Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Hakika nimeamini chadema ina wenyewe kabisa na viti maalum hivi vitawavuruga zaidi!
Utaratibu wa viti maalumu wa CCM upoje? Mnaruhusiwa kuhoji?
Hakika nimeamini chadema ina wenyewe kabisa na viti maalum hivi vitawavuruga zaidi!
Unaweza kuithibitisha mahakama hiki ulichokiandika hapo?
Ni hawara yake aliekua mgombea Urais
Ukisoma huelewi basi hata picha huoni?
Umbeya ni kuleta taatifa ambazo huwezi kuzithibisha. Kama unaamini sio umbeya weka uthibitisho hapa
Wewe ngoma yako ni nani?Kaka usihangaike. Hiyo ni ngoma ya Lowasa tangu akiwa katibu mkuu utumishi. Ameziba nafasi ya Regina. Ndo mapendekezo ya mzee Lowasa hayo. Yaani badala ya kwenda bibi mkubwa, kachukuliwa bibi mdogo
Athibitishe nn sasa?
Kwamba Mollel hajateuliwa au nn??
Pole sana. Hoja yako ilishajibiwa na Humphrey Polepole. Mambo ya uadilifu hayana ushahidi mahakamani
Ilikuwa zamani. Sasa ni mapenzi ya kukirimiana tuSasa Huwa ANAMLAJE Wakati 24/7 Ana Vibrate Na Ku GEITA?
Yaani hii chadema ni full kujuana hivyo viti vyao,,CCM TU NDO KUNA DEMOKRASIA YA KWELIKaka usihangaike. Hiyo ni ngoma ya Lowasa tangu akiwa katibu mkuu utumishi. Ameziba nafasi ya Regina. Ndo mapendekezo ya mzee Lowasa hayo. Yaani badala ya kwenda bibi mkubwa, kachukuliwa bibi mdogo
Wewe hapoWewe ngoma yako ni nani?
Kaka usihangaike. Hiyo ni ngoma ya Lowasa tangu akiwa katibu mkuu utumishi. Ameziba nafasi ya Regina. Ndo mapendekezo ya mzee Lowasa hayo. Yaani badala ya kwenda bibi mkubwa, kachukuliwa bibi mdogo
Sasa Huwa ANAMLAJE Wakati 24/7 Ana Vibrate Na Ku GEITA?
Juliana Shonza aliingia ccm na kuanza kuitumikia kwa kasi pengine kuliko hata wale waliokuweko ccm.Cha muhimu taratibu zilifuatwa? Na kama hazikuatwa ni wapi zilikiukwa?
Tumeona Juliana Shonza kahamia CCM na kuukwaa ubunge wa viti maalum lakini hauwezi kuwalaumu viongozi wa CCM kwa kigezo cha watu kuwa CCM miaka nenda rudi lakini wamekosa.
RUTH MOLLEL BIDUGAWasalaam !
Kweli sasa nimeanza kuzeeka na kupitwa na matukio ya kisiasa na kijamii.
Nina swali la msingi kwa wadau makini hasa wana chadema asilia.
HIVI HUYU Ruth H Mollel ambaye kama sikosei(nitaomba kusahihishwa) alikuwa ni mtu mnene na msomi kwenye serikali kwa miongo kadhaa alihamia lini chadema?
Kwenye list ya wabunge wa viti maalum wa chadema nimeliona jina lake nikashtuka kidogo kwa maana ya kushangazwa.
Hivi mama huyu alianza harakati ndani ya chadema lini kiasi cha kuukwaa ubunge wa viti maalum?
Hivi Chadema ilikuwa inahubiri mabadiliko ya namna gani hasa kama kikundi chote cha waliokuwa madarakani wamehamia huko?
Kama ni yeye kweli ...kupata ubunge viti maalum kupitia chadema huku ukiwaacha vijana waliojaribu kuwekeza katika chadema kwa kukimbia mfumo wa kiccm inatoa picha gani?
Hebu wasemaji wa chadema asilia njooni mjadili hoja hii.
SAMAHANI:Kama huyu Ruth H Mollel sio yule aliyekuwa ofisi ya makamu wa Rais mazingira na CV zake lukuki.
OMBI:Mada ijikite katika mchakato wa kumpatia ubunge Ruth Mollel!
Kwa wale ambao ni kizazi cha bodi ya mikopo kaeni kando
Cc:
Pasco
Crashwise
Molemo
Mungi