Duh, kama pweza! Vipi alipoulizwa nani atashinda alijibu nini?Wakati mwaka huu unaanza Kakakuona aliulizwa kuna nini mwaka huu akasema kutakuwa na vita.Hivi kakakuona naye ni mtabiri?
Ndio target yake kubwa, wamekasirika baada ya askari wao wa RDF waliokuwa wanapigana bega kwa bega na M23 kuuwawa kwa wingi juzi na jana. Na hata supply alizokuwa anawaongezea M23 zilishambuliwa.Kitawaka sasa hivi huyo PK sijui anapewa kiburi na nani?asije kutuulia majeshi yetu tu huko congo
Ikiwa ataanzisha vita na UN congo bila shaka kagame atakua ana kichaa. Tangu ameingia madarakani na genge lake la watutsi hakuna amani eneo lote maziwa makuu. Itakua nafasi kwa dunia kumtwanga na kumng,oa. Rwanda inahitaji kiongozwa na mtu mwenye busara sio kiongozi muuaji anayetoa maneno ya ufedhuli na dharau kwa watu wengine hata kama ni rais wa nchi jirani.
Hapo ndo patamu ajaribu rusha makombora aone cha moto na tank lenyewe kuukuu ilo ndo apeleke akalinde mipaka kweli lagame empty head
The M23 rebel group in eastern Democratic Republic of Congo has said it will stop fighting, following days of clashes with UN-backed forces.
M23 official Museveni Sendugo told the BBC its forces had already pulled back 5km (three miles) from the frontline.
Ikiwa ataanzisha vita na UN congo bila shaka kagame atakua ana kichaa. Tangu ameingia madarakani na genge lake la watutsi hakuna amani eneo lote maziwa makuu. Itakua nafasi kwa dunia kumtwanga na kumng,oa. Rwanda inahitaji kiongozwa na mtu mwenye busara sio kiongozi muuaji anayetoa maneno ya ufedhuli na dharau kwa watu wengine hata kama ni rais wa nchi jirani.
Kitawaka sasa hivi huyo PK sijui anapewa kiburi na nani?asije kutuulia majeshi yetu tu huko congo