Rwanda yatishia kuishambulia kijeshi DRC

Rwanda yatishia kuishambulia kijeshi DRC

Kagame kaamu kujitoa mhanga, kwa hiyo huko anaenda kupigana na UN.!
 
Kagame anajipoteza, mi namshauri aanze yeye kushambulia.
 
Hapo ndo patamu ajaribu rusha makombora aone cha moto na tank lenyewe kuukuu ilo ndo apeleke akalinde mipaka kweli lagame empty head

Mkuu ku deal na Battle Tanks ni kazi ndogo ukiwa na ......, alafu vifaru avitumiki kulinda mipaka labda kama una mpango wa kuvamia majirani, inavyo onekena PK yuko determined kuvamia tena DRC na si ajabu , ndiye aliwahamuru M23 wafanye tactical withdrawal baada ya M23 kurusha makombora huko Rwanda ili PK apate kisingizio cha kuivamia DRC kwa mara nyingine tena. Hivi sasa PK anajipanga vizuri kuzingira majeshi ya UN na DRC ili afanye mashambulizi ya kushtukiza - tusisahau PK ana usongo mkubwa na jeshi letu, anatafuta kila mbinu kusababisha a maximum damages kwa majeshi ya Tanzania na South Africa, anataka wakate tamaa. PK na makamanda wake wako obsessed na majeshi ya nchi hizi mbili ndio maana anaya sema sema sana kwenye media as if majeshi ya UN huko DRC ni predominantly Tanzainan/South Africans.

Binafsi naona akifanya makosa ya kushambulia majeshi yetu kimakusudi basi tutakuwa hatuna sababu ya kuishia kurudisha majeshi yake mipakani tu. Jacob Zuma amekwisha muonya na Tanzania vile vile alitoa onyo kali, sasa mwenye mahamuzi ya mwisho ya hatima yake ni yeye mwenywe asuke au anyoe. Majeshi yetu yanapashwa kuwa makini sana wasiwe wamewekewa mtego wa kuzungukwa pande zote kwa Artillary za PK, kumbuka M23 ilikuwa kwenye sehemu hiyo kwa muda mrefu, hatuwezi kujua walikuwa wanafanya mbinu gani/wanajitayarisha kivipi kufanya mashambulizi ya kushtukiza under command ya Rwandan Army, don't underrate PK the guy is a tactician par excellence!

Sasa nini cha kufanya the soonest ili tu pre-empty mipango yake ya aidha kuvamia DRC au majeshi yetu: La kwanza - UN iombe NATO ianzishe kurusha DRONES 24/7 kwenye mipaka ya Rwanda/DRC na Uganda/DRC ku-track movement ya jeshi la Rwanda na la Uganda jamaa hawa lao moja, wakumbuke vile vile kwamba majeshi ya Rwanda yana kawaida ya kuvuaa nguo za kike ili wasitambulike kirahisi: La pili - UN iombe NATO/Merikani iwapatie ndege nne za kivita aina ya A-10 Warthong Tank Busters ku-deals na vifaru/magari ya deraya/Artillery piece na munitions dump za Rwandan Army kama PK athubutu kuvamia DRC au majeshi yetu.

Kwa upande wa ku-deal na Infantry watumie Helicopter Gunships aina ya Denel AH-2 Rooivalk kutoka South Africa na Hind Mi-24 kutoka Urusi, nataka nieleweke sio kwamba nashabikia mambo ya vita, lakini tunapokuwa na Kiongozi ambaye anatishia AMANI kwenye maeneo ya Great Lakes, mtu anapigaa vita mfurururizo takribani miaka ishirini bila ya kurudisha amani ya kudumu, hataki kushauliwa, yuko bellicose muda wote, uwezi kujua kesho atamuka na directive gani kwa makamanda wake - kama anaweza kutishia maisha ya Rais mwenzake openly, Je Watanzania/Wacongo na sisi raia tunaotoka mipakani tutaishi na roho juu mpaka lini?
 
Majeshi yetu yawe makini zaidi. PK ni janga. WAzungu waliokuwa wanambeba wamechoka? Ndo anawategemea bado? Au wanaweza kukomba maliasili za congo bila msaada? Ni bora iwe hivyo. Ile ilikuwa staili ya kizaman.
 
hivyo vifaa vitapigwa kwa helicopter za sa kwa masaa kama sita tu hivi,ni afadhali angevipeleka kimya kimya!!!!!

Hivi waheshimiwa, ni Rwanda itapigwa au Tanzania itapigwa? Kwenye biblia(kwa sisi tunaosoma biblia), tunaambiwa jemedali mmoja aliyekuwa akiitwa Goliath alipigwa na kijana mchunga kondoo Daudi. Tanzania iwe makini isiingie kichwa kichwa kwenye hii vita na Rwanda.
 
Hivi waheshimiwa, ni Rwanda itapigwa au Tanzania itapigwa? Kwenye biblia(kwa sisi tunaosoma biblia), tunaambiwa jemedali mmoja aliyekuwa akiitwa Goliath alipigwa na kijana mchunga kondoo Daudi. Tanzania iwe makini isiingie kichwa kichwa kwenye hii vita na Rwanda.

wewe nani amekuambia tunapigana kichwa kichwa, maandalizi ya hivyo vikosi ni ya muda mrefu na mafunzo na vifaa vya un ni vya kisasa zaidi na kumbuka wanao monitor hivyo vikosi vya un ni wa faransa hiyo rwanda haiwezi kushinda hivyo vita, na wakivuka mpaka tu watapigwa kishenzi!!!!!
 
...


..................................................................................


