Rwanda yatishia kuishambulia kijeshi DRC

Rwanda yatishia kuishambulia kijeshi DRC

Ngoja tuone how it ends...ila itakuwa ni makosa ya kifrika kutaka kuanzisha vita kubwa maana kuna mtu ataishia kuwekwa chini ya ulinzi kama mtuhumiwa. PK angalia sana what you plan to do.

Inaonekana PK amepaniki, bomu moja si sababu ya kufanya show ya misafara ya kijeshi
 
hivyo vifaa vitapigwa kwa helicopter za sa kwa masaa kama sita tu hivi,ni afadhali angevipeleka kimya kimya!!!!!

rwanda wana Apache , sijui kama kuna nchi nyine hapa afrika mashariki na kati wanazo.
 
Soon or later utajua UN or Congolese sio majeshi yale bali ni group za watu wanaojiita wanajeshi.
 
wewe nani amekuambia tunapigana kichwa kichwa, maandalizi ya hivyo vikosi ni ya muda mrefu na mafunzo na vifaa vya un ni vya kisasa zaidi na kumbuka wanao monitor hivyo vikosi vya un ni wa faransa hiyo rwanda haiwezi kushinda hivyo vita, na wakivuka mpaka tu watapigwa kishenzi!!!!!
Lol,hao France walipigwa wakimsaidia Habyarima wakati kina Kagame wakiwa gorrilas,sipendi vita lakini usitegemee France or UN wafe kwa ajiri ya Congo
 
Hivi waheshimiwa, ni Rwanda itapigwa au Tanzania itapigwa? Kwenye biblia(kwa sisi tunaosoma biblia), tunaambiwa jemedali mmoja aliyekuwa akiitwa Goliath alipigwa na kijana mchunga kondoo Daudi. Tanzania iwe makini isiingie kichwa kichwa kwenye hii vita na Rwanda.
Rwanda haiendi kupigana na TZ,wanaenda kulinda border yao na Congo ambayo wamesharushiwa 34 bombs
 
Rais na JWTZ na watanzania wote kwa ujumla tuna wajibu wa kulinda na kuhakikishia usalama kwa vikosi vyetu vilivyo RDC chini ya UN. hatutaweza kuangalia PK akifanya uvamizi wake kwa vijana wetu halafu tukabaki tunaangalia tu ati kwa kuwa wanajeshi wale walioko DRC wako chini ya UN. Tutampa kichapo directly kutokea huku urainani (TZ) ili kulinda vijana wetu
hizi akili kama unaangalia movie za Bruce Lee tabu kweli kweli.
 
...vifaru havitumiki kulinda mipaka labda kama una mpango wa kuvamia majirani,...don't underrate PK the guy is a tactician par excellence! Sasa nini cha kufanya the soonest, UN iombe NATO ianzishe kurusha DRONES 24/7 kwenye mipaka ya Rwanda/DRC na Uganda/DRC ku-track movement ya jeshi la Rwanda na la Uganda jamaa hawa lao moja, wakumbuke vile vile kwamba majeshi ya Rwanda yana kawaida ya kuvulia nguo za wanawake ili wasitambulike kirahisi, UN iombe NATO/Merikani iwapatie ndege nne za kivita aina ya A-10 Warthong Tank Busters ku-deals na vifaru/magari ya deraya/Artillery piece na munitions dump za Rwandan Army kama litathubutu kuvamia DRC au majeshi yetu. Kwa upande wa ku-deal na Infantry watumie Helicopter Gunships aina ya Denel AH-2 Rooivalk kutoka South Africa na Hind Mi-24 kutoka Urusi, ...Je, Watanzania/Wacongo na sisi raia tunaotoka mipakani tutaishi na roho juu mpaka lini?

Mkuu Bukyanagandi, Naunga mkono hoja. Ila point ulizoteremsha hapo juu ni kama vile wewe sio raia wewe. Au mwanajeshi mstaafu wewe?
 
Naona Mr. Skeleton ameamua kulog off with a bang. Labda ajiulize watu kama akina Sadam, Savimbi, Charles Taylor etc wako wapi? Mabeberu walipokwisha kuwatumia kwa malengo yao na kupoteza interest wakawaundia zengwe na 'kuwaondosha'. Dalili zote zinaonesha mkondo uleule wa akina Savimbi, Sankoh etc.
 
