Rushwa ya ngono kwenye ndoa na mahusiano....!!

Rushwa ya ngono kwenye ndoa na mahusiano....!!

Badala ya kuomba radhi unacheka wewe amu?

Shauri yako...usipokuwa mwangalifu nitatoa ruhusa kama aliyotoa Pinda,

Babu DC!!

mie nalala pole sana hao wa mwaka 1947 unaowategemea wakukibu wanatoa rushwa mda huu.
Kalagabaho.
Ngoja kwanza kwani bibi yukwapi hadi mda huu upo huku?
 
Last edited by a moderator:
mie nalala pole sana hao wa mwaka 1947 unaowategemea wakukibu wanatoa rushwa mda huu.
Kalagabaho.
Ngoja kwanza kwani bibi yukwapi hadi mda huu upo huku?


Kwanza futa kauli yako ya kuwa wewe ni wa 1948.....Hapa umesema uongo mbele ya jukwaa tukufu...Futaka kauli haraka kabla hatujakuundia tume..lol!!

Habari ya bibi isikupe shida...sisi ni wastaafu...tunajilia pensheni.

Hatuhitaji busta kutoka kwa fundi mitambo (supu ya pweza kutoka kwa wapishi wa Makorora) kama nyie dot com!!

Babu DC!!
 
Halafu wewe amu umetoa tuhuma nzito kwa wanawake wenzio kwamba wanadai ujira kutoka kwa wenzi wao...

Hii kesi lazima iamuliwe na jopo la majaji saba...

Mie yangu macho..lol!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu haya mambo mbona yapo tu,

tena sana, ila kwa wanaume wengine, ni kinyume chake. mwanamke anatafuta maisha na mwanaume anabembelezwa apige

mambo, nionavyo mimi ni udhaifu katika ndoa..

swala la wafanyakazi hiyi ipo, mimi imenikuta sana, madeni wanatengeneza alliance, wanakuwekea kikao hata kama si rasmi, chaweza kuwa cha kumnasa mwanaume mbahili au mgumu. wakifanikiwa wanaweka utaratibu kukushikisha na kukudhibiti, ila mimi walishindwa kwa sabb si kwamba nilikuwa mgumu, bali walimelngesha binti tunafanyakazi nae, nikammega na nikammwaga, nikawa sipokei simu zake, kanteen nakaa mbali nae nk. pikinick nakuwa karibu na wanaume zaidi kuliko wanawake..amesalimu amri. na wanzake wamebaki midomo wazi..kwa sasa wanajiandaa kunipa jina la malaya..hakuna tendo baya kama sex sehemu za kazi.
 
Mkuu haya mambo mbona yapo tu,

tena sana, ila kwa wanaume wengine, ni kinyume chake. mwanamke anatafuta maisha na mwanaume anabembelezwa apige

mambo, nionavyo mimi ni udhaifu katika ndoa..

swala la wafanyakazi hiyi ipo, mimi imenikuta sana, madeni wanatengeneza alliance, wanakuwekea kikao hata kama si rasmi, chaweza kuwa cha kumnasa mwanaume mbahili au mgumu. wakifanikiwa wanaweka utaratibu kukushikisha na kukudhibiti, ila mimi walishindwa kwa sabb si kwamba nilikuwa mgumu, bali walimelngesha binti tunafanyakazi nae, nikammega na nikammwaga, nikawa sipokei simu zake, kanteen nakaa mbali nae nk. pikinick nakuwa karibu na wanaume zaidi kuliko wanawake..amesalimu amri. na wanzake wamebaki midomo wazi..kwa sasa wanajiandaa kunipa jina la malaya


Hayo ya kazini kwa kweli sina utata wala tatizo kuyaamini.... Tatizo langu liko kwenye ndoa....

Yaani eti mama watoto anadai malipo kabla ya kugawa mechi?? Mbado kuelewa hapa..lol!!

Kwa maelezo yako kuhusu huo mtego uliowekewa, nahisi wategaji walikuwa na udhaifu katika kudefine target yao. Wewe hukustahili kutegwa...lol!!

Babu DC!!
 
Kweli duniani kuna vibweka...hapo kuna mapenzi au maslahi?
 
Babu DC mimi siyajui mambo haya....sijawahi kufanya. Ila Kwa misingi aliyoainisha huyu bibi mkubwa basi wengi watakuwa walishawachaji

At least wewe umenipa imani kwamba kulipisha kwenye ndoa ni jambo gumu...

