Rushwa ya ngono kwenye ndoa na mahusiano....!!

Rushwa ya ngono kwenye ndoa na mahusiano....!!

Babu,

Hiyo namba moja sikubaliani nayo aisee

Mwanaume anayejua wajibu wake wala hutohangaika kumwomba, atakupa bajeti yako ya pamba na mke atajua jinsi y kujibana..... Unless awe mwanaume asiyejua kutunza mke

Hapa siongezi neno...

Ngoja niisogeze mezani kwa mhusika...

cc: Asprin,

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
.....................Kubagain? hahha asa kama khanga za Mama Sheta ni 30,000 we umenipa 10,000 unategemea bado nitatoa gemu kwa moyo mkunjufu?.................hahah nyie watu mistake kunifanya nionekane mkorofi......wengine huenda to the extreme, unapewa game ya kufa mtu, kama ni kiuno unapandishwa hadi usawa wa dirisha kasha mwenyewe inakutoka............mke wangu sema chochote, ntakufanyia.......hapo hata ukimwambia akuletee ndege ya Obama ataitikia tu..............sembuse doti moja ya khanga za Urafiki?!Na bahati mbaya kwa kuwa wanaume huwa mwaogopa kuonekana waongo, nkikwambia aksante mume wangu nlijua tu utanipa nkakate hiyo sare basi utaendatafuta hiyo pesa na utanipa. Eh hebu nkalale mie na baridi hili la Arusha natafuta nini JF saa hizi?

Haya bwana MJ1,

Nakushukuru sana kwa mchango wako...

Naamini watakuja akina Nyamayao watuongezee uzoefu...

Hakikisheni hamtufanyi tukagundua kuwa tumekuwa ndani ya tanuru hadi tunastaafu...

Si unajua uchungu wa kugundua uzeeni kwamba umelea watoto wa mwenzio...haina tofauti na hili..lol!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Hebu mweleweshe basi mkuu..

Ila kweli mzabzab, ni kweli kwamba hata my wife wako anakuwekea price tag??

Mie bado kuamini bwana....

Babu DC!!

mie sina my wife ila najua siku nitakapokuwa nae basi hayo ya pricetag yakuwepo tuu
 
Last edited by a moderator:
Haya bwana MJ1,

Nakushukuru sana kwa mchango wako...

Naamini watakuja akina Nyamayao watuongezee uzoefu...

Hakikisheni hamtufanyi tukagundua kuwa tumekuwa ndani ya tanuru hadi tunastaafu...

Si unajua uchungu wa kugundua uzeeni kwamba umelea watoto wa mwenzio...haina tofauti na hili..lol!!

Babu DC!!
Babu, believe me, we are very smart on this.................. tatizo lenu huwa mnazidiss kitchen party kuwa hazina kitu!! Am telling you zina impact kubwa sana katika ndoa pale ambapo muhusika ataamua kuzifanyia kazi kikamilifu. Mie nilifundishwaga kuwa mumesio wa kubishana naye, kama kuna kitu unaona ni cha muhimu kwenye familia na mume haoni huo umuhimu (after all men are color blind!!) tumia techniques to get it bila kumconfront.............. (Ila sio kumdai, tax mpaka ashtuke) Mume wangu mwenetu Mgeni anatakiwa kwenda picknick na wenzake (Anadaiwa 50,000) utamaka 50,000 zote hizo za nini? sina bwana mpe hii 20,000/= Eh (na goti umepiga) mume wangu aksante sana, dah kwa kweli mume wangu unampenda mwaneti jamani aksante mpenzi na mmmmmnmwaaaa huku ukikipapasa kile kitambi......... ukifika kunako game, motto wa kike umeachia mkuno wa Nazi, anakolea katikati unasizi...............ikitoka ahhh vipi tena Mama Mgeni mbonaaa?.... unaachia ....samahani mpenzi (sauti ya pua ati) nisamehe yaani ghafla limepita wazo la ntapata wapi pa kuongezea ile hela ya Mgeni ndo mana network imekata dah..hata sijui ntafanyaje, na tuchozi twa mbali.........kama hujasikia usijali tuendelee kesho ntamtuma dereva ailete ilobaki. Mwe usiku mwema wajameni, mie nlikuwa natania tu. mkinionea aliyeiiba passwedi yangu mnijuze kwa PM
 
.....................Kubagain? hahha asa kama khanga za Mama Sheta ni 30,000 we umenipa 10,000 unategemea bado nitatoa gemu kwa moyo mkunjufu?.................hahah nyie watu mistake kunifanya nionekane mkorofi......wengine huenda to the extreme, unapewa game ya kufa mtu, kama ni kiuno unapandishwa hadi usawa wa dirisha kasha mwenyewe inakutoka............mke wangu sema chochote, ntakufanyia.......hapo hata ukimwambia akuletee ndege ya Obama ataitikia tu..............sembuse doti moja ya khanga za Urafiki?!Na bahati mbaya kwa kuwa wanaume huwa mwaogopa kuonekana waongo, nkikwambia aksante mume wangu nlijua tu utanipa nkakate hiyo sare basi utaendatafuta hiyo pesa na utanipa. Eh hebu nkalale mie na baridi hili la Arusha natafuta nini JF saa hizi?

