Nakubali 'wazoefu' kama Slaa na lipumba na Mtei..kuijenga Chadema.
lakini kumbuka mfumo uliokuwa ukiijenga Chadema kiasi cha leo hii kuwa kimbilio la 'wazoefu maslahi.
Hebu fikiria ujenzi wa Chadema kupitia Mnyika,lema,Nassari,Mtoi,Mwita,Kigaila,Mawazo,kilewo,vicent,na wengineo.
Kwa kiasi kikubwa chama kimekuzwa na upya chini ya uzowefu wa Slaa.
Tukiliongelea Taifa kwa muktadha wa mabadiliko huwezi kukubali kuwekeza zaidi kwenye uzoefu wakati wanaoingia kwenye mfumo kwa sasa ni ujana au upya.
Hebu nitajie mzoefu wa Chadema aliyekuwa anasaidia bungeni in the past 5 years.
Tukiassume ataisaidia Chadema bungeni...hebu nieleze utaratibu uliomuingiza kwenye nafasi hiyo isije ikawa kampiga kikumbo mtu aliyewekeza na kupambana kwa muda mrefu kitu ambacho sio kinachotegemewa ndani ya chadema.
Aliwahi kusemwa Rose kamili humu kwa nini hayo hayarekibishiki?