Naona Mr. Skeleton ameamua kulog off with a bang. Labda ajiulize watu kama akina Sadam, Savimbi, Charles Taylor etc wako wapi? Mabeberu walipokwisha kuwatumia kwa malengo yao na kupoteza interest wakawaundia zengwe na 'kuwaondosha'. Dalili zote zinaonesha mkondo uleule wa akina Savimbi, Sankoh etc.

Wasemavyo wengi, PK alitungua ndege na kuua wale maraisi kabla ya the so called 'genocide'. Inaonekana ghadhabu ya Mungu inamuandama PK. Malipo/Adhabu ya uuaji inaweza kukupata hapahapa duniani. I am sorry for you PK. Your days are numbered. Don't you see it?
 
Wasemavyo wengi, PK alitungua ndege na kuua wale maraisi kabla ya the so called 'genocide'. Inaonekana ghadhabu ya Mungu inamuandama PK. Malipo/Adhabu ya uuaji inaweza kukupata hapahapa duniani. I am sorry for you PK. Your days are numbered. Don't you see it?
That is an open secret, the French intelligence have all on tape. Wakati Mobutu anaondolewa RPF was the darling of the US, together with M7 na ndugu yake Salim Saleh na uharamia walokua wakiufanya DRC. What happens now naona US imepoteza interest na hawa watu, PK na M7 na ndo maana wanajifaragua sana na Kenyatta. Sasa what US will do with them, tusubiri tuone.
 
Mkuu Bukyanagandi, Naunga mkono hoja. Ila point ulizoteremsha hapo juu ni kama vile wewe sio raia wewe. Au mwanajeshi mstaafu wewe?
Heshima yako mkuu KOBA - si unajua tena ndugu yetu huyu PK ni chuma cha pua bila ya kumshtua/tisha/tingisha kidogo anaweza akijisahau akahamua au katoa amri ya kuvamia DRC au kushambulia majeshi ya UN, hapa nampa picha kamili ili afikilie mara mbili kabla ya kutoa uhamuzi ambao unaweza kubadilisha kabisa equation za medani za vita kwenye Region yetu, akae akijua majanga ambayo yanaweza kulikumba jeshi la Rwanda akiendeleza ubushi na kutotaka kushaurika, nakubali ana wajibu wa kulinda Taifa lake ili liwe na amani at all cost lakini akumbuke wajibu huo unapashwa ku-trickle down kwa majirani zake specifically DRC na wao wana-deserve amani ya kudumu kwenye nchi yao. Mimi sina shaka kwamba PK ni kiongozi ambaye amejitahidi kuendeleza taifa lake from the ruins mpaka akasifika hatua ya uongozi wake kusifiwa kimataifa, sasa kwa nini atake kujikuta anadhalilishwa kama Kanali Gaddafi ambaye alijikuta anakimbilia kwenye mitaro ya maji machafu akijificha hasikamatwe!! Je nayeye anataka hayo yamkute?? Wengi wetu tunao msema sema sana humu tunamtakia mema, kama tungekuwa na nia mbaya tungekaa kimya yaje yamkute - zana za vita nilizo zungumzia humu ni deadly na yeye anazijua sana there is no way jeshi lake linaweza ku-absorb kashikashi ya flying beasts hizo, sasa ya nini Waswahili kupendelea kupigana vita maisha yetu yote na kupoteza nguvu kazi unnecessarly, vita visivyo na tija yoyote vinawezaje kuleta ustawi wa jamii yetu barani Africa - ni AIBU TUPU.
 
asubuhi nimeona malori ya jw yamepakia vifaru maeneo ya chalinze, nikabaki na maswali kibao.!
Mkuu ndio maana tunakazania kufufua JKT - mambo mengine mezea mkuu i.e masuala kama haya ni vizuri kuzungumza na marafiki, ndugu nk lakini hapa si sehemu ya kumwaga mtama - nafikili umenielewa. CHEERS.
 
Mkuu ku deal na Battle Tanks ni kazi ndogo ukiwa na ......, alafu vifaru avitumiki kulinda mipaka labda kama una mpango wa kuvamia majirani, inavyo onekena PK yuko determined kuvamia tena DRC na si ajabu , ndiye aliwahamuru M23 wafanye tactical withdrawal baada ya M23 kurusha makombora huko Rwanda ili PK apate kisingizio cha kuivamia DRC kwa mara nyingine tena. Hivi sasa PK anajipanga vizuri kuzingira majeshi ya UN na DRC ili afanye mashambulizi ya kushtukiza - tusisahau PK ana usongo mkubwa na jeshi letu, anatafuta kila mbinu kusababisha a maximum damages kwa majeshi ya Tanzania na South Africa, anataka wakate tamaa. PK na makamanda wake wako obsessed na majeshi ya nchi hizi mbili ndio maana anaya sema sema sana kwenye media as if majeshi ya UN huko DRC ni predominantly Tanzainan/South Africans.