We mjukuu.....................! Khaaaaa!

Babu yako nimelala ujue. 🙂
 
Babu, believe me, we are very smart on this.................. tatizo lenu huwa mnazidiss kitchen party kuwa hazina kitu!! Am telling you zina impact kubwa sana katika ndoa pale ambapo muhusika ataamua kuzifanyia kazi kikamilifu. Mie nilifundishwaga kuwa mumesio wa kubishana naye, kama kuna kitu unaona ni cha muhimu kwenye familia na mume haoni huo umuhimu (after all men are color blind!!) tumia techniques to get it bila kumconfront.............. (Ila sio kumdai, tax mpaka ashtuke) Mume wangu mwenetu Mgeni anatakiwa kwenda picknick na wenzake (Anadaiwa 50,000) utamaka 50,000 zote hizo za nini? sina bwana mpe hii 20,000/= Eh (na goti umepiga) mume wangu aksante sana, dah kwa kweli mume wangu unampenda mwaneti jamani aksante mpenzi na mmmmmnmwaaaa huku ukikipapasa kile kitambi......... ukifika kunako game, motto wa kike umeachia mkuno wa Nazi, anakolea katikati unasizi...............ikitoka ahhh vipi tena Mama Mgeni mbonaaa?.... unaachia ....samahani mpenzi (sauti ya pua ati) nisamehe yaani ghafla limepita wazo la ntapata wapi pa kuongezea ile hela ya Mgeni ndo mana network imekata dah..hata sijui ntafanyaje, na tuchozi twa mbali.........kama hujasikia usijali tuendelee kesho ntamtuma dereva ailete ilobaki. Mwe usiku mwema wajameni, mie nlikuwa natania tu. mkinionea aliyeiiba passwedi yangu mnijuze kwa PM
We mjukuu weweeee!

Hulali?

Khaaa!!
 
Babu, believe me, we are very smart on this.................. tatizo lenu huwa mnazidiss kitchen party kuwa hazina kitu!! Am telling you zina impact kubwa sana katika ndoa pale ambapo muhusika ataamua kuzifanyia kazi kikamilifu. Mie nilifundishwaga kuwa mumesio wa kubishana naye, kama kuna kitu unaona ni cha muhimu kwenye familia na mume haoni huo umuhimu (after all men are color blind!!) tumia techniques to get it bila kumconfront.............. (Ila sio kumdai, tax mpaka ashtuke) Mume wangu mwenetu Mgeni anatakiwa kwenda picknick na wenzake (Anadaiwa 50,000) utamaka 50,000 zote hizo za nini? sina bwana mpe hii 20,000/= Eh (na goti umepiga) mume wangu aksante sana, dah kwa kweli mume wangu unampenda mwaneti jamani aksante mpenzi na mmmmmnmwaaaa huku ukikipapasa kile kitambi......... ukifika kunako game, motto wa kike umeachia mkuno wa Nazi, anakolea katikati unasizi...............ikitoka ahhh vipi tena Mama Mgeni mbonaaa?.... unaachia ....samahani mpenzi (sauti ya pua ati) nisamehe yaani ghafla limepita wazo la ntapata wapi pa kuongezea ile hela ya Mgeni ndo mana network imekata dah..hata sijui ntafanyaje, na tuchozi twa mbali.........kama hujasikia usijali tuendelee kesho ntamtuma dereva ailete ilobaki. Mwe usiku mwema wajameni, mie nlikuwa natania tu. mkinionea aliyeiiba passwedi yangu mnijuze kwa PM

Ndiyo maana hili jukwaa lina wenyewe...wakiamua kulipaisha linapaa ndani madakika...lol!!

MJ1..unadhani hayo hatuyajui??

We were once children na tulikuzwa kujua kuwa mama aki-approve ombi lako ni kwamba linapita kwa 100%. Na pia tunajua kuwa men dislike incovinience...ndiyo maana wale wa mama mavuvuzela huwakera wanaume beyond repair...lol!!

Anyway, ...bado nasubiri story ya proper bargaining...kwamba mfano, full package ni laki moja na chini ya hapo unapunguziwa huduma.

Babu DC!!
 
