Tanzania hivi hizi hostilities towards Rwanda zinatoka wapi?what I know TZ haijawahi kufanyiwa chochote kibaya au kuibiwa anything na Rwanda,seems Kuna some ignorance humu inaendelea na wachangiaji wemgine pausing as Tanzanian kumbe ni exiled hutu,na wengine ni wahutu wa mikoa ya mipakani wanaochukia watutsi tuu,msijidanganye na idiocy fantasy zenu na kama mnafikiri JK atalianzisha on your behalf that will never happen, mtaishia makelele tuu na Kesho mtawaona JK Na PK wakinywa coffee pamoja..kama Hamna Kazi kavueni samaki wapuuzi wote nyie.