Ruth H Mollel aliingia lini CHADEMA?

Ruth H Mollel aliingia lini CHADEMA?

Uelewe Ruth ni Mmasai. Kwa nini asitake kwenda kwa Wamasai wenzake.

CCM ina wenyewe...! Nyie hamko kwenye "wenyewe"? Maana siku hizi wabunge wa CCM wanarithisha watoto wao ubunge, kule BOT na kwenye mifuko ya jamii wamejaa. Je ninyi vipi? Toroka mje.
 
juliana shonza mbona kpata ubunge huulizi aliwekeza nin ccm?

Juliana utaratibu upo wazi hakubebwa na mtu. Aligombea akachaguliwa na wanachama akapata kura nyingi na ndio aliyeongoza kwa idadi ya kura mkoani mwake ndio akapata huu ubunge baada ya idadi ya viti kurudi toka NEC.

Hivi unaweza sema chadema wamewapataje wabunge wake viti maalum?
 
Huu umbea si utakumaliza kwa style hizi?

Wasalaam !

Kweli sasa nimeanza kuzeeka na kupitwa na matukio ya kisiasa na kijamii.

Nina swali la msingi kwa wadau makini hasa wana chadema asilia.

HIVI HUYU Ruth H Mollel ambaye kama sikosei(nitaomba kusahihishwa) alikuwa ni mtu mnene na msomi kwenye serikali kwa miongo kadhaa alihamia lini chadema?

Kwenye list ya wabunge wa viti maalum wa chadema nimeliona jina lake nikashtuka kidogo kwa maana ya kushangazwa.

Hivi mama huyu alianza harakati ndani ya chadema lini kiasi cha kuukwaa ubunge wa viti maalum?

Hivi Chadema ilikuwa inahubiri mabadiliko ya namna gani hasa kama kikundi chote cha waliokuwa madarakani wamehamia huko?

Kama ni yeye kweli ...kupata ubunge viti maalum kupitia chadema huku ukiwaacha vijana waliojaribu kuwekeza katika chadema kwa kukimbia mfumo wa kiccm inatoa picha gani?

Hebu wasemaji wa chadema asilia njooni mjadili hoja hii.

SAMAHANI:Kama huyu Ruth H Mollel sio yule aliyekuwa ofisi ya makamu wa Rais mazingira na CV zake lukuki.

OMBI:Mada ijikite katika mchakato wa kumpatia ubunge Ruth Mollel!

Kwa wale ambao ni kizazi cha bodi ya mikopo kaeni kando

aliamia dk 90 za lala salama za kampeni

usishangae waliokua tayari viti maalumu walikatwa. akapea huyo dr
 
KWANI AKIWA BI MDOGO WAKE KUNA SHIDA GANI? au ALIKUTOSA NDIO MAANA UNAMFUATILIA SANA?
 
Wasalaam !

Kweli sasa nimeanza kuzeeka na kupitwa na matukio ya kisiasa na kijamii.

Nina swali la msingi kwa wadau makini hasa wana chadema asilia.

HIVI HUYU Ruth H Mollel ambaye kama sikosei(nitaomba kusahihishwa) alikuwa ni mtu mnene na msomi kwenye serikali kwa miongo kadhaa alihamia lini chadema?

Kwenye list ya wabunge wa viti maalum wa chadema nimeliona jina lake nikashtuka kidogo kwa maana ya kushangazwa.

Hivi mama huyu alianza harakati ndani ya chadema lini kiasi cha kuukwaa ubunge wa viti maalum?

Hivi Chadema ilikuwa inahubiri mabadiliko ya namna gani hasa kama kikundi chote cha waliokuwa madarakani wamehamia huko?

Kama ni yeye kweli ...kupata ubunge viti maalum kupitia chadema huku ukiwaacha vijana waliojaribu kuwekeza katika chadema kwa kukimbia mfumo wa kiccm inatoa picha gani?

Hebu wasemaji wa chadema asilia njooni mjadili hoja hii.

SAMAHANI:Kama huyu Ruth H Mollel sio yule aliyekuwa ofisi ya makamu wa Rais mazingira na CV zake lukuki.

OMBI:Mada ijikite katika mchakato wa kumpatia ubunge Ruth Mollel!

Kwa wale ambao ni kizazi cha bodi ya mikopo kaeni kando

Cc:
Pasco
Crashwise
Molemo
Mungi

Kwani mtu akiwa Serikalin ni dhambi kuhamia CHADEMA ?
Mbona Bulaya alikuwa CCM na kaja CHADEMA na kumng'oa Babu yenu Wasira ?
Maswali yako kimsingi hayana Mashiko.
Kwani kuwa mtumishi wa Serikali hauwezi kuwa Mwanachama wa chama cha Siasa ?
Mbona huulizi Msemaji wa Jeshi aliyekuwa Mkuu wa Wilaya (Muenezi qa CCM) na baadae kurudi tena jeshin
Mkuu una Nongwa sana,kama Mke mdogo Bwana
 
Pole sana Meningitis yule shosti ulie mtarajia hakukidhi vigezo so kuwa mpole tu.
 
hii itaifanya cdm kushibdwa kufanya vizuri kwenye majimbo nane yaliyobaki ukitoa arusha , ele munkari ya ukawa inapungua kwa hii figisufigisu

Ujinga huu kamuulize WASIRA atakupa majibu
 
Huo ujinga maswali? Unaleta matabaka ya kijinga sana, eti chadema asilia, hoja haijaungwa mkono uko peke yako.
 
Wanachadema anzeni kuitumikia chadema kwenye kazi maalum
 
Wanasema ni mpenzi wake lowassa wa siku nyingi tu mzee ameagiza kwenye nafasi zake nae apewe ubunge.kuhusu kuingia chadema hajuwi hata ofisi za Chadema ziko wapi hata katibu mkuu wa chadema inawezekana hamjui.lakini ndo hivyo mwenye Chama keshasema mpenzi wake apewe. Chadema kinaharibika hivi hivi tunaona.
 
Munkari unapungua kwenye majimbo nane isipokua arusha wao ndio wana Munkari sio mtoa uzi ni mshamba wa enzi
 
Back
Top Bottom