Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,952
- 4,326
Sasa ni wiki sita tangu vita ya Russia vs USA inayopiganiwa Ukraine ianze. Hakuna dalili ya vita hii kumalizika siku za karibuni. Na kuna uwezekano wa kugeuka kuwa vita ya kinuklia mbaya ambayo haijawahi kutokea hapa duniani.
Kabla ya vita hii, India ilikuwa inanunua asilimia 2 hadi 5% tu ya mahitaji yake ya mafuta haya kutoka Russia sawa na ambavyo USA ilivyokuwa inafanya. Asilimia kubwa iliyobaki walikuwa wanayanunua toka Saudi Arabia, Arab Emirates na Nigeria. Yale ya Iran yalipigwa ban tangia mwaka 2011 na jumuiya ya kimataifa inayoongozwa na USA.
Baada ya vita, kuanzia mwezi March mwaka huu mafuta yote ambayo India inanunua kutoka nje yanatoka Russia kwani bei yake ni zaidi ya nusu ya yale yanayotoka nchi zingine ambazo zimepandisha maradufu bei zake kwa kisingizio cha vita.
China ni wajanja zaidi. Wao wanachojali ni wapi watapata bei nafuu, hayo mengine ya kisiasa si ya muhimu hata kidogo.
Hivyo baada ya ban ya kimataifa kwa mafuta ya kutoka Iran tangia mwaka 2011 iliyopelekea mafuta ya Iran kuporomoka bei, waliendelea kuyanunua kimya kimya. China ndiyo mteja mkubwa wa mafuta ya Russia hata kabla ya vita hii. Mwaka 2021 China ilikuwa inanunua mapipa million 1.72 kwa siku. Baada ya vita mafuta yake yote inayanunua toka Russia, tena wazi wazi despite kubembelezwa na USA isifanye hivyo.
Pamoja na kelele za kisiasa zinazopigwa na nchi za Ulaya kupiga ban ununuzi wa gesi na mafuta ya Russia, ukweli ni kuwa nchi hizi zinaendelea kuyanunua kutoka Russia kwa kiwango kikubwa sana ukilinganisha na kabla ya vita. Ukweli ni kuwa nchi hizi za ulaya haziwezi ku survive bila ya gesi na mafuta ya kutoka Russia. Zaidi ya asilimia 40% ya gesi inayotumika majumbani kwao na kwenye viwanda vyao inatoka Russia na hawana sehemu nyingine ya kuipata.
Nchi kama Ujerumani inategemea kwa asilimia 100% mahitaji yake ya gesi na mafuta toka Russia. Na kwa sababu ya kelele zao Russia imewalazimisha kununua gesi na mafuta hayo kwa pesa ya urusi inayoitwa rubles.
Hawana ujanja, wanayanunua kwa rubles kimya kimya. Bila gesi toka Russia wananchi wao watakufa nyakati za winter kwa kukosa household heating system majumbani kwao. Russia ikiamua kulifunga hilo bomba lake linalopeleka gesi na mafuta huko nchi za ulaya, viwanda vingi vya ulaya vitashindwa kufanya kazi na wananchi wao watakufa kwa baridi kwa household heating systems zao kuzimika.
Huo ndiyo ukweli. Ni jambo la muhimu na sisi tukafanya hivyo. Na tunaipongeza serikali yetu ku abstain kwenye kura huko UN security Council kama.ambavyo China na India walivyofanya kwa manufaa haya ya taifa letu.
Sasa kuna faida gani ya sisi ku abstain kwenye votes hizo? Wizara ya nishati haiwezi kukwepa kuwajibika na hali hii.
Kabla ya vita hii, India ilikuwa inanunua asilimia 2 hadi 5% tu ya mahitaji yake ya mafuta haya kutoka Russia sawa na ambavyo USA ilivyokuwa inafanya. Asilimia kubwa iliyobaki walikuwa wanayanunua toka Saudi Arabia, Arab Emirates na Nigeria. Yale ya Iran yalipigwa ban tangia mwaka 2011 na jumuiya ya kimataifa inayoongozwa na USA.
Baada ya vita, kuanzia mwezi March mwaka huu mafuta yote ambayo India inanunua kutoka nje yanatoka Russia kwani bei yake ni zaidi ya nusu ya yale yanayotoka nchi zingine ambazo zimepandisha maradufu bei zake kwa kisingizio cha vita.
China ni wajanja zaidi. Wao wanachojali ni wapi watapata bei nafuu, hayo mengine ya kisiasa si ya muhimu hata kidogo.
Hivyo baada ya ban ya kimataifa kwa mafuta ya kutoka Iran tangia mwaka 2011 iliyopelekea mafuta ya Iran kuporomoka bei, waliendelea kuyanunua kimya kimya. China ndiyo mteja mkubwa wa mafuta ya Russia hata kabla ya vita hii. Mwaka 2021 China ilikuwa inanunua mapipa million 1.72 kwa siku. Baada ya vita mafuta yake yote inayanunua toka Russia, tena wazi wazi despite kubembelezwa na USA isifanye hivyo.
Pamoja na kelele za kisiasa zinazopigwa na nchi za Ulaya kupiga ban ununuzi wa gesi na mafuta ya Russia, ukweli ni kuwa nchi hizi zinaendelea kuyanunua kutoka Russia kwa kiwango kikubwa sana ukilinganisha na kabla ya vita. Ukweli ni kuwa nchi hizi za ulaya haziwezi ku survive bila ya gesi na mafuta ya kutoka Russia. Zaidi ya asilimia 40% ya gesi inayotumika majumbani kwao na kwenye viwanda vyao inatoka Russia na hawana sehemu nyingine ya kuipata.
Nchi kama Ujerumani inategemea kwa asilimia 100% mahitaji yake ya gesi na mafuta toka Russia. Na kwa sababu ya kelele zao Russia imewalazimisha kununua gesi na mafuta hayo kwa pesa ya urusi inayoitwa rubles.
Hawana ujanja, wanayanunua kwa rubles kimya kimya. Bila gesi toka Russia wananchi wao watakufa nyakati za winter kwa kukosa household heating system majumbani kwao. Russia ikiamua kulifunga hilo bomba lake linalopeleka gesi na mafuta huko nchi za ulaya, viwanda vingi vya ulaya vitashindwa kufanya kazi na wananchi wao watakufa kwa baridi kwa household heating systems zao kuzimika.
Huo ndiyo ukweli. Ni jambo la muhimu na sisi tukafanya hivyo. Na tunaipongeza serikali yetu ku abstain kwenye kura huko UN security Council kama.ambavyo China na India walivyofanya kwa manufaa haya ya taifa letu.
Sasa kuna faida gani ya sisi ku abstain kwenye votes hizo? Wizara ya nishati haiwezi kukwepa kuwajibika na hali hii.
Russian Oil Continues To Flow To India And China | OilPrice.com
Despite U.S. requests to buy less Russian crude, Asian refiners continue to purchase Russian Far-East crude grades
oilprice.com