Rwanda - Tanzania Tensions Flare Again

Rwanda - Tanzania Tensions Flare Again

Status
Not open for further replies.
  • Mwamko Africa?,we would rather talk of the democratic Ghana that the Dictatorial regime in Rwanda.Bajeti ya Rwanda (2013/2014) ni tegemezi kwa kiasi kikubwa kwa hio hakuna la kujitapa hapa.Asilimia 49% inategemea misaada kutoka nje ikiwa ni pamoja na Grants na mikopo .http://www.minecofin.gov.rw/uploads/media/The_National_Budget_-_a_Citizen_s_Guide_2013-2014_01.pdf. Sasa kujitegemea huko kuko wapi?.
  • Unaongelea Evidence ya Uhusika wa France kwenye Genocide.....Kwa nini msitoe hiyo evidence sasa? mnasubiri nini? kwa nini msiende mahakamani sasa? mnasubiri nini? Unajua msidhani watu wote ni wapumbavu na wavivu wa kufikiri .......Dont think watu wote wanadanganyika kwa simple arguments kama hizo.
  • Mwaka 1994 Walikufa wote...Both watusi na wahutu...Ingawa watusi walikua wengi....Pia Genocide haipaswi kutumiwa kama njia ya ku oppress the Hutu society ...eti kwa sababu Genocide ilisababisha watutsi wengi wafe.....Utawala wa kidikteta wa Rwanda unatumia Genocide card pale unapokuwa challenged.....Jumuiya ya kimataifa sasaivi imewashtukia...Kwa sasa the Opressed class ni wahutu....mmewafukuza watu nchini kwao na sasa wako uhamishoni....Kama watutsi walivoichukua nchi wakitokea uhamishoni...Vivo hivyo wahutu wataichukua nchi...Yes..One day...Unless mkae katika meza ya mazungumzo.
  • Sina haja sana ya kukueleza kuhusu nguvu ya Tanzania kijeshi,...wewe mwenyewe unajua M23 wako wapi kwa sasa.Niambie ni operation ipi ya Kijeshi Tanzania imewahi kushiriki na ikashindwa?
  • Hakuna anaepanga mabaya kwa Rwanda...Tanzania ni kimbilio kwa wanaoonewa...Tumefanya hivo kwa South Africa,Tumefanya Mozambique...Zambia..Zimbabwe..Botswana ...Uganda....Commorro...Madagascar na kwingine....Wote wanaoonewa tunawakaribisha kwa mikono miwili na tunawasaidia kupata VICTORY
    Waambie hawa jamaa.
 
Mwambie PK aje aombe msamaha kwa JK lasivyo tunawapa train na mtatandikwa all tutsi,maneno meeengi hata risasi hamrushi hata mpakani mwa Tz,PK lazima anyolewe
 
jMali you cant be serious chief. FAR walikosa uhalali wa kuwa sehemu ya serikali pale walipomuua Rais Habyarimana na kuendesha mauaji ya kimbari ya 1994. Haybarimana's was an oppressive regime on ethnic lines. Tutsis were second class citizens and faced persecution daily. Had it not been for RPF's moral certitude, that genocide would have claimed a lot more innocent civilians. I also find it hilarious that you think just because Rwanda is ceremonially chairing the UN Security Council then somehow the country has any real say on what goes on in the organization, ha ha ha. Ni hivi mkuu, UN inawasaidia FDLR ili wamtoe Rais Kagame, hili halina ubishi. Hujajibu swali; ni lini UN itatekeleza mandate yake ya kupigana na waasi wa FDLR?

1. Kagame alianza mashambulizi 1990 sio 1994! what genocide was kagame stopping then? Kagame na RPA walikuwa wanataka kupindua nchi tu, genocide or no genocide!

2. Kama kulikuwa na matatizo ya kisiasa ndani ya Rwanda Kagame ilimhusu nini yeye si alikuwa raia wa Uganda, tena mwenye cheo kikubwa tu. Kwani hakukuwa na wapinzani wa kitutsi Rwanda mpaka kagame alipokuja? la, walikuwapo wengi tu. kaka yake mushikiwabo ambaye alikuwa waziri katika serikali ya Habyarimana si alikuwa chama cha upinzani not so? Hivyo si kweli kuwa watutsi walikuwa wanategemea kagame aje kuwa-save, kagame imposed himself. labda udai alikuwa ana-represent wakimbizi wa kitutsi uganda juu ya swala la kurudi, hapo kidooooogo nitakuelewa.

3. Kama Rwanda inailalamikia UN, basi ni busara kujiuzulu kwanza hicho kiti ndio mengine yaendelee.

4. Ni kweli UN ina mandate ya kupambana na waasi. FDLR is more complicated than simply waasi kama wale wa uganda, mai mai etc, ndio maana UN haiwezi tu kuwapiga. Ndio maana TZ tunawasikiliza, na DRC inashirikiana nao (kama ambavyo Uganda ilishirikiana na RPA). FDLR na M23 ni tofauti kama mchana na usiku.
 
