upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,086
- 4,525
Naombeni tempo ya jeshi jamani.
Kagame aking'oka tu nastaafu na kurudia kazi yangu ya sasa.
Kagame aking'oka tu nastaafu na kurudia kazi yangu ya sasa.
mabomu kuangukia nchi ya mwenzako huo ni uchokozi! Ni vema kuheshimu mipaka ya mwenzako labda kama ni sababu ya kutaka kupima maamuzi ya Rwanda!
Mawazo hayo hayana tofauti na mawazo na maneno ya CCM juu ya tukio la Soweto hivi kuna uwezekano kweli ukajirishia mabomu na kuua raia wako? hayo ni mawazo ya kipuuzi
mzozo wa mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya kongo unaonekana kuchukua sura mpya na ambayo inaanza kutia wasiwasi baada ya rwanda kutishia kuchukua hatua za kijeshi endapo drc itaendelea kurusha mabomu kwenye ardhi yake. Rwanda imeyasema hayo baada ya mabomu kumi kuanguka nchini rwanda mfululizo na kumuua mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa
source dw(kiswahili)
sikilizeni nyie wanyarwanda
msiwe mnasahau kirahisi hivyo. Miaka kadhaa kagame na jeshi wamekuwapo drc wakipiga mabomu na risasi na kuua watu.............nikuulizeni kuna sheria gani inaruhusu jeshi la rwanda kuingia ndani ya nchi nyingine?
Kgame na jeshi lake alishawahi kupigana na wanajeshi wa uganda kwenye ardhi ya congo wakigombea madini.....nani aliwapa mamlaka hayo.
Kagame & co. Watulie tu, wembe uleule uliowakata wacongo kwa zaidi ya muongo mmoja ndiyo huohuo utawakata.
Mzozo wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo unaonekana kuchukua sura mpya na ambayo inaanza kutia wasiwasi baada ya Rwanda kutishia kuchukua hatua za kijeshi endapo DRC itaendelea kurusha mabomu kwenye ardhi yake. Rwanda imeyasema hayo baada ya mabomu kumi kuanguka nchini Rwanda mfululizo na kumuua mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa
source DW(KISWAHILI)
Mbona majeshi yatanzania ndio yanatumia mizinga congo! hiyo inajulikana,subirini jamaa wakizama congo mtausikia mziki wao,mnasema m 23 inasaidiwa na rwanda,hamujui mziki wao,mkisikia wameingia hakutakua cha angola,zimbabwe,drc,fdlr,tz yani ni kiboko mbele kwa mbele,waache waendelee kuchokoza.
Kiboga nafikiri utakuwa wewe unayeshabikia vita nyuma ya keyboard huku ndugu wa yule Major aliyeuawa wanamajonzi na masikitiko juu ya mpendwa wao hii yote ni sababu ya sifa za kijinga wanazotaka hawa viongozi wetu.
Mukamasimba mbona leo ulikuwa kimya sana au ndio ulikuwa unafanya kautafiti kidogo!Mbona majeshi yatanzania ndio yanatumia mizinga congo! hiyo inajulikana,subirini jamaa wakizama congo mtausikia mziki wao,mnasema m 23 inasaidiwa na rwanda,hamujui mziki wao,mkisikia wameingia hakutakua cha angola,zimbabwe,drc,fdlr,tz yani ni kiboko mbele kwa mbele,waache waendelee kuchokoza.
Mkuu hata M7 is part of this GAME, don't U 4get.Tummalize kagame ili east afrika kuwe na aman huyu -------- tumpeleke ICC na heshima itakuwepo kote