Ngoja niendelea kutatafuta data zaidi ...

Naamini wadau watatupa ushuhuda wao..lol!!

Babu DC!!
 
Babu DC? Hata wewe unashangaa? Labda kwa kuwa we ni wa 1947. Siku hizi babu sio kitu cha kushangaza kuwa kunyimwa unyumba ni moja ya strategies za mama kudai akitakacho. Mfano anataka urudi mapema, we unamrudia saa nane, mguse uone kama hujaambulia vipepsi vya yule aloendashtaki kwa Baba Paroko. So uswazi ku'gomewa' ni ishu ya kawa sana maze. Umenikumbusha ile story ya mmama alogundua kuwa mumewe ana tabia ya kununua CD wa Kona Bar, tena kwa bei ya mpaka 50K. Naye akakaa chini, akatafakari na kuamua kuchukua hatua........Yeye anayekaa na kutoa kwa free kila siku na free packages nyingine tele mfano, kukupikia, kukutunzia watoto, e.t.c naye akaweka dau lake. Mume kaja, kabisha hodi, akaonyeswa kiganja (kama konda anavyodai nauli) ......Bila laki hapa baba hupati kitu. Jamaa kahamaki, Eboo we vipi? Yaani mke wangu mwenyewe nimekulipia mahari unanikatalia, Mkewe akamwambia, kama ulilipa mahari kuinunua hii bidhaa ina maana uliipenda ukaona inakufaa na kama kwa sasa unaona haikufai tena either imepitwa na wakati au ni toleo la kale ukaamua kwenda kulipia nyingine basi hii unatakiwa uipige bei au upeleka kwenye soko la mitumba na sio kuitumia tena. So bila 100,000 hapa basi nipige bei wapo wanaotumia mitumba wengi tu. Jamaa akamute siku ya kwanza, ya pili mambo ni yale yale. Ya tatu kazidiwa (Hawara alikuwa kasafiri) akaamua isiwe tabu akatoa 100,000 akapata mchezo ila goli moja tena lisilo na chenga............... mwisho wa siku alisalimu amri
 
Kweli duniani kuna vibweka...hapo kuna mapenzi au maslahi?


Suala la maslahi kwenye ndoa tumeliojadili sana mdogo wangu..

Ila mimi kinachonishangaza hili la wanandoa kupigiana bei...na hata kudaiwa kuongeza dau kama mtu anahitaji huduma ya ziada!!

Babu DC!!
 
Babu DC? Hata wewe unashangaa? Labda kwa kuwa we ni wa 1947. Siku hizi babu sio kitu cha kushangaza kuwa kunyimwa unyumba ni moja ya strategies za mama kudai akitakacho. Mfano anataka urudi mapema, we unamrudia saa nane, mguse uone kama hujaambulia vipepsi vya yule aloendashtaki kwa Baba Paroko. So uswazi ku'gomewa' ni ishu ya kawa sana maze. Umenikumbusha ile story ya mmama alogundua kuwa mumewe ana tabia ya kununua CD wa Kona Bar, tena kwa bei ya mpaka 50K. Naye akakaa chini, akatafakari na kuamua kuchukua hatua........Yeye anayekaa na kutoa kwa free kila siku na free packages nyingine tele mfano, kukupikia, kukutunzia watoto, e.t.c naye akaweka dau lake. Mume kaja, kabisha hodi, akaonyeswa kiganja (kama konda anavyodai nauli) ......Bila laki hapa baba hupati kitu. Jamaa kahamaki, Eboo we vipi? Yaani mke wangu mwenyewe nimekulipia mahari unanikatalia, Mkewe akamwambia, kama ulilipa mahari kuinunua hii bidhaa ina maana uliipenda ukaona inakufaa na kama kwa sasa unaona haikufai tena either imepitwa na wakati au ni toleo la kale ukaamua kwenda kulipia nyingine basi hii unatakiwa uipige bei au upeleka kwenye soko la mitumba na sio kuitumia tena. So bila 100,000 hapa basi nipige bei wapo wanaotumia mitumba wengi tu. Jamaa akamute siku ya kwanza, ya pili mambo ni yale yale. Ya tatu kazidiwa (Hawara alikuwa kasafiri) akaamua isiwe tabu akatoa 100,000 akapata mchezo ila goli moja tena lisilo na chenga............... mwisho wa siku alisalimu amri


Mambo binamu yangu MwanajamiiOne.
Mimi kadri nilivyomuelewa huyo mama aliamua kumfanyia hivyo mumewe baada ya kubaini kuwa si mwaminifu. Kwahiyo kama angekuwa mwaminifu katika ndoa yake asingefikia hatua ya kuuziwa papuchi aliyoitolea mahari mwenyewe kwa hiari yake.
 
