Sababu, kwanini Acacia hawataki kulipa $300m

Sababu, kwanini Acacia hawataki kulipa $300m

Quinine

Platinum Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
25,170
Reaction score
60,528
Mkurugenzi Mtendaji wa Acacia Bw. Brad Gordon alisema tangu serikali ya Tanzania izuie kusafirisha makinikia nje ya nchi na kuyazuia makontena yake bandari ya DSM, kampuni yake imekuwa ikipata hasara ya dola za kimarekani 15m kila mwezi.

Makontena yamezuiliwa tangu mwezi wa tatu ni karibu miezi 8 sasa, kwa gharama hiyo Acacia wameshapata hasara ya takribani $120m.

Kwenye mazunguzo yaliyoisha juzi kati ya serikali na wawakilishi wa Acacia, Barrick wamekubaliana Acacia walipe $300m in good faith.

Je, kwenye makubaliano hayo wali consider hasara wanayopata Acacia hadi leo? au tuseme ndio sababu ya wao kugoma kulipa? na je, wakisema kwenye hiyo $300m watoe hasara ya $120m tupo tayari kuchukua $180m zilizobaki ili nasisi tuonyeshe uaminifu kwao au hatuwaamini tena, kama hatuwaamini kwanini tuendelee kufanya nao biashara.

Mawazo yako Tafadhali.
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Acacia Bw. Brad Gordon alisema tangu serikali ya Tanzania izuie kusafirisha makinikia nje ya nchi na kuyazuia makontena yake bandari ya DSM, kampuni yake imekuwa ikipata hasara ya dola za kimarekani 15m kila mwezi.

Makontena yamezuiliwa tangu mwezi wa tatu ni karibu miezi 8 sasa, kwa gharama hiyo Acacia wameshapata hasara ya takribani $120m.

Kwenye mazunguzo yaliyoisha juzi kati ya serikali na wawakilishi wa Acacia, Barrick wamekubaliana Acacia walipe $300m in good faith.

Je, kwenye makubaliano hayo wali consider hasara wanayopata Acacia hadi leo? au tuseme ndio sababu ya wao kugoma kulipa? na je, wakisema kwenye hiyo $300m watoe hasara ya $120m tupo tayari kuchukua $180m zilizobaki ili nasisi tuonyeshe uaminifu kwao au hatuwaamini tena, kama hatuwaamini kwanini tuendelee kufanya nao biashara.

Mawazo yako Tafadhali.
sisi ni mahendisamu na mabyutifuli bana.... wazungu watatukatia tu hilo pochi!!
 
Waliambiwa ni wezi inamaanisha maprof wetu wameshindwa kuonyesha wao ni wezi. hata wasipolipa hata kumi mwisho siku upande wetu wakishindwa kuonyesha kama ACACIA niwezi tunatakiwa kubeba gharama
 
Aisee, kweli wamegoma? Kam wamegoma kulipa kwa nini tuendelee kufanya biashara nao?
 
Huenda hawana uwezo maana biashara ilisimama tokea makinikia yazuiwe
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Acacia Bw. Brad Gordon alisema tangu serikali ya Tanzania izuie kusafirisha makinikia nje ya nchi na kuyazuia makontena yake bandari ya DSM, kampuni yake imekuwa ikipata hasara ya dola za kimarekani 15m kila mwezi.

Makontena yamezuiliwa tangu mwezi wa tatu ni karibu miezi 8 sasa, kwa gharama hiyo Acacia wameshapata hasara ya takribani $120m.

Kwenye mazunguzo yaliyoisha juzi kati ya serikali na wawakilishi wa Acacia, Barrick wamekubaliana Acacia walipe $300m in good faith.

Je, kwenye makubaliano hayo wali consider hasara wanayopata Acacia hadi leo? au tuseme ndio sababu ya wao kugoma kulipa? na je, wakisema kwenye hiyo $300m watoe hasara ya $120m tupo tayari kuchukua $180m zilizobaki ili nasisi tuonyeshe uaminifu kwao au hatuwaamini tena, kama hatuwaamini kwanini tuendelee kufanya nao biashara.

Mawazo yako Tafadhali.
Heading yenye uongo mtupu. Hakuna sehemu Acacia wamesema hawataki kulipa.

Chadema kwa huu uongo wenu 2020 mtawafanya wabunge wenu wengi sana wasirudi!
 
niliposikia serikali inafanya majadiliano na wakwepa kodi nikajua tayari tumeshaingizwa mkenge...

accacia walipaswa kushitakiwa kwa sheria za nchini za kukwepa kodi na kuhujumu uchumi.. sio kuwabembeleza wakati madini ni ya kwetu.
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Acacia Bw. Brad Gordon alisema tangu serikali ya Tanzania izuie kusafirisha makinikia nje ya nchi na kuyazuia makontena yake bandari ya DSM, kampuni yake imekuwa ikipata hasara ya dola za kimarekani 15m kila mwezi.

Makontena yamezuiliwa tangu mwezi wa tatu ni karibu miezi 8 sasa, kwa gharama hiyo Acacia wameshapata hasara ya takribani $120m.

Kwenye mazunguzo yaliyoisha juzi kati ya serikali na wawakilishi wa Acacia, Barrick wamekubaliana Acacia walipe $300m in good faith.

Je, kwenye makubaliano hayo wali consider hasara wanayopata Acacia hadi leo? au tuseme ndio sababu ya wao kugoma kulipa? na je, wakisema kwenye hiyo $300m watoe hasara ya $120m tupo tayari kuchukua $180m zilizobaki ili nasisi tuonyeshe uaminifu kwao au hatuwaamini tena, kama hatuwaamini kwanini tuendelee kufanya nao biashara.

Mawazo yako Tafadhali.
Will Africans be able to know how the white people think? Do we think in the same capacity?
 
Heading yenye uongo mtupu. Hakuna sehemu Acacia wamesema hawataki kulipa.

Chadema kwa huu uongo wenu 2020 mtawafanya wabunge wenu wengi sana wasirudi!
Kwel chadema chama bora jmn act mzalendo wamefanya press conference lkn bado chadema waongo press ya chadema ya karibuni wameongelea lissu ila sasa ccm albadil inavyowafanya
 
Wapi wamesema watalipa.
Barrick na Serikali walitoa na kutia sign makubaliano ya majadiliano Thursday.
Ijumaa Acacia wakasema mahamuzi yatafanywa na Board na Shareholders.
Saturday na Sunday soko la hisa la London(LSE) limefungwa mpaka Monday, 8am. Kwa hiyo hauwezi kutoa Statement yoyote kwa shareholders.

Acacia wameshatoa utaratibu wao.
Halafu Chadema kama vile hamtaki Acacia walipe lakini watakao suffer ni dada yako, ndugu zako, Watanzania wote. Chadema hamlioni Hilo!
 
Barrick na Serikali walitoa na kutia sign makubaliano ya majadiliano Thursday.
Ijumaa Acacia wakasema mahamuzi yatafanywa na Board na Shareholders.
Saturday na Sunday soko la hisa la London(LSE) limefungwa mpaka Monday, 8am. Kwa hiyo hauwezi kutoa Statement yoyote kwa shareholders.

Acacia wameshatoa utaratibu wao.
Halafu Chadema kama vile hamtaki Acacia walipe lakini watakao suffer ni dada yako, ndugu zako, Watanzania wote. Chadema hamlioni Hilo!
Acacia wametoa utaratibu gani?
 
Back
Top Bottom