Rwanda yatishia kuishambulia kijeshi DRC

Rwanda yatishia kuishambulia kijeshi DRC

Mtamile

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
2,838
Reaction score
1,274
Mzozo wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo unaonekana kuchukua sura mpya na ambayo inaanza kutia wasiwasi baada ya Rwanda kutishia kuchukua hatua za kijeshi endapo DRC itaendelea kurusha mabomu kwenye ardhi yake. Rwanda imeyasema hayo baada ya mabomu kumi kuanguka nchini Rwanda mfululizo na kumuua mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa

source DW(KISWAHILI)


Rwandan troops heading towards Congo border, war looms
jammas.hussain20130831005448067.jpg

A trailer carrying a tank leaves the Rwandan capital Kigali en route to the border town of Gisenyi, August 30, 2013.

Rwandan troops are heading towards the western border with the Democratic Republic of Congo, raising the prospect of another war in the Great Lakes region of Africa.


On Friday, a large number of people in the Rwandan capital Kigali watched a military convoy including troops, tanks and trucks loaded with artillery leaving for the border, The Associated Press reported.

According to reports, the Rwandan army troops are headed to Gisenyi, which borders the city of Goma in eastern Congo.

Congo's adventurous neighbor is reportedly planning to launch a military offensive against a country with which it fought two wars in the past two decades.

Earlier in the day, Rwandan Minister of Foreign Affairs Louise Mushikiwabo said his country would defend its borders after rockets landed in Rwandan territory.

On Thursday, Rwanda accused the Congolese army, the FARDC, of firing bombs and rockets into its territory and said such "provocation" will not be tolerated.

However, the UN mission in Congo, known as MONUSCO, said late on Thursday that it had seen only M23 rebels firing artillery into Rwanda.

"MONUSCO has not witnessed any shelling by the FARDC into Rwanda. These are areas where FARDC are not present," said deputy UN peacekeeping chief Edmond Mulet.

Also on Thursday, the United Nations said that Rwandan military officers are fueling deadly violence in eastern Congo.

The UN said it had "consistent and credible reports" of Rwandan troops entering Congo to back M23 rebels.

The UN and Kinshasa have repeatedly accused Rwanda of helping the rebels in Congo. Rwanda has always denied the charges that it is backing the M23, but Kigali has never publicly condemned the militia, which occupied the city of Goma in eastern Congo for 10 days last November.

The M23 rebels and several other armed groups are active in the eastern Congo and are fighting for control of the country's vast mineral resources, such as gold, the main tin ore cassiterite, and coltan (columbite-tantalite), which is used to make many electronic devices, including cell phones.

Since early May 2012, nearly three million people have fled their homes in the eastern Congo. About 2.5 million have resettled in Congo, but about 500,000 have crossed into neighboring Rwanda and Uganda.

Congo has faced numerous problems over the past few decades, such as grinding poverty, crumbling infrastructure, and a war in the east of the country that has dragged on since 1998 and left over 5.5 million people dead.


Follow link: http://www.presstv.ir/detail/2013/08/31/321331/rwandan-troops-head-to-congo-war-looms/
 
Mzozo wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo unaonekana kuchukua sura mpya na ambayo inaanza kutia wasiwasi baada ya Rwanda kutishia kuchukua hatua za kijeshi endapo DRC itaendelea kurusha mabomu kwenye ardhi yake. Rwanda imeyasema hayo baada ya mabomu kumi kuanguka nchini Rwanda mfululizo na kumuua mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa

source DW(KISWAHILI)

Bila shaka kawaambia M23 warushe mabomu kwake na ionekane ni askari wa DRC ili apate sababu ya kuingia huko. Asisahau kuna askari 3,000 wa Tz na South Africa na ikibdi SADC yote hasa wanaume wa Angola na Zimbabwe wanaweza kuingia huko
 
mabomu kuangukia nchi ya mwenzako huo ni uchokozi! Ni vema kuheshimu mipaka ya mwenzako labda kama ni sababu ya kutaka kupima maamuzi ya Rwanda!
Mwambie Kagame wako aachane ya ushali wa kijinga,mwaka 1994 yeye na kikundi chake cha RPF waliamua kutumia njia ya mkato kumpindua Juvenal Habyehinama kwa kumua na matokeo yake yeye na watutsi wenzake walikiona cha moto.Sasa anataka kuchokoza tena watu waliolala,safari hii inaweza ikawa mwisho wa yeye na kikundi chake!
 