Last edited by a moderator:
Babu DC? Hata wewe unashangaa? Labda kwa kuwa we ni wa 1947. Siku hizi babu sio kitu cha kushangaza kuwa kunyimwa unyumba ni moja ya strategies za mama kudai akitakacho. Mfano anataka urudi mapema, we unamrudia saa nane, mguse uone kama hujaambulia vipepsi vya yule aloendashtaki kwa Baba Paroko. So uswazi ku'gomewa' ni ishu ya kawa sana maze. Umenikumbusha ile story ya mmama alogundua kuwa mumewe ana tabia ya kununua CD wa Kona Bar, tena kwa bei ya mpaka 50K. Naye akakaa chini, akatafakari na kuamua kuchukua hatua........Yeye anayekaa na kutoa kwa free kila siku na free packages nyingine tele mfano, kukupikia, kukutunzia watoto, e.t.c naye akaweka dau lake. Mume kaja, kabisha hodi, akaonyeswa kiganja (kama konda anavyodai nauli) ......Bila laki hapa baba hupati kitu. Jamaa kahamaki, Eboo we vipi? Yaani mke wangu mwenyewe nimekulipia mahari unanikatalia, Mkewe akamwambia, kama ulilipa mahari kuinunua hii bidhaa ina maana uliipenda ukaona inakufaa na kama kwa sasa unaona haikufai tena either imepitwa na wakati au ni toleo la kale ukaamua kwenda kulipia nyingine basi hii unatakiwa uipige bei au upeleka kwenye soko la mitumba na sio kuitumia tena. So bila 100,000 hapa basi nipige bei wapo wanaotumia mitumba wengi tu. Jamaa akamute siku ya kwanza, ya pili mambo ni yale yale. Ya tatu kazidiwa (Hawara alikuwa kasafiri) akaamua isiwe tabu akatoa 100,000 akapata mchezo ila goli moja tena lisilo na chenga............... mwisho wa siku alisalimu amri

Hi umeipata wapi mdogo wangu MwanajamiiOne??

Naamini siyo quote kutoka kwenye FGD..lol

Ila bado bwana....mie siamini kama naweza kutoa dau tena kwa mke wangu mwenyewe....

Hapana bwana!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Dark City mimi nilipomuoa Mama Rhobi nilimtolea mahari ng'ombe 20 kwahiyo hata siku moja siwezi kudaiwa dau lolote iwe kwa huduma ya kawaida ama huduma ya ziada.


Hapo sasa tuko pamoja mkuu...

Ila na wewe unaomba huduma ya ziada? Naamini siyo yale mambo ya hawa dot com..lo!!

Babu DC!!
 
Nishawahi kuiona habari kama hii hapa jamvini nadhani iliwekwa na lara 1, kulikuwa na haya mambo ya kulipishana lakini mwanamke alikuwa akifanya hivyo kama njia ya kumkomoa mumewe baada ya kugundua mumewe anatumia pesa wanayochuma kuhonga mahawara...baada ya mke kugundua hilo naye akaanza kumkomoa mumewe kwa kumtoza hongo kila wakati wa mahitaji ya huduma za kindoa...

Ila mimi kinachonishangaza hili la wanandoa kupigiana bei...na hata kudaiwa kuongeza dau kama mtu anahitaji huduma ya ziada!!

Babu DC!!
 
Me ni KE, na kama huamini sijui nikusaidieje, labda nikikate nikutumie kwenye bahasha ili uamini

Jamani mbona unafanya maamuzi magumu namna hiyo, kutoamini kwake tu ndio hadi utishie kujidhuru, usifanye hivyo Mrembo by Nature, utakufuru uumbaji wa Mungu wako. Kama hataki kuamini achani naye, hiyo sio biashara yako tena.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom