Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,265
- 8,099
mabomu kuangukia nchi ya mwenzako huo ni uchokozi! Ni vema kuheshimu mipaka ya mwenzako labda kama ni sababu ya kutaka kupima maamuzi ya Rwanda!
kagame alipokuwa naanza kumpiga Habyarimana, kuna mabomu yaliangukia karagwe? TZ ilimshambulia? huyu ni mshenzi tu....