mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,421
- 1,792
Si Mlisema Jamaa Anakuja CHADEMA Na Mtaji Gani? Huyo Ndiyo Mmoja Wa MTAJI Wenyewe Ukiachilia Mbali Ule Ambao Mzee Mtei Na Mtoto Wa Mjini Mbowe Walioupata Pale Sea Cliff Hotel Kutoka Kwa Mr. WAKUCHINJWA CHINJWA KILA WAKATI.
hii ni kuonyesha kuwa asilimia kubwa ya kura za wagombea wa UKAWA wengi walichaguliwa na wana-CCM.
Wanaendelea kujitokeza - m/kiti UVCCM kapewa Viti maalum, M/hazina Iringa kapewa viti maalum.
Na bado wapo wengi ni mitaji hiyo waache kulialia NDOROBO hao!!!!!!