Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,652
- Thread starter
- #81
Babu Dark City tuanzie hapo, huyo mama Terry alipokuwa anasimulia hayo alisema kuwa hizo Couple hukaa mezani na kujadili au kubargain bei? Kama ni ndio basi mie ninaomba kusimamisha shlingi na kusema kuwa mwanamke awaye yote anayepangia bei papuchi yake kwa mumewe amepewa fursa hiyo (Kwa maanakuwa mume ana matatizo/amewekwa kiganjani) na hajui haki yake kama mume (Kuna wale wanaume ambao chochote atakachosema mke ni ndio, madame amesema, wife anataka e.t.c........na sio mwanaume anayejua haki zake kama mume................ yaani mie MwanajamiiOne nina mume anipendaye, anifikishaye, anikunaye nikaridhika, anitoshelezaye....nahitaji kitu kwake kisha nitingishe kiberiti??(Unless najua kuwa ananipenda kufa kila nisemacho kwake ni katiba ya Muungani na yeye ni Muumini wa Commission of Committed Married men (CCMm) atakifuata ndio ntakuwa na jeuri ya kumtishia usalama wa haki zake.
Ndiyo maana nikashangaa mdogo wangu...
Mama Terry alikuwa na mgeni wake kutoka MUHAS...daktari mmoja wa kike ambaye ni mwongeaji mzuri sana!
Ndiye amesema kuwa rushwa ya ngono ipo hadi kwenye ndoa. Kwamba inafikia mahali bei inapigwa na wanakubaliana hata package...
Ndiyo maana nikabaki kujiuliza kama anaongelea dunia ninayoijua mie au ni nyingine??
Babu DC!!