Rushwa ya ngono kwenye ndoa na mahusiano....!!

Rushwa ya ngono kwenye ndoa na mahusiano....!!

Hahahaha sikati, mweeehhh nitoe kitu muhimu kama hiki jaman, si nitakuwa namkosea muumbaji wangu?

Hapo sasa, na mimi ndio maana nilishangaa, kulikoni hadi utake kukufuru uumbaji wa Mungu, na kumbuka hiyo sehemu ndio inakufanya ujiite/uitwe Mrembo by Nature, ukiitoa lazima utafute na jina la kujiita, aidha pia na umhimu hiyo sehemu umepewa kuitunza na kuihudumia kwa ajili ya mtu mwingine kuja kuitumia kwa ajili ya kutimiliza utukufu wa Mungu, hivyo basi wewe kama mwangalizi mkuu inkubidi kuihudumia na kuitunza vizuri.
 
Last edited by a moderator:
Badala ya kuomba radhi unacheka wewe amu?

Shauri yako...usipokuwa mwangalifu nitatoa ruhusa kama aliyotoa Pinda,

Babu DC!!

Hahahahaaaaaaaaa,haya mengine majanga,ban zitakuwa plus plus
 
Last edited by a moderator:
Hapo sasa, na mimi ndio maana nilishangaa, kulikoni hadi utake kukufuru uumbaji wa Mungu, na kumbuka hiyo sehemu ndio inakufanya ujiite/uitwe Mrembo by Nature, ukiitoa lazima utafute na jina la kujiita, aidha pia na umhimu hiyo sehemu umepewa kuitunza na kuihudumia kwa ajili ya mtu mwingine kuja kuitumia kwa ajili ya kutimiliza utukufu wa Mungu, hivyo basi wewe kama mwangalizi mkuu inkubidi kuihudumia na kuitunza vizuri.

Stewardship sio?? Ila naitunza kwa ajili yangu mwenyewe na Mungu wangu, ila si kwa z=sababu ya atakaekuja itumia
 
ipo kabisa hasa uoe mtoto wa kitanga au wa kizaramo

Mimi naishi Makorora Tanga na majirani zangu ni wadigo original. Mbona sijawahi kusikia haya mambo?
 
Stewardship sio?? Ila naitunza kwa ajili yangu mwenyewe na Mungu wangu, ila si kwa z=sababu ya atakaekuja itumia

Sikubaliana na wewe mdogo wangu?

Umuhimu wa products kwa shop keeper siyo mkubwa kivile kama ilivyo kwa consumers!
 
Sikubaliana na wewe mdogo wangu?

Umuhimu wa products kwa shop keeper siyo mkubwa kivile kama ilivyo kwa consumers!

Ninakubali Ina umuhimu sana kwa mtumiaji, ila regardless ya huo umuhimu mimi nakitunza tu kwa kuwa kiko mwilini mwangu na so lazima kiwe na hal nzuri ila si kwasababu kitakuja tumiwa na mtu mwingine
 
Stewardship sio?? Ila naitunza kwa ajili yangu mwenyewe na Mungu wangu, ila si kwa z=sababu ya atakaekuja itumia

Unaweza ukawa uko sahihi kwa hayo maneno yako, lakini hiyo inategemea zaidi na wito wako aliokupangia Mungu wako hapa duniani.

Ila kama una wito tofauti hakika unachosema na kufikiri chaweza kuwa sio sahihi, lazima uongeze mtu mwingine kwa umhimu zaidi yako wewe, naye ana kitu ambacho hana mamlaka nacho zaidi,ila wewe utakuwa na hayo mamlaka.

Hayo sio maneno yangu binafsi Mrembo by Nature ni maneno toka vitabu vitakatifu nya Mungu ambaye hakika nawe umemtaja vema na kumtukuza katika andiko lako hapo juu.
 
Last edited by a moderator:
Stewardship sio?? Ila naitunza kwa ajili yangu mwenyewe na Mungu wangu, ila si kwa z=sababu ya atakaekuja itumia

Unaweza ukawa uko sahihi kwa hayo maneno yako, lakini hiyo inategemea zaidi na wito wako aliokupangia Mungu wako hapa duniani.

Ila kama una wito tofauti hakika unachosema na kufikiri chaweza kuwa sio sahihi, lazima uongeze mtu mwingine kwa umhimu zaidi yako wewe, naye ana kitu ambacho hana mamlaka nacho zaidi,ila wewe utakuwa na hayo mamlaka.

