kibai
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 202
- 52
Hii hapa hotuba kama hamwezi kujmwandikia:
Tanzania imekuwa ikipokea taarifa mbalimbali kutka kwa Rais wa Rwanda taarifa mbalimbali zinazotishia uhusiano wetu. Ni hivi majuzi tu, kutokana na hila za Rais wa Rwanda ulikatishwa utaratibu wa kusafirisha mizigo kupitia Dar na mengine mengine yanye nia mbaya. Matamshi ya aina hii ya Rwanda na utaratibu wa kutaka kuingilia hadi taarifa za ndani kabisa unatia shaka na kuingilia masuala ya usalama ya nchi yetu ya Tanzania.
Kama Rais, sasa ninasema imetosha na iwe kweli au si kweli madai haya, ninnatoa wito kwa Rwanda kuachana kabisa na Tanzania kwasababu tutaipiga kwa muda mfupi sana kama tulivyofanya Uganda. Najua mna makubaliano na Uganda pamoja na Kenya kusaidiana Kijeshi lakini itakuwa kwa vikundi vya ugaidi tu na siyo kwa vita na Tanzania. Kumbuka Uganda ni sehemu ya Tanznia na tuliwapa wajitawale tu tena kwa mapenzi yetu na kwa hekima za Rais wetu Nyerere.
Ninatoa rai kwa mara ya mwisho kwamba sasa si muda wa utani tena na kuoneana huruma. Tumekamilisha kwa M23 na sasa tutaendelea na Rwanda kama nchi kama itabidi. Nikumbushe tu kwamba, udikteta hauwezi kuwepo kwa muda mrefu sana sehemu yeyote hata Rwanda. Msifanye wananchi wenu kama wajukuu zenu kwakuwa wana bibi zao.
Operation kimbunga itarudiwa tena kwakasi pamoja na tokomeza na ninatoa rai kwa raia wasiokuwa wa Tanzania kuhalalisha uraia wao ama kuondoka haraka sana. Na nyiyi mliojipenyeza kwenye vyombo vyetu, siku zina hesabika kuwa ni chache sana, tutawashughulikia. Nitoe rai kwa Watanzania wenzangu kuwabaini watu hawa mapema sna. Wale wakuu wa taasisi mlioajiri watu wa aina hii, ikibainika mtachukuliwa hatua kali pamoja na kushtakiwa kwa uhaini wa kutaka kuwaangamiza watanzania wenzako.
Mungu ibariki Tanzania na EAC isipokuwa Rwanda
Napita tuuuuuuuuuuuuu
hima himaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Tanzania imekuwa ikipokea taarifa mbalimbali kutka kwa Rais wa Rwanda taarifa mbalimbali zinazotishia uhusiano wetu. Ni hivi majuzi tu, kutokana na hila za Rais wa Rwanda ulikatishwa utaratibu wa kusafirisha mizigo kupitia Dar na mengine mengine yanye nia mbaya. Matamshi ya aina hii ya Rwanda na utaratibu wa kutaka kuingilia hadi taarifa za ndani kabisa unatia shaka na kuingilia masuala ya usalama ya nchi yetu ya Tanzania.
Kama Rais, sasa ninasema imetosha na iwe kweli au si kweli madai haya, ninnatoa wito kwa Rwanda kuachana kabisa na Tanzania kwasababu tutaipiga kwa muda mfupi sana kama tulivyofanya Uganda. Najua mna makubaliano na Uganda pamoja na Kenya kusaidiana Kijeshi lakini itakuwa kwa vikundi vya ugaidi tu na siyo kwa vita na Tanzania. Kumbuka Uganda ni sehemu ya Tanznia na tuliwapa wajitawale tu tena kwa mapenzi yetu na kwa hekima za Rais wetu Nyerere.
Ninatoa rai kwa mara ya mwisho kwamba sasa si muda wa utani tena na kuoneana huruma. Tumekamilisha kwa M23 na sasa tutaendelea na Rwanda kama nchi kama itabidi. Nikumbushe tu kwamba, udikteta hauwezi kuwepo kwa muda mrefu sana sehemu yeyote hata Rwanda. Msifanye wananchi wenu kama wajukuu zenu kwakuwa wana bibi zao.
Operation kimbunga itarudiwa tena kwakasi pamoja na tokomeza na ninatoa rai kwa raia wasiokuwa wa Tanzania kuhalalisha uraia wao ama kuondoka haraka sana. Na nyiyi mliojipenyeza kwenye vyombo vyetu, siku zina hesabika kuwa ni chache sana, tutawashughulikia. Nitoe rai kwa Watanzania wenzangu kuwabaini watu hawa mapema sna. Wale wakuu wa taasisi mlioajiri watu wa aina hii, ikibainika mtachukuliwa hatua kali pamoja na kushtakiwa kwa uhaini wa kutaka kuwaangamiza watanzania wenzako.
Mungu ibariki Tanzania na EAC isipokuwa Rwanda
Napita tuuuuuuuuuuuuu
hima himaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa