Ruth H Mollel aliingia lini CHADEMA?

Ruth H Mollel aliingia lini CHADEMA?

kwa hiyo kila anayeingia chadema lazima atangaze?

We uliuliziwa/ulitangaza lini??!! Una nini mpaka uuliziwe??!!
Ebhoooo. , .. . Tumia akili hiyo
Anayeuliza analo analotaka kujua. . . . .Hujiulizi kwa nini huuliziwi wewe??!!!
 
Kaka usihangaike. Hiyo ni ngoma ya Lowasa tangu akiwa katibu mkuu utumishi. Ameziba nafasi ya Regina. Ndo mapendekezo ya mzee Lowasa hayo. Yaani badala ya kwenda bibi mkubwa, kachukuliwa bibi mdogo

Mkuu fafanua vizuri hio ngoma ya mzee ndio kitu gani tena?
 
chukua na namba yake kabisa kesho utuletee majibu yaliyonyooka
0672225623

Yeye anamfahamu personally ni rahisi saaana kumpigia. By the way kashaanza kuelezea family ties so amalizie swali la meningitis kiroho safi tu
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu Kama Jane Pesha wamepigania chama huko Karagwe tangu 2005 CCM wanaiba kura lakini hawakati tamaa.2010 alikosa viti maalum na hakupata tamaa akaendelea.Hii 2015 alikuwa amegombea jimbo lakini kura za maoni hazikutosha ndipo akagombea viti maalum .Lakini alishirikiana bega kwa bega kufanya kampain kwa ajili ya kuhakikisha kitu cha ubunge kinachukuliwa na CHADEMA lakini Kama Kawaida dhuluma ya CCM imeendelezwa.Sasa Hawa wanaopewa kirahisi tu na kuwanyima kina Jane Pesha kwa Kweli watu watakata tamaa na CHADEMA itazidi kushutumiwa kwa upendeleo wa watu fulani.
 
Kaka usihangaike. Hiyo ni ngoma ya Lowasa tangu akiwa katibu mkuu utumishi. Ameziba nafasi ya Regina. Ndo mapendekezo ya mzee Lowasa hayo. Yaani badala ya kwenda bibi mkubwa, kachukuliwa bibi mdogo

Chadema na makapi ya CCM ,hatari sana
 
Kuna watu Kama Jane Pesha wamepigania chama huko Karagwe tangu 2005 CCM wanaiba kura lakini hawakati tamaa.2010 alikosa viti maalum na hakupata tamaa akaendelea.Hii 2015 alikuwa amegombea jimbo lakini kura za maoni hazikutosha ndipo akagombea viti maalum .Lakini alishirikiana bega kwa bega kufanya kampain kwa ajili ya kuhakikisha kitu cha ubunge kinachukuliwa na CHADEMA lakini Kama Kawaida dhuluma ya CCM imeendelezwa.Sasa Hawa wanaopewa kirahisi tu na kuwanyima kina Jane Pesha kwa Kweli watu watakata tamaa na CHADEMA itazidi kushutumiwa kwa upendeleo wa watu fulani.
Hata Manyara na Arusha wako mabinti wengi tu waliositisha ajira zao na kutumia fedha zao kuijenga chadema leo wanaambiwa kulikuwa na wanachama waliokuwa na "kazi maalum" ndani ya ccm ndio wanaukwaa ubunge.
 
Kaka usihangaike. Hiyo ni ngoma ya Lowasa tangu akiwa katibu mkuu utumishi. Ameziba nafasi ya Regina. Ndo mapendekezo ya mzee Lowasa hayo. Yaani badala ya kwenda bibi mkubwa, kachukuliwa bibi mdogo

Mbona masimba ni ngoma ya nani? Mbona viki kamata haumsemi? hivi ile ndoa yake iliisia wapi vile ? aummejisahaulisha? by the way yule mtoto wenu wa kiarabu kwa jina la Shine bado anakaa mwananyamala kwa yule binamu yake aliyekuwa mbunge wa kilombero Abass Gulamali? au naye yuko Dubai kama wale mapacha ?
 
Mbona masimba ni ngoma ya nani? Mbona viki kamata haumsemi? hivi ile ndoa yake iliisia wapi vile ? aummejisahaulisha? by the way yule mtoto wenu wa kiarabu kwa jina la Shine bado anakaa mwananyamala kwa yule binamu yake aliyekuwa mbunge wa kilombero Abass Gulamali? au naye yuko Dubai kama wale mapacha ?

Ndio kusema Chadema inacopy kila baya na zuri la ccm?
 
Kama haujafanya upembuzi wa POLITICS za tanzania kwa hivi vyama vikuu viwili CHADEMA NA CCM basi utakuja na maswali kama hayo kila siku mtoa post

??earnest business not politics anymore
 
Midume suruali bana shida saaaana.......inaacha kukaa kujadili chama chao yanakimbilia kujadili wenzao
 
kelele za vyura wa Lumumba haziwezi kuzuia ng'ombe kunywa Maji. Mlitaka wateuliwe mama zenu au?
 
kelele za vyura wa Lumumba haziwezi kuzuia ng'ombe kunywa Maji. Mlitaka wateuliwe mama zenu au?

Asante kwa jibu zuri, ndo maana huku hatuwataki, tumewatoa na kuwanasa vibao juu.
 
hii itaifanya cdm kushibdwa kufanya vizuri kwenye majimbo nane yaliyobaki ukitoa arusha , ele munkari ya ukawa inapungua kwa hii figisufigisu
 
Back
Top Bottom