Binafsi naona akifanya makosa ya kushambulia majeshi yetu kimakusudi basi tutakuwa hatuna sababu ya kuishia kurudisha majeshi yake mipakani tu. Jacob Zuma amekwisha muonya na Tanzania vile vile alitoa onyo kali, sasa mwenye mahamuzi ya mwisho ya hatima yake ni yeye mwenywe asuke au anyoe. Majeshi yetu yanapashwa kuwa makini sana wasiwe wamewekewa mtego wa kuzungukwa pande zote kwa Artillary za PK, kumbuka M23 ilikuwa kwenye sehemu hiyo kwa muda mrefu, hatuwezi kujua walikuwa wanafanya mbinu gani/wanajitayarisha kivipi kufanya mashambulizi ya kushtukiza under command ya Rwandan Army, don't underrate PK the guy is a tactician par excellence!

Sasa nini cha kufanya the soonest ili tu pre-empty mipango yake ya aidha kuvamia DRC au majeshi yetu: La kwanza - UN iombe NATO ianzishe kurusha DRONES 24/7 kwenye mipaka ya Rwanda/DRC na Uganda/DRC ku-track movement ya jeshi la Rwanda na la Uganda jamaa hawa lao moja, wakumbuke vile vile kwamba majeshi ya Rwanda yana kawaida ya kuvuaa nguo za kike ili wasitambulike kirahisi: La pili - UN iombe NATO/Merikani iwapatie ndege nne za kivita aina ya A-10 Warthong Tank Busters ku-deals na vifaru/magari ya deraya/Artillery piece na munitions dump za Rwandan Army kama PK athubutu kuvamia DRC au majeshi yetu.

Kwa upande wa ku-deal na Infantry watumie Helicopter Gunships aina ya Denel AH-2 Rooivalk kutoka South Africa na Hind Mi-24 kutoka Urusi, nataka nieleweke sio kwamba nashabikia mambo ya vita, lakini tunapokuwa na Kiongozi ambaye anatishia AMANI kwenye maeneo ya Great Lakes, mtu anapigaa vita mfurururizo takribani miaka ishirini bila ya kurudisha amani ya kudumu, hataki kushauliwa, yuko bellicose muda wote, uwezi kujua kesho atamuka na directive gani kwa makamanda wake - kama anaweza kutishia maisha ya Rais mwenzake openly, Je Watanzania/Wacongo na sisi raia tunaotoka mipakani tutaishi na roho juu mpaka lini?
Hapa umenifikisha Bukya. Napenda watu wanaoandika na sense. Ushauri wangu kwa Tanzania kabla janga halijaifikia: acheni kufurahia kupita kiasi kwa kuchukua ngome ya M23. PK sasa ameamua kulipiza kwa niaba ya M23. Pia huenda wakashirikiana na UGANDA iliyoko Kisangani na kuwazingira. Ni nyie tu ndio Kagame ana dukuduku nanyi, si majeshi mengine ya UN. Hivi sasa ni wakati wa kuchemsha na kupanga mbinu zenye ubunifu mkubwa, zikiwemo pre emptive strikes. Ni vizuri kummwajiri Mbusa Nyamwasa kwani yeye bado anajua mbinu nyingi za PK. Huyu jamaa ni tactician mkubwa na ameiva kwa vita na Watutsi si watu wa kuchezea inapokuja kwenye vita!
 
Mzozo wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo unaonekana kuchukua sura mpya na ambayo inaanza kutia wasiwasi baada ya Rwanda kutishia kuchukua hatua za kijeshi endapo DRC itaendelea kurusha mabomu kwenye ardhi yake. Rwanda imeyasema hayo baada ya mabomu kumi kuanguka nchini Rwanda mfululizo na kumuua mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa

source DW(KISWAHILI)

NATO na US wanaitafuta fursa ya kumpeleka kuzimu Kagame. Atahadhari na mtego wa panya!
 