Hayo sio maneno yangu binafsi Mrembo by Nature ni maneno toka vitabu vitakatifu nya Mungu ambaye hakika nawe umemtaja vema na kumtukuza katika andiko lako hapo juu.
 
Unaweza ukawa uko sahihi kwa hayo maneno yako, lakini hiyo inategemea zaidi na wito wako aliokupangia Mungu wako hapa duniani.

Ila kama una wito tofauti hakika unachosema na kufikiri chaweza kuwa sio sahihi, lazima uongeze mtu mwingine kwa umhimu zaidi yako wewe, naye ana kitu ambacho hana mamlaka nacho zaidi,ila wewe utakuwa na hayo mamlaka.

Hayo sio maneno yangu binafsi Mrembo by Nature ni maneno toka vitabu vitakatifu nya Mungu ambaye hakika nawe umemtaja vema na kumtukuza katika andiko lako hapo juu.


Hahaha, mfano nyumbani kwako una chumba cha wageni, hiki chumba kinasafishwa ppamoja na vyumba viingine hata kama una miaka miwili hujapata mgeni. Kinasafishwa kwa sababu ni sehemu ya nyumba yako lakini hapasafishwi kwasababu ni kwa wageni. Akitokea mgeni sawa, asipotokea pia sawa hata kama miaka 10 ila patasafishwa tu. Kwa mfano huu umenisoma.
 
Mkuu Dark City, lisemwalo lipo, ila binafsi nilichokuwa najua kwenye ndoa wapo wanawake ambao huwapa rushwa ya mapenzi waume zao pindi wanapotaka watekelezewe jambo fulani, hapa ninachomaanisha ni kwamba pindi mwanamke anapokuwa na shida yake iwe binafsi ama ya familia yake, huipenyeza kunako mapenzi, na hiyo siku kawaida huwa na moyo wa kujituma kweli kuliko kawaida, na hatimae wengi wao hufanikisha malengo yao, nadhani wanaume wenzangu hapa mlikwisha liona hilo.

Sasa hili la kugomeana kupeana unyumba hadi malipo ama kutelezeana vitu fulani fulani, mmhh, hakika kwa kufanya hivyo unamkosea hata Mungu wako, maana kumbuka katika lile tendo mnatimiza mapenzi na wito aliowaitia Mungu hapa duniani na ndio maana anatuasa tusinyimane, labda kama tumekubaliana kukaa kwa muda na hapo pia ni kwa ajili ya kusali na anatuonya ya kwamba tusikae sana, bali turudiane mapema.

Kuhusu vituko makazini na kwingineko, siwezi sema kitu.
 
Last edited by a moderator:
Ninakubali Ina umuhimu sana kwa mtumiaji, ila regardless ya huo umuhimu mimi nakitunza tu kwa kuwa kiko mwilini mwangu na so lazima kiwe na hal nzuri ila si kwasababu kitakuja tumiwa na mtu mwingine

Ulishisikia movie ikaitwa movie bila watazamaji?

Hata hivyo haina maana kwamba watengezaji hawana faida nayo!
 
Mkuu Dark City, lisemwalo lipo, ila binafsi nilichokuwa najua kwenye ndoa wapo wanawake ambao huwapa rushwa ya mapenzi waume zao pindi wanapotaka watekelezewe jambo fulani, hapa ninachomaanisha ni kwamba pindi mwanamke anapokuwa na shida yake iwe binafsi ama ya familia yake, huipenyeza kunako mapenzi, na hiyo siku kawaida huwa na moyo wa kujituma kweli kuliko kawaida, na hatimae wengi wao hufanikisha malengo yao, nadhani wanaume wenzangu hapa mlikwisha liona hilo.

Sasa hili la kugomeana kupeana unyumba hadi malipo ama kutelezeana vitu fulani fulani, mmhh, hakika kwa kufanya hivyo unamkosea hata Mungu wako, maana kumbuka katika lile tendo mnatimiza mapenzi na wito aliowaitia Mungu hapa duniani na ndio maana anatuasa tusinyimane, labda kama tumekubaliana kukaa kwa muda na hapo pia ni kwa ajili ya kusali na anatuonya ya kwamba tusikae sana, bali turudiane mapema.

Kuhusu vituko makazini na kwingineko, siwezi sema kitu.

Case ya kwanza hapo juu ni natural instincts tu za binadamu. Ndiyo maana wahenga wanasema kuwa ukitaka kula kitu cha mtoto, basi mfurahishe mama yake kwanza!
 
Back
Top Bottom