Nimekutana na msafara wa JK unatokea Msoga this weekend ilikuwa jumapili nimepishana nao pale Kiwangwa kuelekea Fukayosi.

Pengine ilikuwa ndio anatoka kwenye hizo issue majira ya mchana.
 
karegeya's last letter:

"The idea is to invite stakeholders in Rwandan society (Government, Church, Civil Society and Opposition organizations, including those that are armed, etc..) to talk candidly about the state of affairs in our beloved country and how we can build the future together. Understandably, this is a very difficult proposition, given the fact that such a culture of dialogue, give and take is evidently lacking in our society. Yet, we can only imagine the dangerous alternatives to the dialogue and peace. We have informed the United States Government, and the Governments of France, Belgium, Tanzania and South Africa about this idea. While they all note how difficult this will be, they appreciate how timely, important and urgent it is."

keywords: talk, timely.

Hivi mtu mwenye akili timamu anaonaje tatizo hapa?
 
M23 ni wakimbizi wameomba hifadhi,siyo kufanya mikutano ya kushambulia congo,tofauti na hao waliopokelewa na jk,wao wametangaza kweupe kuipindua serikali ya pk kwa mtutu,hawa M23 wamesaini mkataba wa kuacha vita milele,sasa msitake kuutetea ujinga,kikwete amejitangaza kua adui wa rwanda kwa kuwakaribisha hao watu,na kama wewe hujui kinacho endelea tulia si muda murefu utaelewa.

viongozi wa M23 walikuwa askari wa RPA 1994, unasemaje kuwa wameomba hifadhi Rwanda, badala ya kusema wamerudi kwao?
 
viongozi wa M23 walikuwa askari wa RPA 1994, unasemaje kuwa wameomba hifadhi Rwanda, badala ya kusema wamerudi kwao?

Kua mtanzania ulipigana upande wa frerimo haimaanishi umekua mozambikan.
 
kiongozi anayeweza kuchukizwa na kauli jenzi kama hii basi lazima atakuwa ni kiongozi wa ajabu! Kwamba hawa waasi wanashambulia nchi zao za asili, juhudi zifanyike kuzngumza ili kumaliza hii hali coz' risasi zimeshindwa kutoa suluhu; bado mtu anakuja juu! Khaaa, kweli Kagame ni mpenda vita! So, ikiwa wanaotaka mazungumzo hawafahamu wanachoongea, ina maana huyu Waziri anaamini suluhu ni vita!! Ajabu sana hii...ama kweli Kagame Regime should go, not tomorrow, but instantly! Wayahudi, pamoja na maguvu yao yote na uwezo wao usiopingika hata chembe kwenye masuala ya kijeshi, intelijensia, na mengine yote kama hayo; bado maguvu hayo yameshindwa kabisa kutatua mzozo wake na kataifa hoahae Palestina! Lakini huyu mtu na utawala wake bado hadi karne ya 21 wanaamini maguvu ndiyo suluhisho!! Narudia tena hapa. Sababu kubwa inayomfanya Kagame asitake mazungumzo na FDLR ni ukweli kwamba FDLR inawakilisha Wahutu ambao ni 80% ya Wanyarwanda wote. Kufanya nao mazungumzo FDLR ni kama kuwakalibisha kufanya siasa ndani ya Rwanda! Leo mazungumzo yakifanikiwa na FDLR kugeuka kuwa chama cha siasa; huo ndo utakuwa mwisho wa RPF kuongoza! Ikiwa hata hapa Tanzania kwenye misuguano midogo midogo ya kijamii bado kuna watu wanapiga kura kwa kuangalia kabila na dini; seuze Rwanda ambako ukabila unaondolewa kwa force badala ya utashi wa Wanyarwanda kubaini kwamba ukabila sio issue?

Kagame na puppets wake aache kudanganya Wanyarwanda! Hataki kufanya mazungumzo na FDLR simply because anaogopa FDLR kubadilika na kuwa chama cha kisiasa ambacho hatakuwa na ubavu wa kushindana nacho kwenye sanduku la kura!
c.c JokaKuu, Nguruvi3, jMali.

Kijana umechambua vizuri sana as if you're from Rwanda. Huo ndo ukweli usiopingika. and PK knows that.
 
Acha uongo FDLR ni kikundi cha wahutu hiyo watutsi wanaona kama ni magaidi, kwahiyo hata yule mama wa upinzani aliyefungwa naye ni gaidi?

FDLR has an international acclaim as a Terrorist group, President Kikwete should be careful with this, but we should not intervene in domestic affairs of a sovereign state.
 
Hakuna nchi yenye demokrasia ambapo chama kinashinda kwa asilimia 90....kama hawajaiba kura basi ni kura za woga...

Namuhurumia sana Kagame...it is not too late...abadilike na awaombe msamaha wanyarwanda...that is if hatapelekwa The Hague.

Dunia ya sasa ya uhuru wa habari (internet) huwezi kutawala kwa mabavu na vitisho...

