.Tulishasema humu ndani na tutaendelea kusema kuwa mwisho wa Kagame na kagenge chake unahesabika.......maji sasa yamefika shingoni
..Majuzi baada ya M23 kuelemewa walijaribu kupeleka toka Rwanda reinforcement ambayo pia kikosi cha Afrika Kusini kilidhibidi kwa kutumia helcopter gunships
...Hatimaye makao yao makuu pale Kibati yametekwa na wanaume wa shoka
...Tunasuburi M23 wote kuvuka mpaka kukimbilia Rwanda, huko tutahitaji wakamatwe warudishwe Congo, la sivyo naiona Gisenyi kuwa next step..!
...Update toka twitter ya JW inathibitisha utekwaji wa Kibati
Jeshi la Wananchi Tz ‏@JW_TZ 31m Mapigano yaliyodumu saa 24 tangu 28/8/2013 tumefanikiwa kuichukua ngome kuu ya waasi wa M23 ya Kibati (Nyirangongo Territory - Goma, E- DRC)