LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,496
- 3,389
Tupo pamoja, ndio naelekea mahakamani,nikibahatika kupata nafasi ya kuingia nitawahabarisha tu!
kamanda Lisu yupo? na kuna makamnda gani wengine zaid ya Lema??
Thanks Mkuu Ben Saanane, tunaomba live updates kutoka huko kaka................. watu huku macho kwenye hii thread, naamini upo na Yericko Nyerere fanyeni uungwana.
Jf daima
Hata wangezuia sitasitisha kuripoti chochote!
Natumia microcomputer ipo kwenye jino langu! Hehee
Kesi imeahirishwa.Mahakama imekubali kuna kosoro kwa upande wa mahakama
Baada ya siku 14 marekebisho yatafanyika halafu kesi itarudi tena mahakamani
Kesi imeahirishwa mpaka siku 14,
Kesi imeahirishwa mpaka siku 14,
Maana yake ni kutotenda haki,mbona imeeleweka vema tu!wakipindisha hukumu maana yake nini?
Karani wa mahakama ameanza kusoma dondoo
-Mawakili wanatambulishwa
Kesi imeahirishwa mpaka siku 14,