wasione kama ni mzuriWawekewe utaratibu mzuri.
Siyo kama sasa.
Hali ni mbaya sana.
aseme huo utaratibu. kila mtu anaweza sema hivyo. utaratiby kwako unaweza uona mzuri ila kwa wengine usiwe mzuriMoja kati ya wachangiaji bora kabsa mwaka huu 2020
Na wewe kuwa na uzalendp. nchi ni yetu sote kila mmoja ana haki sio upendeleo wa kijinga kama huo kwa MachingaWakifukuzwa, zitapanda nyuzi hapa kama mvua.." Machinga wanyanyaswa kama mbwa kariakoo"
Yani hamueleweki nini shida yenu.
Any way
sawa mkuu mavumbiNa wewe kuwa na uzalendp. nchi ni yetu sote kila mmoja ana haki sio upendeleo wa kijinga kama huo kwa Machinga
Ndiyo maana tumeweka viongozi wetu watuongoze, waumize vichwa watafute suluhisho, huo utaratibu mzuri.kama upi? usiishie kusema hivyo tu. wewe unaweza ukabuni utaratibu ukaona ni mzuri lakini wamachinga na wengine wasione kama ni mzuri
Nimemtunuku sifa hii kutokana na kutumia kwake akili (angalau)katika kujibu hoja. Lakini kuna watu humu instead of giving out their view, wanaanza kuponda na kukashfu.aseme huo utaratibu. kila mtu anaweza sema hivyo. utaratiby kwako unaweza uona mzuri ila kwa wengine usiwe mzuri
Lini lakini ili hata tupumueWanaandaliwa vitambulisho. Watakuwa wanalipa laki 1 kwa mwaka.