nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
kwa safari hii viti maalumu cdm wamejitaidi sana kuliko mwaka 2010. viti maalumu ccm wamejaa watoto wa vigogo tupu...
Aliingia lini CHADEMA . . . . umesema unamfahamu personally wape jibu wapiga kura acha maelezo mengi
Kwan Mollel ni kabila gan?
Kaka usihangaike. Hiyo ni ngoma ya Lowasa tangu akiwa katibu mkuu utumishi. Ameziba nafasi ya Regina. Ndo mapendekezo ya mzee Lowasa hayo. Yaani badala ya kwenda bibi mkubwa, kachukuliwa bibi mdogo
Ukisoma huelewi basi hata picha huoni?
Wabunge wa viti maalumu CCM WANAPATIKANA KWA KUPIGIWA KURA HUKO MAJIMBONI,BAADAE MAJINA YAYOSHINNDA NDO WANAKAA WASUBIRI SASA UWINGI WA WABUNGE WA CCM,ILA CHADEMA MBOWE NDO ANAECHAGUA ANAOWATAKA YEYE
Unaweza kuithibitisha mahakama hiki ulichokiandika hapo?
Wasalaam !
Kweli sasa nimeanza kuzeeka na kupitwa na matukio ya kisiasa na kijamii.
Nina swali la msingi kwa wadau makini hasa wana chadema asilia.
HIVI HUYU Ruth H Mollel ambaye kama sikosei(nitaomba kusahihishwa) alikuwa ni mtu mnene na msomi kwenye serikali kwa miongo kadhaa alihamia lini chadema?
Kwenye list ya wabunge wa viti maalum wa chadema nimeliona jina lake nikashtuka kidogo kwa maana ya kushangazwa.
Hivi mama huyu alianza harakati ndani ya chadema lini kiasi cha kuukwaa ubunge wa viti maalum?
Hivi Chadema ilikuwa inahubiri mabadiliko ya namna gani hasa kama kikundi chote cha waliokuwa madarakani wamehamia huko?
Kama ni yeye kweli ...kupata ubunge viti maalum kupitia chadema huku ukiwaacha vijana waliojaribu kuwekeza katika chadema kwa kukimbia mfumo wa kiccm inatoa picha gani?
Hebu wasemaji wa chadema asilia njooni mjadili hoja hii.
SAMAHANI:Kama huyu Ruth H Mollel sio yule aliyekuwa ofisi ya makamu wa Rais mazingira na CV zake lukuki.
OMBI:Mada ijikite katika mchakato wa kumpatia ubunge Ruth Mollel!
Kwa wale ambao ni kizazi cha bodi ya mikopo kaeni kando
Cc:
Pasco
Crashwise
Molemo
Mungi
Unajua au unahisi tu?
Kesho mpigie umueleze kuna uzi huku unamuhusu akupe yale yanayokushinda hapa ulete jukwaani. . . .
huu umbea si utakumaliza kwa style hizi?
alijiunga mwaka 2013/05/27 akabaki CCM Kwa kazi maalum
Ungesubiri uone na picha kama unayemsema ndiye huyo.
Nina mchepuko wangu naye anaitwa Ruth Mollel, huenda majina tu yamegongana
Meningitis ninaona kama umejawa na hasira ambayo inaelekea kwenye chuki. Hivi kweli wote walioko serikalini basi hawastahili kuwa wana chadema au una tatizo lingine. Kwa sababu tu hajaandikwa katika magazeti au hujamsikia majukwaaani badi kwako unafikiri si 'mwana mageuzi'...kama unavyowaita. Wote hawa ni watanzania na wana stahili zao katika siasa ndani ya vyama vyovyote vile vilivyopo kwa mujibu wa sheria. Je hata hivyo vyama pinzani vingeshinda una maana watendaji wote wa serikalini wangefukuzwa ili kuleta hao vijana wana mageuzi unaowasema. Ndiyo maana ninasema hasira zako zinaelekea kwenye chuki. Kumbuka hata Dr Slaa wenginewengi walioijenga CHADEMA walitokea CCM. Cha msingi ninkuingiza wabunge who will make a different and bring the required changes. Na kwa hili si mbaya kuwatumia watu wenye uzoefu ndani ya mfumo unaopigana nao.
Kazi maalumu imekamillika kwa mafanikio ya kumuwezesha kuukwaa ubunge...Nice try!!
By the way mkuu umepotea sana jamvini nilidhani umedakwa kati ya wale 190!
Mkuu pole sana....ikulu pamekuwa pagumu kufikaUngesubiri uone na picha kama unayemsema ndiye huyo.
Nina mchepuko wangu naye anaitwa Ruth Mollel, huenda majina tu yamegongana
Sasa Huwa ANAMLAJE Wakati 24/7 Ana Vibrate Na Ku GEITA?