Babu, believe me, we are very smart on this.................. tatizo lenu huwa mnazidiss kitchen party kuwa hazina kitu!! Am telling you zina impact kubwa sana katika ndoa pale ambapo muhusika ataamua kuzifanyia kazi kikamilifu. Mie nilifundishwaga kuwa mumesio wa kubishana naye, kama kuna kitu unaona ni cha muhimu kwenye familia na mume haoni huo umuhimu (after all men are color blind!!) tumia techniques to get it bila kumconfront.............. (Ila sio kumdai, tax mpaka ashtuke) Mume wangu mwenetu Mgeni anatakiwa kwenda picknick na wenzake (Anadaiwa 50,000) utamaka 50,000 zote hizo za nini? sina bwana mpe hii 20,000/= Eh (na goti umepiga) mume wangu aksante sana, dah kwa kweli mume wangu unampenda mwaneti jamani aksante mpenzi na mmmmmnmwaaaa huku ukikipapasa kile kitambi......... ukifika kunako game, motto wa kike umeachia mkuno wa Nazi, anakolea katikati unasizi...............ikitoka ahhh vipi tena Mama Mgeni mbonaaa?.... unaachia ....samahani mpenzi (sauti ya pua ati) nisamehe yaani ghafla limepita wazo la ntapata wapi pa kuongezea ile hela ya Mgeni ndo mana network imekata dah..hata sijui ntafanyaje, na tuchozi twa mbali.........kama hujasikia usijali tuendelee kesho ntamtuma dereva ailete ilobaki. Mwe usiku mwema wajameni, mie nlikuwa natania tu. mkinionea aliyeiiba passwedi yangu mnijuze kwa PM

Mmmmhhhhhhhhhh binamu MwanajamiiOne we ni mkareeeee... nitakutafuta!!🙂🙂🙂
 
Last edited by a moderator:
Mzee mwenzangu........ we acha tu.

acha niendelee kusoma tamthiliya.

Nashukuru kwa kunikumbuka.............

Duuuuuuuuhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh,

Mzee mwenzangu umemaliza wajibu wako au umejipa 5min break ili uje kujichukulia nondo za bure kutoka kwa MwanajamiiOne??

Kama ni hivyo, sitashangaa ukipandishiwa dau..lol!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Ndiyo maana hili jukwaa lina wenyewe...wakiamua kulipaisha linapaa ndani madakika...lol!!

MJ1..unadhani hayo hatuyajui??

We were once children na tulikuzwa kujua kuwa mama aki-approve ombi lako ni kwamba linapita kwa 100%. Na pia tunajua kuwa men dislike incovinience...ndiyo maana wale wa mama mavuvuzela huwakera wanaume beyond repair...lol!!

Anyway, ...bado nasubiri story ya proper bargaining...kwamba mfano, full package ni laki moja na chini ya hapo unapunguziwa huduma.

Babu DC!!

Nikuulize swali moja Babu Dark City ............. hivi huwa mnaambiwa kabisa kuwa....bila laki 1 hapa sikupi? kweli? Mfano mie MwanajamiiOne, ninataka laki 1, na nimeiomba kiustaarabu, nimenyimwa kwa sababu yeye hajaona mashiko yake...............so unategemea nimwambia.... Kwa taarifa yako bila kilo 1 hapa sikamui?? Jamani jamani hebu msitudhalilishe bwana........ tuna mbinu za kuipata hiyo laki 1 pasipo wewe mtoaji kujua kuwa unaitoa..........Hivi nyie mnashangaaga kuwa mwanaume anamnunulia nyumba ndogo Prado ilhali ye anayo Vits mnashangaa?
 
Last edited by a moderator:
Mmmmhhhhhhhhhh binamu MwanajamiiOne we ni mkareeeee... nitakutafuta!!🙂🙂🙂


Mbona na wewe unajitoa mapema hivyo??

Mimi bado nasubiri scenario ya kujadiliana bei ...yaani bei inapigwa hadi mnakubaliana na mnaanza kutekeleza. Mzee unaishia kwenye package uliyolipia...lol!!

Hili bwana sina hakika kama lipo katika dunia yetu ya 1947..lol!

Babu DC!!
 
Nikuulize swali moja Babu Dark City ............. hivi huwa mnaambiwa kabisa kuwa....bila laki 1 hapa sikupi? kweli? Mfano mie MwanajamiiOne, ninataka laki 1, na nimeiomba kiustaarabu, nimenyimwa kwa sababu yeye hajaona mashiko yake...............so unategemea nimwambia.... Kwa taarifa yako bila kilo 1 hapa sikamui?? Jamani jamani hebu msitudhalilishe bwana........ tuna mbinu za kuipata hiyo laki 1 pasipo wewe mtoaji kujua kuwa unaitoa..........Hivi nyie mnashangaaga kuwa mwanaume anamnunulia nyumba ndogo Prado ilhali ye anayo Vits mnashangaa?

