Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,914
- 15,529
TANESCO (Russia) ya nchi kadhaa za Umoja wa Ulaya yaendelea kuzichachafya nchi za EU zilizozoea kupewa umeme wa dezoo.
Safari hii TANESCO hiyo ya nchi kadhaa za EU imeamua kuikatia umeme Lithuania kutokana na linchi hilo kushindwa kulipia gharama za huduma ya umeme...
Acha upepo uendelee kuvuma kwa nguvu, tuzione nyeti za kuku zilivyo 😂😂😇😇
Safari hii TANESCO hiyo ya nchi kadhaa za EU imeamua kuikatia umeme Lithuania kutokana na linchi hilo kushindwa kulipia gharama za huduma ya umeme...
Acha upepo uendelee kuvuma kwa nguvu, tuzione nyeti za kuku zilivyo 😂😂😇😇