Hii vita niliitegemea sana tangu siku lilipoundwa jeshi la umoja wa mataifa kulinda amani huko Kongo, jkwani Kagame alichukizwa sana na kitendo cha Tanzania kupeleka huko asikari kwenda kuwabana watu wake wa M23. Ndio wakati huo huo Kagame alipofanya mabadiliko ghafla sana ya viongozi wa kijeshi na kumpandisha cheo General mmoja ambaye alikuwa ametoka vitani huko Darfur kwa kujua kuwa huyu alikuwa bado ni active sana kivita. Umepita muda mrefu Kagame hajapigana vita, jambo ambalo linakuwa haliendani na tabia yake kwa vile maisha yake yote amekuwa katika vita tu. Amani siyo kitu anachopenda au alichozowea. Katika miaka minane iliyopita, jamaa huyu alijilimbikizia silaha sana kiasi kuwa huko nyuma nilitoa wasiwasi wangu hapa forum kuhusu lengo la kiongozi huyo kwa siku za mbele kwani kazi ya silaha za kivita ni kupigana vita. Nadhani nilitoa tahadhari hapa lakini watu walinipoza kuwa hakuna tatizo. Vita inayokuja siyo ya Rwanda na Kongo tu, bali itakuwa na nia ya kuhamishiwa kuwa ya Rwanda na Tanzania; time will tell.

Tulijidai tunajua amani, sasa tunalazimishwa kuvunja amani. Kuna makosa makubwa Tanzania tumeshayafanya huko nyuma kuhusu vyombo vyetu vya usalama wa taifa kwa vile vina mapandikizi wengi sana wa kutokea Rwanda. Kuna wanyarwanda wengi sana nilisoma nao pale Dar wakapata kazi serikalini lakini baada ya Kagame kuingia madarakani baadhi yao wakarudi huko kwao hadi leo na wengine bado wakabakia hapo Dar.
 
Roolvalk za South Africa zimeshaombwa rasmi na UN toka South Africa. Hizo kitu sio mchezo,hazifanyi makosa wala masihara!

Heshima yako mkuu KOBA - si unajua tena ndugu yetu huyu PK ni chuma cha pua bila ya kumshtua/tisha/tingisha kidogo anaweza akijisahau akahamua au katoa amri ya kuvamia DRC au kushambulia majeshi ya UN, hapa nampa picha kamili ili afikilie mara mbili kabla ya kutoa uhamuzi ambao unaweza kubadilisha kabisa equation za medani za vita kwenye Region yetu, akae akijua majanga ambayo yanaweza kulikumba jeshi la Rwanda akiendeleza ubushi na kutotaka kushaurika, nakubali ana wajibu wa kulinda Taifa lake ili liwe na amani at all cost lakini akumbuke wajibu huo unapashwa ku-trickle down kwa majirani zake specifically DRC na wao wana-deserve amani ya kudumu kwenye nchi yao. Mimi sina shaka kwamba PK ni kiongozi ambaye amejitahidi kuendeleza taifa lake from the ruins mpaka akasifika hatua ya uongozi wake kusifiwa kimataifa, sasa kwa nini atake kujikuta anadhalilishwa kama Kanali Gaddafi ambaye alijikuta anakimbilia kwenye mitaro ya maji machafu akijificha hasikamatwe!! Je nayeye anataka hayo yamkute?? Wengi wetu tunao msema sema sana humu tunamtakia mema, kama tungekuwa na nia mbaya tungekaa kimya yaje yamkute - zana za vita nilizo zungumzia humu ni deadly na yeye anazijua sana there is no way jeshi lake linaweza ku-absorb kashikashi ya flying beasts hizo, sasa ya nini Waswahili kupendelea kupigana vita maisha yetu yote na kupoteza nguvu kazi unnecessarly, vita visivyo na tija yoyote vinawezaje kuleta ustawi wa jamii yetu barani Africa - ni AIBU TUPU.
 
Siungi Mkono vita na naamini kuwa mazungumzo ni suluhu ya kudumu kuliko vita. Ila nchi yetu inapotishiwa kuvamiwa na nchi nyingine huwa ninaweka exception. Nadhani ni wakati muafaka sasa kwa Tanzania kupeleka majeshi yake mkoani Kagera kulinda mpaka wetu na Rwanda inaonekana Hawa jamaa hawaaminiki na wanaweza kutuvamia hata huku kwetu. Just thinking aloud.
 
Back
Top Bottom