Na wala hawezi kuwadanganya watu muda wote...sasa ameshitukiwa...dunia yote inamcheka.

Sijuhi kama ana control hizi habari kwa kiasi gani zisiwafikie wanyarwanda wakati anajisifia kwa internet connectivity...maana wakibumburuka ndio utakuwa mwisho wake.


unajua sunni ni minority kule iraq lakini sadam hussein ambaye n sunni alikuwa anapata kura sometimes zaidi ya 100perc!!!!unajua juzi juzi us ilitoa report kwamba kulikuwa na malipulation na intimidation kwenye uchaguzi wa rwanda!!
 
Freeland, unapoteza muda wako kujibishana na hawa hayawani wa porini; design za akina Koba, Murutongore na huyu juha mukamasimba!...bongo zao nahisi zimeathirika na damu za binadamu walizozimwaga. Na damu ya mtu haimwagiki bure, itawafuata vizazi vyenu vyote. Hiyo genocide mlisababisha nyie kwa kuivamia rwanda mkitokea uganda; hao fdrl na france wanahusikaje? Mbona hamzungumzii ushahidi uliopo kuwa nyie ndio source ya genocide kwa kuwauwa marais wawili?.. MNA LAANA NYIE WATUTSI, SASA UHUNI WENU UNAJULIKANA KWA WATANZANIA WOTE!

Mimi sina mengi kama uko mwanaume peleka pua yako rusumo tu na hao materahamwe wako utaona cha mtemakuni thubutu!
 
Ajabu Karegeya alikuwa ni mtusi lakini aliweza kushauri haya
!.
karegeya's last letter:

"The idea is to invite stakeholders in Rwandan society (Government, Church, Civil Society and Opposition organizations, including those that are armed, etc..) to talk candidly about the state of affairs in our beloved country and how we can build the future together. Understandably, this is a very difficult proposition, given the fact that such a culture of dialogue, give and take is evidently lacking in our society. Yet, we can only imagine the dangerous alternatives to the dialogue and peace. We have informed the United States Government, and the Governments of France, Belgium, Tanzania and South Africa about this idea. While they all note how difficult this will be, they appreciate how timely, important and urgent it is."

keywords: talk, timely.

Hivi mtu mwenye akili timamu anaonaje tatizo hapa?
 
Mimi sina mengi kama uko mwanaume peleka pua yako rusumo tu na hao materahamwe wako utaona cha mtemakuni thubutu!

...hayo maneno hata wale jamaa zenu M23 walituambia......na "pua" zetu waliziona.......kawaulize nani aliona mambo ya "mtema kuni".........mkitaka mapambano yenu kiuchumi yaharibike......endeleeni na upuuzi wenu........
 
...hayo maneno hata wale jamaa zenu M23 walituambia......na "pua" zetu waliziona.......kawaulize nani aliona mambo ya "mtema kuni".........mkitaka mapambano yenu kiuchumi yaharibike......endeleeni na upuuzi wenu........

Unajua ile pact yao ya ulinzi Rwanda->Uganda->Kenya ndo imempa tena kichwa PK. Mwanzo alifikiri yupo strong baada ya M23 kutolewa nduki akanyong'enyea kweli.
 
Kiongozi katika mambo ambaya Mwalimu alichemsha ni kuvunja uhusiano wa ki-balozi na taifa la Israel. Hili taifa lilikuwa na msaada mkubwa sana kwa nchi yetu hasa katika nyanja za kilimo cha umwagiliaji, ujenzi, afya na jeshi. Kila nikipita Mlalakuwa JKT nakumbuka msaada wa Israel katika kuanzisha na kutrain National Service. In fact hata sare za JKT ni zile zile za IDF. Nikuulize, ni nini tulichofaidikia kama nchi na taifa kwa kuwaunga mkono wapalestina? Ni hao hao waarabu on the dusty streets of Ramallah, Gaza, Hebron etc tuliowaona wakishangilia kwa furaha pale balozi za America zilipopigwa na mabomu mwaka 1998 na mamia ya waKenya na waTanzania kupoteza maisha. Walichofurahishwa nacho ni nini hasa? Wakati huo huo IDF walituma wataalam wa uokozi, matibabu na hata kupeleka watu Israel for treatment. Huu ni mfano mmoja tu. Ili Tanzania ibarikiwe ni lazima irudishe uhusiano kamili na taifa la Israel.
Kwakweli sijui unaongelea nini na kwanini.

Hizi akili za misaada ni za ajbu sana kwasababu zinafanya watu washndwe kufikiri kabisa.
Ungejiuliza kwanza kwanini Tanzania ilivunja uhusiano na Israel. Ukipata jibu ndipo uandike kitu. Kwa mtazamo wangu hujui nini kinaendelea dunia au kilitokea siku za nyuma isipokuwa umesimuliwa kuhusu misaada.

Please panua wigo wako wa kutazama mambo kwa kina na upana wake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom