MUKAMASIMBA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 1,655
- 362
- Thread starter
- #161
Nyote mnaoweka jukwaani picha za watu waliouawawa kikatili mnapashwa kupigwa ban.
Hao ni ma genociders wanaofanya kampeini zao chafu jukwaani ndio wanapost hizo picha.
Nyote mnaoweka jukwaani picha za watu waliouawawa kikatili mnapashwa kupigwa ban.
hapa umenena
kikawaida huwa tunaangalia yanayotokea kwa wenzetu na kuyasemea,lakini pale tunapofanya kile tusipopenda wenzetu watufanyie hatuoni kuwa ni shida
Tanzania hivi hizi hostilities towards Rwanda zinatoka wapi?what I know TZ haijawahi kufanyiwa chochote kibaya au kuibiwa anything na Rwanda,seems Kuna some ignorance humu inaendelea na wachangiaji wemgine pausing as Tanzanian kumbe ni exiled hutu,na wengine ni wahutu wa mikoa ya mipakani wanaochukia watutsi tuu,msijidanganye na idiocy fantasy zenu na kama mnafikiri JK atalianzisha on your behalf that will never happen, mtaishia makelele tuu na Kesho mtawaona JK Na PK wakinywa coffee pamoja..kama Hamna Kazi kavueni samaki wapuuzi wote nyie.
Anatukanwa Obama kila usiku na kutishiwa lakini mbona sijawahi ona watu wasting their time and go ballistic kama nyie,you guys are just exaggerating.. upuuzi mtupu,hizo energy mazotumia towards Kagame mngewekeza kwenye real issue to fight corruptoons and a daylight robbery unaofanywa na mafisadiUnasema hizi hostilities towards Rwanda zinatoka wapi? Aliyesema atamvizia Kikwete na kum-hit alikuwa ni exiled hutu?
but jk is not kabila and m23 and nkunda are not fighting tanzania,naona jk baada ya kushindwa kuacha legacy yoyote anajaribu kutaka kumpindua kagame,..sipendi chokochoko hizi wakati tunakaribia kuitwa bankrupt nation.
Unasema hizi hostilities towards Rwanda zinatoka wapi? Aliyesema atamvizia Kikwete na kum-hit alikuwa ni exiled hutu?
Kua mtanzania ulipigana upande wa frerimo haimaanishi umekua mozambikan.
Tofautisha DRC na TANZANIA,-DRC wanawahifadhi na kuwa saidia waasi wa rwanda,je Rwanda ina wahifadhi waasi wa tanzania? najua hujanielewa,nasema nyie tanzania mnaugomvi upi na rwanda mpaka muwaarike waasi wa rwanda katika aridhi yenu? hivi ingekua kwamba kuna waaasi watanzani ndani ya rwanda nisinge shangaa hiyo move ya tanzania.
So it is not wrong for Kagame to host Laurent Nkunda and M23 at his private home!
mkuu JOHN GARANG alisoma pia Magamba Sekodari (asaiv SEKUCO)Marekani haikuwahi kutuzuia kuongea na Fidel Castro
Uingereza haikuwa kutuzuia kuongea na Mugabe au Nkomo
Raila Odinga amekulia Msasani na kupewa paSsport yenye nembo ya Adam na Hawa
Thabo Mbeki haijulikani kama amesharudisha passport yake
Waisrael hawakuwahi kuhoji ubalozi wa Palestina pale Upanga
John Garang si kuwa ni alumni wa UDSM bali ameshawahi kutuma mwakilishi kuja UDSM kuongea
ANC walikuwa na makazi mazimbu, PAC wakawa nayo Chunya
Mreno hakuwahi kutuzuia kumhifadhi Mondlane au Machel
Kwa kifupi ni kama alivyosema mimi baba hapo juu
except RPA was entirely tutsi! vita vya ukombozi vilihusisha nchi si makabila.
Kwa taarifa yako I am a WB Consultant in Rwanda. Narudia, siyo bure una kitu cha kihalifu (guilty concious) kinakusumbua; NITAFUTENilishakuambia kavue samaki hakuna unachochangia zaidi ya kuonyesha ulivyo zero tuu
Kwa taarifa yako I am a WB Consultant in Rwanda. Narudia, siyo bure una kitu cha kihalifu (guilty concious) kinakusumbua; NITAFUTE
Kagame was a refugee in Uganda. He had every right to claim Rwanda and return to his home country. Mbona mnashangilia Mayahudi kurudi makwao?
jMali sasa naona unavuka mpaka? unasema RPA was entirely tutsi macho makavu kabisa??? duh, kweli genocidaire mmeamua. Wahutu kwa mamia na wengine wasio watutsi wakikusikia watasikitishwa sana.
What has Laurent Nkunda got to do with Tanzania? We have so many internal problem why do we want to make Rwanda our problem too?
Peleka comedy zako to your level sio Mimi.