Russia imeikatia umeme Lithuania, mwaka huu nchi za EU lazima ziwashe makoroboi (vibatari)

Unashindwa nini ku Google na kuujua ukweli? Anyway, ngoja niwasaidie wavivu wa kusoma. Ujerumani inalipa kwenye banks za Urusi kwa kutumia Euro Currency. Kisha banks zinalipa Urusi kwa kutumia Rouble. Na hayo ndio makubaliano baada ua Ujerumani kugoma kulipa kwa Rouble. Umeelewa?
Acha blaa blaa...Hizi akaunti za Ruble walizofungua Ujerumani wanalipia maji ya Uhai? Na hii imeripotiwa jana tu...

SmartSelect_20220522-221614_Chrome.jpg
 
Bwege kweli sasa kama mfano wewe ukiambiwa ulipie mzigo wa DHL kwa dollar 100 kisha ukasema unagomea kulipa kwa dollar ila utalipa Tsh. 232,600 ili DHL wenyewe waiconvert kwenda kwenye dollar kabla ya kuidhinisha malipo yako whats the difference zaidi ya utoto?
Kwahiyo hapo unakuwa umelipa kwa dollar sio? Basi wewe ni zwazwa kweli kweli.
 
Duh i'la watanzania sijui mkoje. Utaskia mtu aifananisha urusi na Tanzania.
Utaskia tuna vyuo vizuri vya afya kuliko vya Urusi.
Utaskia urusi ni Zimbabwe iliyochangamka.
Haya sasa kwa dalili hizi Ni kwamba Russia hata umeme anao Hadi wa kuuza kwa maadui Kama natot
 
TANESCO (Russia) ya nchi kadhaa za Umoja wa Ulaya yaendelea kuzichachafya nchi za EU zilizozoea kupewa umeme wa dezoo.

Safari hii TANESCO hiyo ya nchi kadhaa za EU imeamua kuikatia umeme Lithuania kutokana na linchi hilo kushindwa kulipia gharama za huduma ya umeme...

Acha upepo uendelee kuvuma kwa nguvu, tuzione nyeti za kuku zilivyo

View attachment 2234244
Nchi za Ulaya sio sawa na kijijini kwa bibi yako mkuu..huko ni kata funua
 
Back
Top Bottom