Rushwa ya ngono kwenye ndoa na mahusiano....!!

Rushwa ya ngono kwenye ndoa na mahusiano....!!

Hi umeipata wapi mdogo wangu MwanajamiiOne??

Naamini siyo quote kutoka kwenye FGD..lol

Ila bado bwana....mie siamini kama naweza kutoa dau tena kwa mke wangu mwenyewe....

Hapana bwana!

Babu DC!!
Hahahha kweli kaka we nakwambia kuta nne zinaficha mengi aisee............we na tu mbaba anatoka na tai yake ndefu ka ulimi wa kenge, ndani kwafukuta ati...Umenikumbusha ile movie ya Why did I get married...... yule mke wa Tyler Perry ile siku ya kwanza kule vacation, mumewe anam'chokoza' yeye anamwambia yaani siamili, rafiki yangu Shillah yuko nje mumewe kamlazimisha kudrive na baridi hii afu wewe unajaribu kuni'omba'.... hahaha. Ni sawa na kusema yaani mama flani (jirani) anaumwa, we unataka kufanya mapenzi!!
 
Nishawahi kuiona habari kama hii hapa jamvini nadhani iliwekwa na lara 1, kulikuwa na haya mambo ya kulipishana lakini mwanamke alikuwa akifanya hivyo kama njia ya kumkomoa mumewe baada ya kugundua mumewe anatumia pesa wanayochuma kuhonga mahawara...baada ya mke kugundua hilo naye akaanza kumkomoa mumewe kwa kumtoza hongo kila wakati wa mahitaji ya huduma za kindoa...

Katika mazingira kama hayo, walau tunaweza kuelewa....

Hapa tunachoshangaa wenzio, kama alivyosema mura Mwita Maranya, ni issue ya kuombwa mkwanja na wife wako ambaye hujamfanyizia kwa lolote...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Jamani mbona unafanya maamuzi magumu namna hiyo, kutoamini kwake tu ndio hadi utishie kujidhuru, usifanye hivyo Mrembo by Nature, utakufuru uumbaji wa Mungu wako. Kama hataki kuamini achani naye, hiyo sio biashara yako tena.

Hahahaha sikati, mweeehhh nitoe kitu muhimu kama hiki jaman, si nitakuwa namkosea muumbaji wangu?
 
Hahahha kweli kaka we nakwambia kuta nne zinaficha mengi aisee............we na tu mbaba anatoka na tai yake ndefu ka ulimi wa kenge, ndani kwafukuta ati...Umenikumbusha ile movie ya Why did I get married...... yule mke wa Tyler Perry ile siku ya kwanza kule vacation, mumewe anam'chokoza' yeye anamwambia yaani siamili, rafiki yangu Shillah yuko nje mumewe kamlazimisha kudrive na baridi hii afu wewe unajaribu kuni'omba'.... hahaha. Ni sawa na kusema yaani mama flani (jirani) anaumwa, we unataka kufanya mapenzi!!

Hao walikuwa na matatizo yao bwana...

Mie nashindwa kuelewa pale ambapo watu wako kwenye hali ya kawaida kabisa...na mmoja anadai malipo....

Nahisi kama kuna thesis ya kuchangamkia hapa...

Unaonaje wewe?

Babu DC!!
 
Katika mazingira kama hayo, walau tunaweza kuelewa....

Hapa tunachoshangaa wenzio, kama alivyosema mura Mwita Maranya, ni issue ya kuombwa mkwanja na wife wako ambaye hujamfanyizia kwa lolote...

Babu DC!!

Hahahha Babu nawe bwana ah..... unanchosha sasa. Hivi kutokufanyia chochote ndio kufanyaje au kuna exclude nini? Sawa hujanikosea kwa maana ya kucheat au kunikera. But mfano ndo mie mama Havijawa, nyumba ya pili shogangu anamcheza ngoma mwanae Sheta, anakata sare. Mie mwanajamii, nashiriki kila shughuli mtaani (Isitoshwe mwanetu Havijawa karibia anavunja ungo na ataolewa soon) nakuomba mume wangu naomba hela nkakate sare, unaninyima kwa sababu tu kuwa wewe mambo ya mtaani huyapendelei (wewe unafikiria ni ya mtaani tu ila mie ni kama nainvest, ili name ikifika kwa mwanangu mama Sheta nae aniunge mkobno kwa kukata sare). Sasa sawa ntakuelewa, na sitakunyima ila ntakupa pungufu ya kiwango........cheza ukimaliza funika geukia upande wa pili. Sasa wewe ulishazoea Mama Havijawa mie ikifika muda huo ah mwanakwetu mizungu yote itajua kuwa binti yao anatekeleza jukumu lake sawasawa. Sasa nicheze chini ya kiwango kwa mechi mbili, tatu........hutoachia pesa za sare weye? huku ukisema mke Wangu kata kabisa na ya yule mwanae mwenye miaka 6 ili ikifika zamu yake uwe nayo?
 