Bila shaka kawaambia M23 warushe mabomu kwake na ionekane ni askari wa DRC ili apate sababu ya kuingia huko. Asisahau kuna askari 3,000 wa Tz na South Africa na ikibdi SADC yote hasa wanaume wa Angola na Zimbabwe wanaweza kuingia huko
ahahahahaa,angola,zimbabwe,tz,DRC,south africa,mimi sina lakuongea lakini dunia itapigwa butwaaaaaaaaaaaa,mimi yangu macho.
 
Natumai hawatafanya makosa hayo, vinginevyo sasa dunia inajua ukorofi huko wapi.
Unapotoa hoja kuwa na fikra kidogo hivi kama ni kweli mabomu yamerushwa ndani ya ardhi ya Rwanda kutoka DRC hapo mchokozi ni nani? na tukumbuke Idd amin alianza kuishambulia Tanzania kwa mbinu za kichokozi kama hizo mwisho wa siku akaingiza majeshi kabisa na kuua watanzania wengi kule Kagera kama ni kweli wamerusha mabomu ni vema Rwanda nayo ikajihami na uvamizi huo.
 
Bila shaka kawaambia M23 warushe mabomu kwake na ionekane ni askari wa DRC ili apate sababu ya kuingia huko. Asisahau kuna askari 3,000 wa Tz na South Africa na ikibdi SADC yote hasa wanaume wa Angola na Zimbabwe wanaweza kuingia huko

Mbona majeshi yatanzania ndio yanatumia mizinga congo! hiyo inajulikana,subirini jamaa wakizama congo mtausikia mziki wao,mnasema m 23 inasaidiwa na rwanda,hamujui mziki wao,mkisikia wameingia hakutakua cha angola,zimbabwe,drc,fdlr,tz yani ni kiboko mbele kwa mbele,waache waendelee kuchokoza.
 
jamaa anajirushia mabomu ili apate sababu, ahahahahahahahaha

Mawazo hayo hayana tofauti na mawazo na maneno ya CCM juu ya tukio la Soweto hivi kuna uwezekano kweli ukajirishia mabomu na kuua raia wako? hayo ni mawazo ya kipuuzi
 
Kwa wale wanaokumbuka vita ya kumpiga nduli idd amini, ilifikia hatua mizinga ya tanzania inapiga vijiji vya Sudani vilivyompakani na uganda. the same, kama vita inapiganwa mpakani is likely bomu likavuka mpaka kwa bahati mbaya na kupiga nchi jirani, lakini kwa kesi ya kagame ni tofauti yeye anatafuta sababu ya kuingiza majeshi yake Kusaidia M23 maana ameshaona maji yapo shingoni na madini ya coltan hatayapata tena.
 
kama m23 wameingia nchini kwake inamaana wamevamia nchi yake hivyo ilifaa awapige au wajisalimishe. mwisho wa kagame umwfika kinchi kidogo hakiwezi kusumbua giant east africa, mtu kakaribishwa ndo anataka kututawala wote
 
Mbona majeshi yatanzania ndio yanatumia mizinga congo! hiyo inajulikana,subirini jamaa wakizama congo mtausikia mziki wao,mnasema m 23 inasaidiwa na rwanda,hamujui mziki wao,mkisikia wameingia hakutakua cha angola,zimbabwe,drc,fdlr,tz yani ni kiboko mbele kwa mbele,waache waendelee kuchokoza.

Rwanda wachumba tuu.
 
That's tactic

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mawazo hayo hayana tofauti na mawazo na maneno ya CCM juu ya tukio la Soweto hivi kuna uwezekano kweli ukajirishia mabomu na kuua raia wako? hayo ni mawazo ya kipuuzi
tulia wee kiboga mnyarwanda, tukio la soweto huwezi kulinganisha na hilo la Rwanda,
 
==>> Thubutu....karwanda tunapiga na kudandia juu...kagame KACHANGANYIKIWA....TUNAPIGA HADI DUNIA ITASHANGAA...
 
Back
Top Bottom