Sababu ya Siasa: Biashara Kariakoo zinakufa kisa kuwapenda na kuwakumbatia machinga

Kiukweli hata mimi nmeshangazwa na halii, yasn kuna duka pale makoroboi uuza cheni, saa, na vito vingne vyenye ubora lakin kuna machinga kaziba mlango yaan kwenda dukani hkn pa kupita
 
Back
Top Bottom