.....................................................................................
 
Hivi waheshimiwa, ni Rwanda itapigwa au Tanzania itapigwa? Kwenye biblia(kwa sisi tunaosoma biblia), tunaambiwa jemedali mmoja aliyekuwa akiitwa Goliath alipigwa na kijana mchunga kondoo Daudi. Tanzania iwe makini isiingie kichwa kichwa kwenye hii vita na Rwanda.

wewe nani amekuambia tunapigana kichwa kichwa, maandalizi ya hivyo vikosi ni ya muda mrefu na mafunzo na vifaa vya un ni vya kisasa zaidi, na kumbuka wanao monitor hivyo vikosi vya un ni wa faransa hiyo rwanda haiwezi kushinda hivyo vita, na wakivuka mpaka tu watapigwa kishenzi!!!!!rwanda inaweza kupiga vikosi vya drc tu visivyo na ari na nidhamu ya vita
 
Mkuu ku deal na Battle Tanks ni kazi ndogo ukiwa na ......, alafu vifaru havitumiki kulinda mipaka labda kama una mpango wa kuvamia majirani, inavyo onekena PK yuko determined kuvamia tena DRC na si ajabu akawa ndiye aliwahamuru M23 wafanye tactical withdrawal baada ya M23 kurusha makombora huko Rwanda ili PK apate kisingizio cha kuvamia DRC kwa mara nyingine tena. Sasa hivi anajipanga vizuri kuzingira majeshi ya UN na DRC na kufanya mashambulizi ya kushtukiza - tusisahau PK ana usongo mkubwa na jeshi letu anatafuta kila mbinu kufanya a maximum damages kwa majeshi ya Tanzania na South Africa ili wakate tamaa ndio maana anaya sema sema sana kwenye media as if majeshi ya UN huko DRC ni predominantly Tanzainan/South Africans. Binafsi naona akifanya makosa ya kushambulia majeshi yetu kimakusudi basi tutakuwa hatuna sababu ya kuishia kurudisha majeshi yake mipakani tu. Jacob Zuma amekwisha muonya na Tanzania vile vile alitoa onyo kali, sasa mwenye mahamuzi ya mwisho ya hatima yake ni yeye mwenywe hasuke au anyoe. Majeshi yetu yanapashwa kuwa makini sana wasiwe wamewekewa mtego wa kuzungukwa pande zote na Artillary, kumbuka M23 ilikuwa kwenye sehemu hiyo kwa muda mrefu hatuwezi kujua walikuwa wanafanya mbinu gani/wanajitayarisha kivipi kufanya mashambulizi ya kushtukiza under Rwandan Army, don't underrate PK the guy is a tactician par excellence! Sasa nini cha kufanya the soonest, UN iombe NATO ianzishe kurusha DRONES 24/7 kwenye mipaka ya Rwanda/DRC na Uganda/DRC ku-track movement ya jeshi la Rwanda na la Uganda jamaa hawa lao moja, wakumbuke vile vile kwamba majeshi ya Rwanda yana kawaida ya kuvulia nguo za wanawake ili wasitambulike kirahisi, UN iombe NATO/Merikani iwapatie ndege nne za kivita aina ya A-10 Warthong Tank Busters ku-deals na vifaru/magari ya deraya/Artillery piece na munitions dump za Rwandan Army kama litathubutu kuvamia DRC au majeshi yetu. Kwa upande wa ku-deal na Infantry watumie Helicopter Gunships aina ya Denel AH-2 Rooivalk kutoka South Africa na Hind Mi-24 kutoka Urusi, nataka nieleweke hapa kwamba sio kwamba nashabikia mambo ya vita lakini tunapokuwa na Kiongozi ambaye anatishia AMANI kwenye maeneo ya Great Lakes, mtu anapigana vita mfurururizo takribani miaka ishirini bila ya kupata amani ya kudumu, hataki kushauliwa, yuko bellicose muda wote, uwezi kujua kesho atahamuka na directive gani kwa makamanda wake - kama anaweza kutishia maisha ya Rais mwenzake openly Je, Watanzania/Wacongo na sisi raia tunaotoka mipakani tutaishi na roho juu mpaka lini?
Nimependa uchambuzi wako. Ni imani yangu wewe ni miongoni mwa wana JWTZ na kama sivyo, basi Tanzania ina bahati sana ya kuwa na watu ambao si wanajeshi lakini wanajua silaha na mbinu za kijeshi. Hayo matumizi ya 'h' yatakwisha tu siku moja usijali na hasa kama kwa sasa makazi yako yapo Dar au una mpango wa kuishi Dar kama uko abroad. Big up!
 
Tanzania imeshatoa tahadhari kwa UNSC kuwa nchi yeyote itakayoingia Congo kuwasaidia M23 itakiona cha mtema kuni
 
Bila shaka kawaambia M23 warushe mabomu kwake na ionekane ni askari wa DRC ili apate sababu ya kuingia huko. Asisahau kuna askari 3,000 wa Tz na South Africa na ikibdi SADC yote hasa wanaume wa Angola na Zimbabwe wanaweza kuingia huko

Rais na JWTZ na watanzania wote kwa ujumla tuna wajibu wa kulinda na kuhakikishia usalama kwa vikosi vyetu vilivyo RDC chini ya UN. hatutaweza kuangalia PK akifanya uvamizi wake kwa vijana wetu halafu tukabaki tunaangalia tu ati kwa kuwa wanajeshi wale walioko DRC wako chini ya UN. Tutampa kichapo directly kutokea huku urainani (TZ) ili kulinda vijana wetu
 
Back
Top Bottom