mosessilayo
Member
- Jan 17, 2023
- 11
- 17
kiila mtu na tafsiri yake mkuu huo n mtazamo wako masela wala hatujengi chuki na imani yako itakuponya.hv ushawahi kujiuliza tunaishi kwa imani?ushawahi kumwona mungu?au kuona roho? je ushawahi kuuona upepo upepo una rangi gani?au umeme uko vp.japo hvyo vitu vipo c unaamini hvyo vitu vipo japo hujaona bac ishi kwa kuamini mzee baba narudia tena tunaishi kwa imani na kila mtu na tafsiri yake.cjui kaka yangu na mtani wangu anasemaje wajuzi wa mambo watakutafsiria