Hahahha kweli kaka we nakwambia kuta nne zinaficha mengi aisee............we na tu mbaba anatoka na tai yake ndefu ka ulimi wa kenge, ndani kwafukuta ati...Umenikumbusha ile movie ya Why did I get married...... yule mke wa Tyler Perry ile siku ya kwanza kule vacation, mumewe anam'chokoza' yeye anamwambia yaani siamili, rafiki yangu Shillah yuko nje mumewe kamlazimisha kudrive na baridi hii afu wewe unajaribu kuni'omba'.... hahaha. Ni sawa na kusema yaani mama flani (jirani) anaumwa, we unataka kufanya mapenzi!!

Ni kweli nakubaliana na wewe MwanajamiiOne kwamba kuta za nyumba zinaficha mambo mengi. Lakini hebu nisaidie kufahamu vizuri hili suala, unaanzaje kumdai mumeo dau kabla hujampa papuchi katika normal circumstance?
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli nakubaliana na wewe MwanajamiiOne kwamba kuta za nyumba zinaficha mambo mengi. Lakini hebu nisaidie kufahamu vizuri hili suala, unaanzaje kumdai mumeo dau kabla hujampa papuchi katika normal circumstance?

Hivi Binamu@Mwita Maranya, unadhani kukunyima ni mpaka niseme staki? ...............ukirudi weye nyumbani utankuta mie nimejifunika blanketi hoi bin taaban siku ya kwanza, ya pili nimechoka, ya tatu nachelewa kuja kitandani, nikona umenikamiia sana nauza mechi..................... usichezee power ya hii section aisee
 
Hahahha Babu nawe bwana ah..... unanchosha sasa. Hivi kutokufanyia chochote ndio kufanyaje au kuna exclude nini? Sawa hujanikosea kwa maana ya kucheat au kunikera. But mfano ndo mie mama Havijawa, nyumba ya pili shogangu anamcheza ngoma mwanae Sheta, anakata sare. Mie mwanajamii, nashiriki kila shughuli mtaani (Isitoshwe mwanetu Havijawa karibia anavunja ungo na ataolewa soon) nakuomba mume wangu naomba hela nkakate sare, unaninyima kwa sababu tu kuwa wewe mambo ya mtaani huyapendelei (wewe unafikiria ni ya mtaani tu ila mie ni kama nainvest, ili name ikifika kwa mwanangu mama Sheta nae aniunge mkobno kwa kukata sare). Sasa sawa ntakuelewa, na sitakunyima ila ntakupa pungufu ya kiwango........cheza ukimaliza funika geukia upande wa pili. Sasa wewe ulishazoea Mama Havijawa mie ikifika muda huo ah mwanakwetu mizungu yote itajua kuwa binti yao anatekeleza jukumu lake sawasawa. Sasa nicheze chini ya kiwango kwa mechi mbili, tatu........hutoachia pesa za sare weye? huku ukisema mke Wangu kata kabisa na ya yule mwanae mwenye miaka 6 ili ikifika zamu yake uwe nayo?

off topic; MwanajamiiOne kwani wewe ni mtu wa pwani? zaramo, dengereko and the likes!
 
Last edited by a moderator:
Hivi Binamu@Mwita Maranya, unadhani kukunyima ni mpaka niseme staki? ...............ukirudi weye nyumbani utankuta mie nimejifunika blanketi hoi bin taaban siku ya kwanza, ya pili nimechoka, ya tatu nachelewa kuja kitandani, nikona umenikamiia sana nauza mechi..................... usichezee power ya hii section aisee

Nachoataka kuamini ni kwamba hadi unaamua kumuuzia mechi mumeo lazima kutakuwa na kitu ama sababu ya msingi sana na hususan mumeo atakuwa amekukorofisha mahali sasa unafanya hivyo kama revenge.

Bado mimi sijaelewa kabisa kwamba under normal circumstance mke wangu anaanzaje kuniuzia mechi.
 
off topic; MwanajamiiOne kwani wewe ni mtu wa pwani? zaramo, dengereko and the likes!
Binamu Mwita Maranya mie ninamjibu babu yangu hapa anayeshangaa, namwonyesha kuwa just because kwake (na class yake) hayaoni yakitokea, basi ajue kuwa yanatokea.......... Mie ni mwanajamii, na ninaongea kutoka kwenye angle ya jamii ambayo inaangalia jamii zote........
 
Last edited by a moderator:
Binamu Mwita Maranya mie ninamjibu babu yangu hapa anayeshangaa, namwonyesha kuwa just because kwake (na class yake) hayaoni yakitokea, basi ajue kuwa yanatokea.......... Mie ni mwanajamii, na ninaongea kutoka kwenye angle ya jamii ambayo inaangalia jamii zote........

Nimekupata vizuri. Lakini unajua kuwa mila na tamaduni nazo zinachangia sana katika baadhi ya mambo tunayoyaona ya ajabu kama hili la mke kumuuzia mume wake papuchi.

Sasa kwa sisi wengine kitu kama hicho kinakuwa kigeni sana kwetu kwakuwa hatujawahi kukutana nacho. Ingawa kwa uzoefu wa kuzurura hapa na pale ndipo tunakuja kugundua kuwa hilo ni jambo la kawaida kwa baadhi ya jamii za hapa kwetu.
 
Last edited by a moderator:
Hahahha Babu nawe bwana ah..... unanchosha sasa. Hivi kutokufanyia chochote ndio kufanyaje au kuna exclude nini? Sawa hujanikosea kwa maana ya kucheat au kunikera. But mfano ndo mie mama Havijawa, nyumba ya pili shogangu anamcheza ngoma mwanae Sheta, anakata sare. Mie mwanajamii, nashiriki kila shughuli mtaani (Isitoshwe mwanetu Havijawa karibia anavunja ungo na ataolewa soon) nakuomba mume wangu naomba hela nkakate sare, unaninyima kwa sababu tu kuwa wewe mambo ya mtaani huyapendelei (wewe unafikiria ni ya mtaani tu ila mie ni kama nainvest, ili name ikifika kwa mwanangu mama Sheta nae aniunge mkobno kwa kukata sare). Sasa sawa ntakuelewa, na sitakunyima ila ntakupa pungufu ya kiwango........cheza ukimaliza funika geukia upande wa pili. Sasa wewe ulishazoea Mama Havijawa mie ikifika muda huo ah mwanakwetu mizungu yote itajua kuwa binti yao anatekeleza jukumu lake sawasawa. Sasa nicheze chini ya kiwango kwa mechi mbili, tatu........hutoachia pesa za sare weye? huku ukisema mke Wangu kata kabisa na ya yule mwanae mwenye miaka 6 ili ikifika zamu yake uwe nayo?

Hapa sasa naona umeongea yale mambo ya kule kwenye mafunzo ya kukabiliana na utu uzima...

Katika hili bado tuko mbali kidogo na context ya kudaiana malipo..

Kwenye mahusiano, siyo vizuri kumfanya mwenzio aonekane hamnazo...kama mfano ambao umetoa kwa baba Havijawa..

Hata kama hapendi sherehe na mambo kama hayo, kwa kuwa wewe unapenda na haimkwazi, ni vizuri kukupa pesa ili mambo mengine yaendelee kwa gia zile zile. Vinginevyo unapomnyanyapaa mwenzio unapunguza performance yake...

Kwa hiyo Mama Havijawa yuko right..

Tatizo langu ni pale mnapotakiwa kubargain hadi kiasi tena kinachoongezeka kutegemeana na quantity au quality ya huduma...

Babu DC!1
 
Nachoataka kuamini ni kwamba hadi unaamua kumuuzia mechi mumeo lazima kutakuwa na kitu ama sababu ya msingi sana na hususan mumeo atakuwa amekukorofisha mahali sasa unafanya hivyo kama revenge.

Bado mimi sijaelewa kabisa kwamba under normal circumstance mke wangu anaanzaje kuniuzia mechi.
Hahah haya Binamu Mwita Maranya......... tatizo wewe unasubiri uambiwe neon sasa nakuuzia, bila kiasi kadhaa sikupi.........wanawake are very smart on that.............tulishajua kuwa ukimshurtisha mwanaume akupe kitu flani huwa ni kama unashusha ego yake (mwanaume hashurtishwi) so we just use what we have to get what we want ...wisely usigundue kuwa mie ninataka kile ulichoninyima. Babu Dark City ameelezea sehemu ya tatu ya ulevi wa majina mtamu, romance za uwongo na petipeti za kufa mtu............. hii ninaichukulia kuwa iko more applicable kwa nymba ndogos na mahawara.........mke mpaka akuite sweetie kwa sauti ya kubana ujue ni kwa sababu umemfurahisha kitu na kamwe si kwa kuwa anataka umfanyie kitu. (Mke akiwa anataka kitu habembelezi yeye anadai ndani ya sauti ya upole kwa sababu anajua kupata hicho kitu ni haki yake.
 
Last edited by a moderator:
Babu,

Hiyo namba moja sikubaliani nayo aisee

Mwanaume anayejua wajibu wake wala hutohangaika kumwomba, atakupa bajeti yako ya pamba na mke atajua jinsi y kujibana..... Unless awe mwanaume asiyejua kutunza mke
 
Hapa sasa naona umeongea yale mambo ya kule kwenye mafunzo ya kukabiliana na utu uzima...

Katika hili bado tuko mbali kidogo na context ya kudaiana malipo..

Kwenye mahusiano, siyo vizuri kumfanya mwenzio aonekane hamnazo...kama mfano ambao umetoa kwa baba Havijawa..

Hata kama hapendi sherehe na mambo kama hayo, kwa kuwa wewe unapenda na haimkwazi, ni vizuri kukupa pesa ili mambo mengine yaendelee kwa gia zile zile. Vinginevyo unapomnyanyapaa mwenzio unapunguza performance yake...

Kwa hiyo Mama Havijawa yuko right..

Tatizo langu ni pale mnapotakiwa kubargain hadi kiasi tena kinachoongezeka kutegemeana na quantity au quality ya huduma...

Babu DC!1

Ohoooooo..................hapo kwenye kudaiana na nyongeza hapo sijapafanyia utafiti Babu, ngoja nimfanyie huyu mwanao nione reaction yake kasha ntarudi.,..... si unajua mjukuu wako kitchen pati ilipita pembeni !!
 
Ni kweli nakubaliana na wewe MwanajamiiOne kwamba kuta za nyumba zinaficha mambo mengi. Lakini hebu nisaidie kufahamu vizuri hili suala, unaanzaje kumdai mumeo dau kabla hujampa papuchi katika normal circumstance?

Hata mimi mbado kabisa kuelewa hili somo....hata kama mvi ziko hadi kwenye vinyweleo vya kila mahali....lol!!

Hivi Binamu@Mwita Maranya, unadhani kukunyima ni mpaka niseme staki? ...............ukirudi weye nyumbani utankuta mie nimejifunika blanketi hoi bin taaban siku ya kwanza, ya pili nimechoka, ya tatu nachelewa kuja kitandani, nikona umenikamiia sana nauza mechi..................... usichezee power ya hii section aisee

Hapa bado bwana...

Hii ni hali ya kawaida sana kwa mwanamke ambaye ana donge lake rohoni....

Na tunawajua sana...mtu mwenye shida na uzoefu atayamaliza na kupiga sakramenti kama kawa!!

Nachoataka kuamini ni kwamba hadi unaamua kumuuzia mechi mumeo lazima kutakuwa na kitu ama sababu ya msingi sana na hususan mumeo atakuwa amekukorofisha mahali sasa unafanya hivyo kama revenge.

Bado mimi sijaelewa kabisa kwamba under normal circumstance mke wangu anaanzaje kuniuzia mechi.

Tuko pamoja kamanda...

Binamu Mwita Maranya mie ninamjibu babu yangu hapa anayeshangaa, namwonyesha kuwa just because kwake (na class yake) hayaoni yakitokea, basi ajue kuwa yanatokea.......... Mie ni mwanajamii, na ninaongea kutoka kwenye angle ya jamii ambayo inaangalia jamii zote........

Hii ilikuwa off topic kweli MJ1...

Ila bado hujatueleza, huko kwenye jamii wanaanzaje kubargain??

Babu DC!1
 
Hata mimi mbado kabisa kuelewa hili somo....hata kama mvi ziko hadi kwenye vinyweleo vya kila mahali....lol!!



Hapa bado bwana...

Hii ni hali ya kawaida sana kwa mwanamke ambaye ana donge lake rohoni....

Na tunawajua sana...mtu mwenye shida na uzoefu atayamaliza na kupiga sakramenti kama kawa!!



Tuko pamoja kamanda...



Hii ilikuwa off topic kweli MJ1...

Ila bado hujatueleza, huko kwenye jamii wanaanzaje kubargain??

Babu DC!1
.....................Kubagain? hahha asa kama khanga za Mama Sheta ni 30,000 we umenipa 10,000 unategemea bado nitatoa gemu kwa moyo mkunjufu?.................hahah nyie watu mistake kunifanya nionekane mkorofi......wengine huenda to the extreme, unapewa game ya kufa mtu, kama ni kiuno unapandishwa hadi usawa wa dirisha kasha mwenyewe inakutoka............mke wangu sema chochote, ntakufanyia.......hapo hata ukimwambia akuletee ndege ya Obama ataitikia tu..............sembuse doti moja ya khanga za Urafiki?!Na bahati mbaya kwa kuwa wanaume huwa mwaogopa kuonekana waongo, nkikwambia aksante mume wangu nlijua tu utanipa nkakate hiyo sare basi utaendatafuta hiyo pesa na utanipa. Eh hebu nkalale mie na baridi hili la Arusha natafuta nini JF saa hizi?
 
Back
Top Bottom