Hayo nayakubali na yapo sana,

Ila ujue kuwa mwanamume naya anataka nafasi ya kukumiliki....kwani akishatoa vitara au house, anakuwa na hakika kwamba akikikuta ni kiserengeti boy anawachinjilia mbali...

Unakumbuka ile story ya Miss Tanzania ambaye yeye na ki- BF chake walienda kucheza mtondoo huko kwa Babu Seya??

Mie nataka kujua kama kuna watu wanakaa mezani na kupanga bei kabisa kabla ya business...!! Hiyo mifano mingine bado haijakaa kama biashara ya merchandize ambayo imenishangza...lol!!

Babu DC!!
 
huwa nashindwaga kukuelewa kwa kweli.
Back to topic iyo ipo sana tena usiombe umkere wife halafu ucku unataka mambo lazima utoe mlungura au uahidi.
Na wengine 0714 anaambiwa atoe dau apewe dozi.
Kuta za vumba zinasitiri mengi
Khaaaaa!!!!
 
Hayo nayakubali na yapo sana,

Ila ujue kuwa mwanamume naya anataka nafasi ya kukumiliki....kwani akishatoa vitara au house, anakuwa na hakika kwamba akikikuta ni kiserengeti boy anawachinjilia mbali...

Unakumbuka ile story ya Miss Tanzania ambaye yeye na ki- BF chake walienda kucheza mtondoo huko kwa Babu Seya??

Mie nataka kujua kama kuna watu wanakaa mezani na kupanga bei kabisa kabla ya business...!! Hiyo mifano mingine bado haijakaa kama biashara ya merchandize ambayo imenishangza...lol!!

Babu DC!!

Babu Dark City tuanzie hapo, huyo mama Terry alipokuwa anasimulia hayo alisema kuwa hizo Couple hukaa mezani na kujadili au kubargain bei? Kama ni ndio basi mie ninaomba kusimamisha shlingi na kusema kuwa mwanamke awaye yote anayepangia bei papuchi yake kwa mumewe amepewa fursa hiyo (Kwa maanakuwa mume ana matatizo/amewekwa kiganjani) na hajui haki yake kama mume (Kuna wale wanaume ambao chochote atakachosema mke ni ndio, madame amesema, wife anataka e.t.c........na sio mwanaume anayejua haki zake kama mume................ yaani mie MwanajamiiOne nina mume anipendaye, anifikishaye, anikunaye nikaridhika, anitoshelezaye....nahitaji kitu kwake kisha nitingishe kiberiti??(Unless najua kuwa ananipenda kufa kila nisemacho kwake ni katiba ya Muungani na yeye ni Muumini wa Commission of Committed Married men (CCMm) atakifuata ndio ntakuwa na jeuri ya kumtishia usalama wa haki zake.
 
Last edited by a moderator:
Nikuulize swali moja Babu Dark City ............. hivi huwa mnaambiwa kabisa kuwa....bila laki 1 hapa sikupi? kweli? Mfano mie MwanajamiiOne, ninataka laki 1, na nimeiomba kiustaarabu, nimenyimwa kwa sababu yeye hajaona mashiko yake...............so unategemea nimwambia.... Kwa taarifa yako bila kilo 1 hapa sikamui?? Jamani jamani hebu msitudhalilishe bwana........ tuna mbinu za kuipata hiyo laki 1 pasipo wewe mtoaji kujua kuwa unaitoa..........Hivi nyie mnashangaaga kuwa mwanaume anamnunulia nyumba ndogo Prado ilhali ye anayo Vits mnashangaa?
Hahahahahahaha.......... nrudishie laki yangu mjukuu lol.
 
Duuuuuuuuhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh,

Mzee mwenzangu umemaliza wajibu wako au umejipa 5min break ili uje kujichukulia nondo za bure kutoka kwa MwanajamiiOne??

Kama ni hivyo, sitashangaa ukipandishiwa dau..lol!!

Babu DC!!
Mzee mwenzangu,

Nimeona nikae nisome ili nijue bibi yao kina MwanajamiiOne anatumiaga mbinu gani kunichuna. Yawezekana namjengea baba mkwe bila kujua.

Mke kumchuna mme, hii nimeisoma leo aisee. Naendelea kujifunza na uzee wangu.

Mke kwa maana ya mke kwa tafsiri yake halisi na halali, anaweza kumchuma mmewe??? Na haya matoto tunayoyalipia ma-ada makubwa shule za Saint Watakatifu??? Mungu apitishie mbali..........!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom